Marioo wanamapenzi ya usanii akiangalia maslahi yake anaweza kukupeleka weekend Bagamoyo lakini in the long run utailipia tu ile weekendSasa na nyie wanawake mambo mengine ni kujitakia tu afu bdae mnakuja msingizia Mungu bure,ushajua kabisa mtu wako ni mario achana nae mapemaaaaa kabisa.ya nini uje ulee mwanaume?
Mwanamke unatakiwa utunzwe,ulindwe na upendwe.sio nyie kuhudumia mtu ambae hajielewi
Sasa ndio muache kuwa na mahusiano nao.mtafute strong man anaejielewa,achaneni na wapaka poda,wanyoa viduku na matozi.Marion wanamapenzi ya usanii akiangalia maslahi yake anaweza kukupeleka weekend Bagamoyo lakini in the long run utailipia tu ile weekend
Tabia ya umarioo ni ya mtu binafsi asiyependa kujiongeza na kujishughulishaHapo sasa unawmuona Hawaii kuolewa ni mke Nora kwa mwenzako
mbona tupo kibao tu,tatizo na nyie si hua mnapenda wauza sura.Matatizo ni hizo chances na opportunities za kukutana na wanaume wengi tunakutana no ni marioo