TYRES

TYRES

RANDOMERORA

Member
Joined
Feb 22, 2016
Posts
68
Reaction score
22
Msaada jamani, anayejua Size Tyres ya Landrover Freelende, TD4 , vile vii Landrover vidogo.anipe majibu.
 
Muulizaji maelezo yako hayajajitosheleza kabisa. Kupata jibu muafaka inabidi utuambie mwaka wa gari na size ya rims
Haya nimekupatia ukubwa ma matairi kwa rims tofauti
  • 16 inch wheels: 215/75 R16
  • 17 inch wheels: 235/65 R17
  • 18 inch wheels: 235/60 R18
  • 19 inch wheels: 235/55 R19
  • 20 inch wheels: 275/40 R20
 
Muulizaji maelezo yako hayajajitosheleza kabisa. Kupata jibu muafaka inabidi utuambie mwaka wa gari na size ya rims
Haya nimekupatia ukubwa ma matairi kwa rims tofauti
  • 16 inch wheels: 215/75 R16
  • 17 inch wheels: 235/65 R17
  • 18 inch wheels: 235/60 R18
  • 19 inch wheels: 235/55 R19
  • 20 inch wheels: 275/40 R20

Nashukuru sana kamanda, hata kwa ujumla huu nitafanikiwa kabisa zoezi langu.
 
naomba pia mwenye kujua .mimi ninataka kununua gia box ya suzuki kei but dukani nimeambiwa hiyo gia box ya waya ngapi? 7 .au 6 .3 .2? nimeshindwa kumjibu mwenye duka..sasa naomba wajuvi mwenye kujua gia box y suzuki kei inatumia waya ngapi? mimi si mtaalam w mambo haya najua kuendesha tu gari..na fundi yupo mbali..shukran
 
naomba pia mwenye kujua .mimi ninataka kununua gia box ya suzuki kei but dukani nimeambiwa hiyo gia box ya waya ngapi? 7 .au 6 .3 .2? nimeshindwa kumjibu mwenye duka..sasa naomba wajuvi mwenye kujua gia box y suzuki kei inatumia waya ngapi? mimi si mtaalam w mambo haya najua kuendesha tu gari..na fundi yupo mbali..shukran
Tunarudia kule kule kwa muulizaji swali la kwanza la matairi,maelezo hayajajitosheleza kabisa. Gari ya mwaka gani ?engine ipi ? ni 4-speed automatic au 5-speed manual ?
Naamini kabisa kama ukienda na maelezo ya kutosha duka la parts watafahamu transmission gani inatakiwa,lakini ukienda na maelezo kama uliyopost humu sidhani kama kuna atakaekuelewa.
Asante.
 
Back
Top Bottom