Handsome man
JF-Expert Member
- May 6, 2017
- 880
- 956
Unatafuta kujaza uzi tu wewe umarioo unaujua wewe au unausikia tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simtaka wenye kusuguliwa Sana, wacha niwe marioo tu kwako.na siku hizi ni wengi ..
hatari sanaBiashara ujue inalipa miss chagga.
Ninaogopa sana marioo kama huna pesa nendaWacheni tuwe mamarioo tu, maana wanawake wa sasaivi ukimuonyesha pesa tu atakuchuna mpaka utoke vidonda, ila ukiwapatia tyming tu hapo hapo na wewe unajibebisha and then anamwaga mpunga
nilimwachaga bf kisa kaniomba elfu hamsini acha tu .. huyo nahisi hata akili itadelete kila kinachomuhusuKale ka mililion kako ulikokatolea jasho mtu anakaomba eti akajirudhie
Kama mimi siwezi kutumia nguvu nyingi kukufikisha Kileleni Alafu nikuonge , kwa hapo utanisamehe tu,Marion wanamapenzi ya usanii akiangalia maslahi yake anaweza kukupeleka weekend Bagamoyo lakini in the long run utailipia tu ile weekend
uje na pesa zakoSimtaka wenye kusuguliwa Sana, wacha niwe marioo tu kwako.
UTAFITI.Ninaogopa sana marioo kama huna pesa nenda
Pesa ninazo na kukuonga na kuonga tu, Ila Sikufikishi kileleni.uje na pesa zako
bora pesaPesa ninazo na kukuonga na kuonga tu, Ila Sikufikishi kileleni.
Na pesa sina Ila nina mapenzi ya dhati kwako na kwenye Kusex nakufikisha kileleni vizuri sana tena zaidi ya Mara 3 .
Bora nini hapo?
Umevurugwa wewe sio burebora pesa
jamani si kila mtu na akipendachoUmevurugwa wewe sio bure
bora pesa
Hivi kuna tofauti kati ya dada poa na mario?Pesa ninazo na kukuonga na kuonga tu, Ila Sikufikishi kileleni.
Na pesa sina Ila nina mapenzi ya dhati kwako na kwenye Kusex nakufikisha kileleni vizuri sana tena zaidi ya Mara 3 .
Bora nini hapo?
kukojozwa ni option kwanguna siwezi mpa mwanaume pesa anikojoze aiseeAlafu Ukishaipata pesa Unaenda kutafuta Marioo wa kukukojoza! Same BULLSHIT different day