Ninafundisha chuo somo fulani na huwa nakwenda vyuo vingine kufundisha part-time, ila kwa kweli visa vya wanafunzi wa kike vimenilegeza kabisa! Yaani utakuta unatoa lecture lakini unakuta mtoto wa kike amejichanua na anakuangalia, mara mwingine anajifanya hajaelewa na anauliza swali na ukiangalia kwake ndio kabisa.....vitu viko njenje....ukimwambia njoo ofisini ndio utaipata, utarudia somo na haelewi huku akilegeza mimamcho na kukuhemea sikioni!!!! Akijifanya akusikii....kama mko peke yenu ofisini utaona kila ukijitahidi kumuelewesha yeye anaangalia mdomo wako tu na macho yako huku akijilengesha....tena ukijifanya mgumu sasa wanakufanyia hivyo visa kutoka mmoja kwenda mwingine mpaka ulainike.....ole wako ukalale na mmoja wao kama ninavyoona kwa malecturer wenzangu.....na hapo ndio u lecturer basi...unatoa majibu ya mtihani bila shuruti!!! Unakuwa mdebwedo kwa wanafunzi wako! Halafu vitoto vyenyewe ni vizuri inataka moyo ila mimi nimeshinda majaribu mpaka sasa ila kwa kweli wakiendelea na mashambulizi namna hii sijui.....Malecturer poleni ila kuweni wagumu kama mimi na tutianeni moyo, na tuwasaidie wenzetu wanaoshindwa na majaribu!
Ila kuna wale malecturer wanaotumia nafasi zao vibaya! mnawapa watoto wawatu hypos ili muwagegede, acheni tabia hiyo chafu! Na ninyi wanafunzi mnaotutega malecturer acheni na mshindwe na mlegee......
Ila kuna wale malecturer wanaotumia nafasi zao vibaya! mnawapa watoto wawatu hypos ili muwagegede, acheni tabia hiyo chafu! Na ninyi wanafunzi mnaotutega malecturer acheni na mshindwe na mlegee......