#COVID19 U.S.A. Supreme Court ruling: Covid vaccines are not vaccines

Nilishamwambia several times aache kuwa delusional
 
Hizo ni uncalled for sematics.Iliyoamua ni New York Supreme Court,lakini is it not based in the US.So if it is based in the US,it is a "US" Supreme Court.Jambo la msingi ni kwamba the decision has been made,and it is binding.
NY Supreme Court in in New York USA. But NY Supreme Court is not the Supreme Court of USA. Period.
 
NY Supreme Court in in New York USA. But NY Supreme Court is not the Supreme Court of USA. Period.
Kwa nini iitwe Supreme Court kama sio Supreme Court.It is the Supreme Court for the State of New York.Narudia sematics hazitakusaidia sana,kama umechanja pole.
 
Kwa nini iitwe Supreme Court kama sio Supreme Court.It is the Supreme Court for the State of New York.Narudia sematics hazitakusaidia sana,kama umechanja pole.
Hiyo ni mahakama kuu ya jimbo la NY siyo mahakama kuu ya Taifa la marekani. Mbona una kichwa ngumu?!
 
Soma hii hapa👇.Ndani humo kuna package nzima kuhusu C-19 and the so called C-19 vaccines.Soma uelimike


Mkuu wewe kama umechanja pole,lakini decision ya New York Supreme Court is correct,tuliujua ukweli tangu 2020 kwamba hizi sio chanjo,and we have been blowing the trumpet since than,lakini watu hawakutusikia.It is a pity and I can only say sorry.
 
Hiyo ni mahakama kuu ya jimbo la NY siyo mahakama kuu ya Taifa la marekani. Mbona una kichwa ngumu?!
I know,so what,is it not binding.Kwani Court Kuu ya Tanzania haihamishi sittings zake mikoani,na inapofanya decisions hizo sio banding?Wewe you are just trying to bury your head in the sand,hamna lolote.You are comforting yourself.
 
No you don’t. Just quit being stupid.
Tell me my stupidity.Wewe ndiye stupid,ambaye ulikubali kuingiziwa kitu kwenye mwili wako ambacho hukijui.Yaani serikali imekuambia wazi ujaze form ili ukipata matatizo iwe juu yako,na wewe kwa ujinga ulio nao ukakubali kuchanja!Aisee,you can't be more stupid.Pole.
 
Kwani NY Supreme Court ikitoa maamuzi wewe huyaamini mpaka yawe yametolewa na US Supreme Court mkuu!!?
 
Kwani NY Supreme Court ikitoa maamuzi wewe huyaamini mpaka yawe yametolewa na US Supreme Court mkuu!!?
Umesoma nilichokuwa naandika? Fuatilia kwanza posting zangu ili uelewe nachokisema kuhusu hii thread.
 
Acha upotoshaji wewe..chanjo ndio best option mpaka sasa kupambana na magonjwa...

#MaendeleoHayanaChama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…