U-CHADEMA na u-CCM kwenye bunge maalum la katiba!!

U-CHADEMA na u-CCM kwenye bunge maalum la katiba!!

Lamchina

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2010
Posts
240
Reaction score
120
It is totally boring kuona kuwa bunge la katiba linaendeshwa kwa itikadi ya U-CCM versus U-CHADEMA.
Haiwezekani kuona hoja ya marekebisho ikitolewa na pande yeyote kati ya hao mafahali wawili upandi mwingine waka-support Never happened! Why wanapishana kwa kiasi kikubwa hicho, kama wameshamaliza wiki mbili hata hawakinza kazi kubwa iliyowapeleka huko ni misunguano, mikwaruzo, mabishano, mizozo, matusi na kejeli ambazo hazina tija katika kuhakikisha tunapata katiba mpya , kweli tutapata katiba iliyo bora???

Kweli wametumwa na wananchi kwa itikadi ya kivyama au maslahi ya taifa???
We have long walk to realize truth and development agenda for Tz!
 
Kosa kubwa lililofanywa ni kujazwa wanasiasa kwenye bunge hili. Wanasiasa watatuharibia katiba mpya!
 
Leo asb Tundu lisu kadai kuwa 75% ya wajumbe wote waliochaguliwa wametokana name CCM akaenda mbali zaidi kuuliza what do u expect could happen in decision making?
 
It is totally boring kuona kuwa bunge la katiba linaendeshwa kwa itikadi ya U-CCM versus U-CHADEMA.
Haiwezekani kuona hoja ya marekebisho ikitolewa na pande yeyote kati ya hao mafahali wawili upandi mwingine waka-support Never happened! Why wanapishana kwa kiasi kikubwa hicho, kama wameshamaliza wiki mbili hata hawakinza kazi kubwa iliyowapeleka huko ni misunguano, mikwaruzo, mabishano, mizozo, matusi na kejeli ambazo hazina tija katika kuhakikisha tunapata katiba mpya , kweli tutapata katiba iliyo bora???

Kweli wametumwa na wananchi kwa itikadi ya kivyama au maslahi ya taifa???
We have long walk to realize truth and development agenda for Tz!

Well said Mkuu!
Ile ni katiba ya Taifa inatakiwa kuunda muundo wa serikali na kusimamia haki za wananchi kwa maslahi ya wananchi na sio maslahi ya chama fulani!,
hao wabunge na wajumbe waliteuliwa pale, ni kwa ajili ya kuwakilisha wananchi kupitia taasi tofauti na sio kuwakilisha sera zao za vyama!
 
tatizo ni kwamba watanzania tumefumbwa na "ushabiki". hata hao unaoona wametoka katika taasisi au maeneo mengine wanambegu mbaya ndani yao ya usisiemu na uchadema. sinahakika kama tutafika "tutakapo"
 
It is totally boring kuona
kuwa bunge la katiba linaendeshwa kwa itikadi ya U-CCM versus
U-CHADEMA.
Haiwezekani kuona hoja ya marekebisho ikitolewa na pande yeyote kati ya
hao mafahali wawili upandi mwingine waka-support Never happened! Why
wanapishana kwa kiasi kikubwa hicho, kama wameshamaliza wiki mbili hata
hawakinza kazi kubwa iliyowapeleka huko ni misunguano, mikwaruzo,
mabishano, mizozo, matusi na kejeli ambazo hazina tija katika
kuhakikisha tunapata katiba mpya , kweli tutapata katiba iliyo bora???

Kweli wametumwa na wananchi kwa itikadi ya kivyama au maslahi ya
taifa???
We have long walk to realize truth and development agenda for
Tz!

Tatizo kubwa ni kwamba mmoja (CDM) amesimama na wananchi na hakuna hoja iliyo tolewa kupinga rasimu ya warioba na mwingine (ccm) amesimama kutetea maslahi ya chama na matumbo yao ndio maana mpaka sasa wanaongoza kupinga mapendekezo kadha wa kadha kwenye rasimu ya Warioba na hawa ndo tatizo kwa kweli siku wakijitambua mambo yatakwenda safi
 
Back
Top Bottom