TZ railway probable Africa's best.

Mnatongozwa na kudanganywa kama mabinti mnaishia kupagawa. Reli yenyewe iko wapi? Ni kama kumsifu mtoto ambaye hajazaliwa what if awe akili punguani?

Upuuzi kama huu Jaribu politics palace, najua utapigwa na butwaa kuzomewa na wenzako for posting bulshiet.
 
Yes very old dated to 1880...currently class 3 railway
Tupatie source inayosema very old. Jua hapo unaongelea railway track(mataruma). Pia they differ kutokana namzigo utaobebwa na train. Kenya zina imili mzigo mdogo compared za kwetu so we are much better.
 
Upo sawa ndio maana Wajapani walifanya test ya treni yao Kuangalia mwendo
wakaweka rekodi mara baada ya kuvuka lengo
naamini Hii reli yetu itatembea zaidi ya 200kmh
Kumbuka Hata Rais alilisema hilo
 
Tupatie source inayosema very old. Jua hapo unaongelea railway track(mataruma). Pia they differ kutokana namzigo utaobebwa na train. Kenya zina imili mzigo mdogo compared za kwetu so we are much better.
 
200 Km per hour...tumia akili falai...nyie mnajenga reli kilomita 200 ndio mnaruka ruka huku nakule...jamaa wana reli karibu nchi nzima wale....
Fala wakenya wenzako
 
They had to do research so as to choose BTW Arema,class one or class two..
Kua tayar kujifunza utafahamu mengi...Usiwe biased sana na izo research za hao waganda...umejaribu kufatilia kutoka Tz wenye mradi husika?
 
Rail yetu ni class one....locomotives ni za diesel na inaeza kua electrified then kuallow speed upto 350 km/h
Naludia kusema kuwa China wametumia light rail track kwenye Kenya SGR. Pia evidence nitaileta

Tanzania iliamua kutumia AREMA standard kwa sababu ndo railway track ambayo imetengenezwa ku handle heavy and bulky trains kwa muda mrefu zaidi pia maintenance yake iko chini sana.
Inauma ila vumïlia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…