TZ: Membe speaks the truth about Zimbabwe


Mkandara at long last you are coming head on in this Mugabe saga. All along thats what we have said, Ingawa imekuchukua mda kuuoana uzandiki wa Mugabe. imperfect as it may be Mugabe aondoke..Zimbabwe pale ilipo haimuhitaji. Yes, ukibaraka ndo unatuua waafrika, lakini unposema Mogani humtaki ni kibaraka...sasa nani asiyekibaraka unayemtaka? Tell me Africa kiongozi gani si kibaraka?

Leo Sinclair anakwambia ameiona report ya madini hata sisi walipa kodi na wapiga kura hatujaambiwa chochote..but th man saw na alikuwa ameshamwelekeza mkuu wa kaya cha kufanya! Ndugu yangu tuhangaike na tunavyoviweza tutetee maisha ya waafrika wenzetu..lakini tukianza ku-finger point nani anafaa nani hafai, nani kibaraka nani si kibaraka...hatufiki popote.

Mugabe mwenyewe alikuwa kibaraka, its because the mission has gone sour, that he is turning! This is Africa. Kinachoniuma mimi..ni hawa raia wanaouliwa wakati waafrika tuko kimya tukiwasingizia wazungu..surely,, Bush has nothing to do with the death of these people!
 
Masanja,

Mkuu unasema kitu gani hapa sikuelewi hata kidogo...
Siku zote mimi nimekuwa upande wa Mugabe kwa kumlinganisha na Morgan sijasema ni kiongozi mzuri kutokana na uamuzi wake wa kuendelea kushika madaraka.
Pili, nakubaliana na hatua alizochukua kuhusiana na ardhi jambo ambalo ndio deal kubwa ya Waingereza..Ubaya wakle umeanza kuonekana baada ya kutawala nchi hiyo miaka miaka 20! that was my question... siku alotangaza kuchukua ardhi ndio siku Mugabe alipoonekana kuwa hafai. je alikuwa hafai toka siku ya kwanza ama baada ya kuchukua ardhi?... hakuna kati yenu aliyewahi kunijibu!
Tatu, nilisema hata kama Mugabe akiondoka madarakani, vikwazo haviwezi kuondoka ikiwa sheria ya ardhi itabaki ktk msimamo wa Mugabe... tumeyaona yakitokea CUBA na Palestina..Adui wa Magharibi sio mtu ila ni Policy iliyopo, Mugabe ni kifumba macho tu.. ndio maana Morgan anatangazwa sana.... Chiluba style.
Nne, Nilisema kuwa Mugabe akiondoka nchi ile itakuwa Somalia...
Na mwisho sio kweli kuwa Mugabe ndiye kaileta njaa akiwa free kuongoza. Vikwazo ndio sababu kubwa.. Zimbabwe ardhi yake haioti kitu bila mbegu ya mzungu iwe mahindi, mapera ama ngano...Hakuna kitu kinachoingia wala kutoka Zimbabwe isipokuwa nchi jirani tu za kiafrika.
Nani dunia ya leo anaweza ku survive mfumo huo hata iwe Marekani yenyewe itadondoka tu!.. Huo ndio ukweli nilikuwa nikiuzungumzia siku zote wakati nyie mnaamini kabisa kuwa ni MUGABE is the Problem..

Mkuu ukiwa hutakiwi ndani ya nyumba hata kama wewe huna makosa, kamwe usiinue mkono kumpiga mwananmke... Utaonekana wewe ndiye mshari! Hili ndilo kosa la Mugabe na hafai kama mme wa mtu lakini halipotoshi ukweli kuwa hakubaliani na mke anayeuza uchi wake ndani ya nyumba yake!...
 
Mkandara,

..mimi napendekeza JESHI litwae madaraka, uchaguzi ufutwe, vyama vya siasa vifungiwe.

..ukiangalia matokeo ya uchaguzi ni karibu 50/50. sasa ktk mazingira ya UHASAMA kama ya Zimbabwe nchi haiwezi kutawalika.

..pia nafikiri Mugabe na Tsivangarai wamechafua mno hali ya hewa ya kisiasa na hawana interest za nchi na wananchi ktk kujihusisha kwao na siasa. wote wawili wasaidiwe ktk "kupumzishwa" kisiasa.
 
Mkandara,

Kwenye hili,hoja yako na yangu iko sawa... Mugabe is a better choice compared to Morgan...lakini vile vile Mugabe atahitaji kuachia ngazi kwa manufaa ya Wazimbabwe, si kwa sababu yeye ndio mchawi. Nadhani ya yeye mwenyewe anajua hilo.
 
...God Gracious!!!


...Sterling hauwawi, na hii sinema imekwisha!

'Hongera' Robert Mugabe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…