Basi akiwa na chuki na mtu atatafuta record anazojua yeye kumuua anayemchukia. Check hapo chini kawaka picha za Tyson tu akiwa amepigwa. Nondo za Tyson NoWachambuzi wetu hawa
Mbona hueleweki mzee? Holmes mzee lakini hapo hapo unalalamika kwanini hakumuingia Foreman? Kwani Foreman kizazi chake? Angempiga pia Foreman ungesema hivyo hivyo kwamba kampiga mzee!Hahaha am making you go and do some googling. Au siyo? Sasa kama Foreman alirudi usiku si ilibidi awe easy target? Why didn't he go for it?
Nakupa siri. Tangu Foreman arudi kwa mara ya pili ulingoni mpaka anastaafu hakuwahi kupigwa akaanguka. Now usijiulize sana kwanini Tyson hakutaka kukutana na huyu mtu.
Unauliza kama Ali alikua kizazi cha Tyson. Safi sana je Holmes ni kizazi cha Tyson? Mbona hao alipigana nao? Holmes ni kizazi cha Ali.
Ndiyo maana nasema alipigana na mababu na has beens. Kua muelewa.
Kabisa mkuuBasi akiwa na chuki na mtu atatafuta record anazojua yeye kumuua anayemchukia. Check hapo chini kawaka picha za Tyson tu akiwa amepigwa. Nondo za Tyson No
Ni kwasababu umaarufu wa boxing umepungua sio kama zamani.Nakazia , alichokinya Tyson hakuna atakae kuja kukifanya leo wala kesho... Tyson hapigan ..hayuko ulingon miaka tu.. Ila bado ana jina kuliko hao AJ na huyo mwenzie.. Ukitoka nje ya watu wanaofuatilia masumbwi.....hakuna mtu atakutajia wala anaejua kuna mtu anaitwa AJ.. ila Tyson wanajua kuna huyu kiumbe anewah kuwepo
Huna cha kunielekeza kwenye boxing wewe mi naicheza wewe unaiandika yaani umri huu uanze kunifundisha mambo ya out boxer?Ok naona hujui boxing ngoja nikueleweshe.
Boxer mfupi akitakiwa kupambana na boxer mrefu kwakua ngumi zinakua hazifiki kutokea mbali anakua anatakiwa aingie (awe in boxer) ili aingie hapo atakutana na jabs za kumzuia asiingie so atahitaji stronger chin ili aweze kuingia na kurusha ngumi zenye madhara.
Sasa Wilder ana ngumi nzito mno (Spoiler nickname Bronze Bomber) ili uingie ni ukubali kupokea vitasa. Tyson ana weak chin so actually ili aingie ni lazima ajikute kapokea knock downs nyingi na hatimaye KO au TKO.
So mimi kusena Wilder atashinda nipo sahihi mno. Lete hoja yako ya kwanini atashinda yeye.
Yani anataka kumfananisha Foreman na Tyson? Foreman atapapambana vipi na Tyson wakati wakati Tyson yupo kwenye ubora wake kina ali na Foreman wameshajichokea.Mbona hueleweki mzee? Holmes mzee lakini hapo hapo unalalamika kwanini hakumuingia Foreman? Kwani Foreman kizazi chake? Angempiga pia Foreman ungesema hivyo hivyo kwamba kampiga mzee!
kila anaebebwa anajua mkuu.Cus D'Amato alimuokota Tyson mtaani, aliona ubabe, aliona sharpness, aliona njaa, aliona vingi lakini cha muhimu zaidi ni aliona 'eye of the tiger'.
Akamchukua Tyson, akam-train, akapambana, kwa ubabe wa Tyson ulingoni akapachikwa jina la Kid Dynamite, kisha Iron halafu likaja Baddest man on the planet.
Ni kweli alistahili?
Ninasema hapana. Na hili ni jibu la wote ambao reference yao ya bondia mzuri ni Tyson.
Tyson alibebwa na journeymen, alibebwa na vikongwe, alibebwa na media, akabebwa na promoters ndiyo akafanikiwa kumilikia hizo nicknames tatu.
George Foreman baada ya kupigwa na Jimmy Young (Nalipenda hili pambano sichoki kuangalia) na kuokoka palepale ukumbini alistaafu na kuwa mchungaji. Baada ya kurudi tena ulingoni ndiyo zikawa enzi za Tyson zimepamba moto.
Sasa siku hiyo Tyson akiwa anahojiwa akaulizwa "Unafikiria kupambana na Foreman?" Akajifanya hajasikia swali, akaelezea swala jingine alipomaliza yule mwandishi akarudia tena "Unafikiria kupambana na Foreman?" Tyson akang'aka "KWANI NI LAZIMA NIPAMBANE NAE? NENDA KAPAMBANE NAYE WEWE BASI"
Huyo ndiye Tyson sasa. Muoga na anayeogopa kusimama ulingoni na bondia aliyekamilika.
Wanaomtetea wanakwambia alichukua ubingwa akiwa mtoto. Rekodi ambayo hakuna aliyeiweka, it's true. Alichukua ubingwa kutoka kwa Trevor Berbick mwaka 1986, Trevor Berbick alichukua ubingwa kutoka kwa Pinklon Thomas mwaka 1986 huo huo.
So Trevor Berbick ametoka kupambana na Pinklon Thomas, mkali wa left jab, pambano la raundi 12 na ushindi wake aliupata kwa uamuzi wa majaji, means alizunguka raundi zote 12 bila kuacha hata moja.
Na unataka jua kivipi pambano lilikua gumu? Hakuna aliyeanguka kwenye hili pambano mpaka Berbick anatangazwa bingwa.
So mtu wa miaka 32 ametoka kupigana pambano la heavyweight la raundi 12 unampa kijana wa miaka 22 ili apigane naye kutetea ubingwa. Unategemea nini? Ndiyo nikasema mapromoter pia wanambeba.
Tafuta siku hizi ni heavyweight gani anaingia ulingoni zaidi ya mara mbili tena kwa mapambano ya umuhimu. So Berbick risked it, iwe ni madeni au vitisho vya promoter hatujui, ila ni alipanda ulingoni kumpa ushindi Tyson.
Ok akampiga Michael Spinks (ndugu wa Leon) bondia aliyekua anatafuta pambano moja tu limstaafishe akiwa tajiri, akalipata baada ya pale na ngumi akaacha. This was not a completed boxer.
Akaenda kumpiga Holmes, again, babu mwingine alikutana na bahati mbaya ya kijana ulingoni.
So promoter na kocha wake wakawa wanavizia 'has been' na journeymen ili kuikuza rekodi ya Tyson, wakisaidiana na media.
And then 'has been' na journeymen wakaisha ikabidi apambane na mabondia wakali wa kizazi chake.
Alipigwa na kila bondia. Alipigwa na Evander akang'ata (kuliko kupigana ukang'ata sa si bora ukimbie - Chid Benz) alipigwa na Lenox Lewis,
Yeye na mapromota wake wakajichanganya wakamchagua Douglas Buster kama stepping stone kwa Tyson. Douglas akamchapa huyu bwana kwa KO raundi ya kumi. Ikawa aibu. Unajiita Iron mara Baddest how do you lose to underdog? You lose kwakua promoter hakutoa maelekezo kwa Douglas kua inabidi ashindwe so hata journeyman akimkazia Tyson, Iron linakua plastiki.
Anyway akaanza safari ya kutaka kurudisha mkanda toka kwa Douglas, bwana Douglas akaenda kuuacha mkanda kwa Evander, Tyson akapangiwa apigane na Evander ili arudishe mkanda wake. Bwana Tyson akaona isiwe kesi akalikimbia pambano.
Manina, akadai ati amepata jeraha la mbavu hivyo hawezi kuingia ulingoni na Evander. Plan yao ni atokee bondia mlaini amkalishe Evander kisha wao ndiyo wamkurupukie huyo bondia mlaini.
Akajichanganya akamvagaa Evander hivyo hivyo, kufika raundi ya 11 Tyson akabutuliwa kwa KO. Akajifanya anataka kurudiana naye, walivyorudiana akaona balaa limezidi akamng'ata Evander.
Akajichanganya akaenda kwa Lennox Lewis. Huyu anaye akamtoboa toboa Tyson hadi aibu.
Huyu sasa ndiyo Tyson. Ambaye watu wanamsifia huku hawajui kua jamaa alikua ni mwoga, mtegemea journeymen kama stepping stone na media.
Overrated nigga
Hata Mike alimlalamikia refarii jamaa anashika sana na vichwa vya kimya kimya anapiga ingia YouTube andika "Holyfield conceive headbutts and blows vs Tyson"Mi nakubaliana na wewe wala sibishi, ila kama dunia nzima wamemkubali Tyson alikuwa mwamba wewe mla mihogo ya kukaanga ukagundua ni overrated unastahili kabisa kupewa uprofesa. Kuhusu pambano la Evenderhollyfield nadhani benchi la ufundi lilifanya kazi ya ziada kugundua udhaifu wa Mike. Ukiangalia kuanzia raundi ya kwanza hadi ya sita Evander hakuwa anapigana, alichokifanya ni kumkumbatia tu Tyson. Hii stahili ya kumkumbatia ilimtia hasira Tyson na kumuongezea muda wa mapigani. Kama Evender angekuwa anapiga toka round ya kwanza bila kukumbatia kumbatia hati raundi ya pili asingefika.
Chief naheshimu sana mawazo yako,lakini huu uchambuzi huko biased sana, ingawa huyo unayemsema yuko overrated yupo kwenye top five ya greatest heavyweight boxer of all the time.Cus D'Amato alimuokota Tyson mtaani, aliona ubabe, aliona sharpness, aliona njaa, aliona vingi lakini cha muhimu zaidi ni aliona 'eye of the tiger'.
Akamchukua Tyson, akam-train, akapambana, kwa ubabe wa Tyson ulingoni akapachikwa jina la Kid Dynamite, kisha Iron halafu likaja Baddest man on the planet.
Ni kweli alistahili?
Ninasema hapana. Na hili ni jibu la wote ambao reference yao ya bondia mzuri ni Tyson.
Tyson alibebwa na journeymen, alibebwa na vikongwe, alibebwa na media, akabebwa na promoters ndiyo akafanikiwa kumilikia hizo nicknames tatu.
George Foreman baada ya kupigwa na Jimmy Young (Nalipenda hili pambano sichoki kuangalia) na kuokoka palepale ukumbini alistaafu na kuwa mchungaji. Baada ya kurudi tena ulingoni ndiyo zikawa enzi za Tyson zimepamba moto.
Sasa siku hiyo Tyson akiwa anahojiwa akaulizwa "Unafikiria kupambana na Foreman?" Akajifanya hajasikia swali, akaelezea swala jingine alipomaliza yule mwandishi akarudia tena "Unafikiria kupambana na Foreman?" Tyson akang'aka "KWANI NI LAZIMA NIPAMBANE NAE? NENDA KAPAMBANE NAYE WEWE BASI"
Huyo ndiye Tyson sasa. Muoga na anayeogopa kusimama ulingoni na bondia aliyekamilika.
Wanaomtetea wanakwambia alichukua ubingwa akiwa mtoto. Rekodi ambayo hakuna aliyeiweka, it's true. Alichukua ubingwa kutoka kwa Trevor Berbick mwaka 1986, Trevor Berbick alichukua ubingwa kutoka kwa Pinklon Thomas mwaka 1986 huo huo.
So Trevor Berbick ametoka kupambana na Pinklon Thomas, mkali wa left jab, pambano la raundi 12 na ushindi wake aliupata kwa uamuzi wa majaji, means alizunguka raundi zote 12 bila kuacha hata moja.
Na unataka jua kivipi pambano lilikua gumu? Hakuna aliyeanguka kwenye hili pambano mpaka Berbick anatangazwa bingwa.
So mtu wa miaka 32 ametoka kupigana pambano la heavyweight la raundi 12 unampa kijana wa miaka 22 ili apigane naye kutetea ubingwa. Unategemea nini? Ndiyo nikasema mapromoter pia wanambeba.
Tafuta siku hizi ni heavyweight gani anaingia ulingoni zaidi ya mara mbili tena kwa mapambano ya umuhimu. So Berbick risked it, iwe ni madeni au vitisho vya promoter hatujui, ila ni alipanda ulingoni kumpa ushindi Tyson.
Ok akampiga Michael Spinks (ndugu wa Leon) bondia aliyekua anatafuta pambano moja tu limstaafishe akiwa tajiri, akalipata baada ya pale na ngumi akaacha. This was not a completed boxer.
Akaenda kumpiga Holmes, again, babu mwingine alikutana na bahati mbaya ya kijana ulingoni.
So promoter na kocha wake wakawa wanavizia 'has been' na journeymen ili kuikuza rekodi ya Tyson, wakisaidiana na media.
And then 'has been' na journeymen wakaisha ikabidi apambane na mabondia wakali wa kizazi chake.
Alipigwa na kila bondia. Alipigwa na Evander akang'ata (kuliko kupigana ukang'ata sa si bora ukimbie - Chid Benz) alipigwa na Lenox Lewis,
Yeye na mapromota wake wakajichanganya wakamchagua Douglas Buster kama stepping stone kwa Tyson. Douglas akamchapa huyu bwana kwa KO raundi ya kumi. Ikawa aibu. Unajiita Iron mara Baddest how do you lose to underdog? You lose kwakua promoter hakutoa maelekezo kwa Douglas kua inabidi ashindwe so hata journeyman akimkazia Tyson, Iron linakua plastiki.
Anyway akaanza safari ya kutaka kurudisha mkanda toka kwa Douglas, bwana Douglas akaenda kuuacha mkanda kwa Evander, Tyson akapangiwa apigane na Evander ili arudishe mkanda wake. Bwana Tyson akaona isiwe kesi akalikimbia pambano.
Manina, akadai ati amepata jeraha la mbavu hivyo hawezi kuingia ulingoni na Evander. Plan yao ni atokee bondia mlaini amkalishe Evander kisha wao ndiyo wamkurupukie huyo bondia mlaini.
Akajichanganya akamvagaa Evander hivyo hivyo, kufika raundi ya 11 Tyson akabutuliwa kwa KO. Akajifanya anataka kurudiana naye, walivyorudiana akaona balaa limezidi akamng'ata Evander.
Akajichanganya akaenda kwa Lennox Lewis. Huyu anaye akamtoboa toboa Tyson hadi aibu.
Huyu sasa ndiyo Tyson. Ambaye watu wanamsifia huku hawajui kua jamaa alikua ni mwoga, mtegemea journeymen kama stepping stone na media.
Overrated nigga
Kweli ni Mcha mbuzi angekuwa Mcha Mungu angeandika kwa weredi si ushabikiWachambuzi wetu hawa
Pamoja na umaarufu wa ndondi kupungua laki performance pia na nyota vinamata maana kipindi hicho hicho ndondi ipo kwenye peak still watu walikuwa bize na Mike tu!Ni kwasababu umaarufu wa boxing umepungua sio kama zamani
Tufanye hivyo mtoa mada afurahi!Kwahiyo zile TKO zote zilikiwa sio za halali
Wivu wakishamba huu unazungumzia kitu ambacho hukijui ndio huyu mwandishi sasa.Tufanye hivyo mtoa mada afurahi!
Unakwama wap mbona Mimi nimemwelewa jamaa,Yaan Tyson angekuwa na skills kama Maywether asingepigwa kwa KOUnasema Tyson hajawahi kupigwa kwa KO/ TKO? Mbona nimeeleza kwenye uzi mapambano aliyopigwa kwa KO?
Talent was there? So are journeymen. Si yeye aliyekua na talent pekee its why Douglas proved them (him) otherwise.
Mkuu zama za boxing kua business mpaka Tyson anafika kuhama kulishamalizika. Wakina Marciano wenyewe walikua tayari wapo kwenye business. Kipindi ambacho boxing haikua business ni kipindi cha raundi 50 kwa pambano (if you didn't know now you know) na hata kipindi kile wakina Dempsey walishakua matajiri kupitia boxing.
Kusema kua walipambana ili wakapigane na Tyson hauoni unajipinga mwenyewe? Umesema kua promoters wanaamua nani apambane na nani. At the same time unasema boxers fought their way to face Tyson, kivipi sasa?
Kwani kipimo cha ubora wa bondia ni idadi ya mechi za ushindi au ni ushindi unapatikana raundi ya ngapi? Ndio yale yale ya kuangalia eti mchezaji fulani hafungi mabao viwanja vya ugenini; lakini kwa ujumla wake ni mfungaji wa mabao mengi katika ligi!...Tatizo kubwa la Tyson ni kwamba alikuwa amezoea mapambano ya kuwapiga watu raundi ya 1 au ya 2, mwisho na hakuwa na pumzi ya kupigana zaidi ya raundi hizo. Hii ilimaanisha kuwa hakuwa na pumzi pamoja na uzoefu wa kupigana zaidi ya ya 1 au ya 2, sana sana ya tatu.
Ni hard copy. Ndiyo nakisoma wakati huu. Infact nakisoma tena mara ya pili.Mkuu unayo softcopy ya kitabu cha huyu mbabe walau ufanye kutuwekea hapa ikikupendeza.
Subiri siku atakapobwagwa,hakuna bondia wa milele,na huwezi kumlinganisha Mayweather na Tyson ni watu wa uzito tofauti sana,huyo Mayweather wako hata leo ukimpandisha ulingoni na Tyson atavurugwa mpaka utabaki unashangaa ndugu...Unakwama wap mbona Mimi nimemwelewa jamaa,Yaan Tyson angekuwa na skills kama Maywether asingepigwa kwa KO