adrenaline
JF-Expert Member
- Jun 17, 2015
- 3,152
- 4,843
Muda ndio utasema kama ulivyosema kwa AJ..kama wataalamu wote walivyoshangazwa na kipigo kwa Aj ndivyo muda pia utakavyoamua kwa hao wengine.Acha mihemko ndugu, ulikuwa wapi kumnadi hivi Ruiz kabla ya pambano la AJ? Pengine hata ulikuwa humjui[emoji3][emoji3], nimeanzisha thread kibao za Ngumi kabla ya mapambano sijakuona hata moja, baada ya matokeo ndo unaonekana halafu unajifanya unawajua sana[emoji2][emoji2][emoji2]. Wataalamu karibu wote wa masuala ya ngumi walishangazwa na matokeo ya pambano la AJ na Ruiz, maana kabla ya pambano karibu kila mtu alikuwa anajua AJ anashinda tena mapema tu kutokana na rekodi yake, so ni wazi ushindi wa Ruiz uliwashangaza wengi na kuwekwa kati ya one of the biggest upset of all time kwenye boxing, sasa cha ajabu mwenzangu na mimi unajifanya eti hukushangazwa na Ruiz kushinda, nyie ndo wachambuzi wa bongo mnaochambua baada ya matokeo[emoji1787][emoji1787]. Kuhusu Ruiz kumpiga Wilder or Fury kwa mtazamo wangu naona ni ngumu sana, kwa Wilder ili umpige inabidi uwe mtaalamu sana wa kukwepa ngumi (head movement ya ajabu), maana ile right hand ikikupata ni goodnight, je Ruiz ana uwezo wa kukwepa ngumi kama FURY?Jibu ni hapana. Na kwa upande wa Fury huyu ni mgumu zaidi kumpiga kutokana na style yake, anamove sana so Ruiz hatakuwa na nafasi sana ya kupiga ngumi kama alivyofanya kwa AJ, na hata akifanikiwa kumpiga ngumi chache hazitaweza kummaliza, kama Fury aliweza kuamka baada ya kudondoshwa na Bronzebomber 2 times je Ruiz ana kipi cha ziada?
Kuna miamba kwenye historia ya ndondi ilikaa na kukalishwa na vikaja visingizo kibao oooh sijui madawa ooh mara kanywa maji.Unaendaje na matokeo kabisa wakati unayepigana naye ana hamu ya kushinda na kuweka Historia?