Tyson Fury amchapa Tom Schwarz kwa Knockout round ya 2

Tyson Fury amchapa Tom Schwarz kwa Knockout round ya 2

Tripo9

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2009
Posts
4,357
Reaction score
3,550
Bondia muingereza Tyson Fury amempiga kwa KO round ya pili Tom Schwartz wa ujeruman.
Sasa tusubiri marudiano kati ya Fury na Wilder hapo mwakani mwanzoni.
 
Sasa fury aombe mechi na joshua
Joshua anatakiwa amalizane kwanza na A. Ruiz arudishe mikanda yake. Ama sivyo atakua anakimbiwa. Maana alivyokua na mikanda alikua anawakimbia kimbia wenzake.
By the way hem wajuv wa mambo mje, hivi AJ na Fury si wako na campuni moja udhamini mmoja so hawataweza kukaa kupigana wao kwa wao au nimechanganya desa. Nadhan niliona sehem.
 
Joshua anatakiwa amalizane kwanza na A. Ruiz arudishe mikanda yake. Ama sivyo atakua anakimbiwa. Maana alivyokua na mikanda alikua anawakimbia kimbia wenzake.
By the way hem wajuv wa mambo mje, hivi AJ na Fury si wako na campuni moja udhamini mmoja so hawataweza kukaa kupigana wao kwa wao au nimechanganya desa. Nadhan niliona sehem.
Hivi wakirudiana unadhan Joshua anaweza kumpiga A.Ruiz kweli?
Joshua siku ile pumzi zilikata mapema alafu sio mvumilivu kuimili makonde
 
Hivi wakirudiana unadhan Joshua anaweza kumpiga A.Ruiz kweli?
Joshua siku ile pumzi zilikata mapema alafu sio mvumilivu kuimili makonde
Ruiz habari nyingine mkuu.huyu ni muuaji.aj atapigwa na wengine wote kina Tyson fury, wilder wote watakalishwa.chibonge hana maneno mengi zaidi ya masumbwi tu
 
Ruiz habari nyingine mkuu.huyu ni muuaji.aj atapigwa na wengine wote kina Tyson fury, wilder wote watakalishwa.chibonge hana maneno mengi zaidi ya masumbwi tu
Acha mihemko ndugu, ulikuwa wapi kumnadi hivi Ruiz kabla ya pambano la AJ? Pengine hata ulikuwa humjui[emoji3][emoji3], nimeanzisha thread kibao za Ngumi kabla ya mapambano sijakuona hata moja, baada ya matokeo ndo unaonekana halafu unajifanya unawajua sana[emoji2][emoji2][emoji2]. Wataalamu karibu wote wa masuala ya ngumi walishangazwa na matokeo ya pambano la AJ na Ruiz, maana kabla ya pambano karibu kila mtu alikuwa anajua AJ anashinda tena mapema tu kutokana na rekodi yake, so ni wazi ushindi wa Ruiz uliwashangaza wengi na kuwekwa kati ya one of the biggest upset of all time kwenye boxing, sasa cha ajabu mwenzangu na mimi unajifanya eti hukushangazwa na Ruiz kushinda, nyie ndo wachambuzi wa bongo mnaochambua baada ya matokeo[emoji1787][emoji1787]. Kuhusu Ruiz kumpiga Wilder or Fury kwa mtazamo wangu naona ni ngumu sana, kwa Wilder ili umpige inabidi uwe mtaalamu sana wa kukwepa ngumi (head movement ya ajabu), maana ile right hand ikikupata ni goodnight, je Ruiz ana uwezo wa kukwepa ngumi kama FURY?Jibu ni hapana. Na kwa upande wa Fury huyu ni mgumu zaidi kumpiga kutokana na style yake, anamove sana so Ruiz hatakuwa na nafasi sana ya kupiga ngumi kama alivyofanya kwa AJ, na hata akifanikiwa kumpiga ngumi chache hazitaweza kummaliza, kama Fury aliweza kuamka baada ya kudondoshwa na Bronzebomber 2 times je Ruiz ana kipi cha ziada?
 
Joshua anatakiwa amalizane kwanza na A. Ruiz arudishe mikanda yake. Ama sivyo atakua anakimbiwa. Maana alivyokua na mikanda alikua anawakimbia kimbia wenzake.
By the way hem wajuv wa mambo mje, hivi AJ na Fury si wako na campuni moja udhamini mmoja so hawataweza kukaa kupigana wao kwa wao au nimechanganya desa. Nadhan niliona sehem.
Hapana hawako pamoja, kama sikosei AJ yuko na DAZN, na Fury anapromotiwa sana na ESPN n' BT Sports. Sema hawapendi kuwapambanisha nafikiri kwavile wote ni waingereza, ila inaweza kutokea huko mbeleni kama Fury atafanikiwa kumpiga Wilder na AJ akishinda rematch dhidi ya Ruiz
 
Hapana hawako pamoja, kama sikosei AJ yuko na DAZN, na Fury anapromotiwa sana na ESPN n' BT Sports. Sema hawapendi kuwapambanisha nafikiri kwavile wote ni waingereza, ila inaweza kutokea huko mbeleni kama Fury atafanikiwa kumpiga Wilder na AJ akishinda remarch dhidi ya Ruiz
Oooh ok. Hapo umenena vyema.
 
wanamasumbwi wa maana wameisha, enzi za akina lenox lewis, mike tyson, matumla kwisha
 
wanamasumbwi wa maana wameisha, enzi za akina lenox lewis, mike tyson, matumla kwisha

Kwanini kila kitu cha zamani mnapenda kukisifu! Hata wachezaji wa mpira pia mnawasifu na kuwaponda wa sasa. Dah ila wabongo mnastaajabisha 😁😁😁 inamaana binadamu wa zamani walikuwa chuma na wa sasa boksi!!!!!!
 
Kwanini kila kitu cha zamani mnapenda kukisifu! Hata wachezaji wa mpira pia mnawasifu na kuwaponda wa sasa. Dah ila wabongo mnastaajabisha 😁😁😁 inamaana binadamu wa zamani walikuwa chuma na wa sasa boksi!!!!!!
Tofauti kubwa nnayoona wa sasa wako kimaslahi sana na kuogopa kupoteza mikanda yao wanayoshikilia. Wanachagua chagua wapigane na "bums" "bums" kulinda heshima. Wakati mashabiki kuna mechi wangependa sana kuziona. Ila eventually watapigana tu pamoja na dana dana zao
 
Back
Top Bottom