ulitaka JK aharibu ili ulete ujinga wako humu.
unatamani angepelekwa shirima au masawe akaongee. JK anawafanya mjione wajinga sana
Kutafsiri fasihi ni kazi ya fanani....
Audience/Fanani wataamua ,kwa mfano wewe umeshaamua kuhusu ujumbe wa JK na African leaders ,mimi nimeelewa nilivyo elewa, investor mmoja mmoja kaelewa alivyoelewa.Je is mission accomplished hilo yutalijua baada ya kuona respond ya investors...remember hao jamaa wamekuwa wakimpa tuzo za kila aina 1.Impact Leader in Africa 2.Democratic leader of the year in Africa .....Tanzania wanakuja tuu there are potential
Uongo gani aliosema?sehemu gani?
Sehemu ambayo moderator aliongezea swali ni pale JK aliposema kuwa Ebola ipo west and Tanzania iko East africa,moderator akasema kuna ndege pia ,JK aka support ku clarify akasema sio hivyo tuu ila mwaka jana ebola ilikuwa Uganda and kuna mwaka ilikuwa DRC zote ziko mipakana na Tanzania akimaanisha anaungana na moderator kuwa ebola ni concern ya kila mtu ,akaelizea jinsi nchi kama Tanzania walivyojipanga kukabili kwa maana ya kutambua symptoms and contain kwa level ndogo.....
Bro they are bad and good story about Africa...they were there for good story so that investors can come.
Sijawahi mtetea JK wala CCM ila kwa hili namtetea NA bottom-line na support alivyo present...may be he could do better but pia hajaharibu kama inavyotaka kuonyeshwa hapa
Siyo hiyo tu. Tunauza nini kwenye soko la Marekani? Miaka yote ya AGOA tumeshindwa hata kufufua viwanda vya nguo.
Hiyo ya ukoloni si ahbari ena acheni uzembe.Taiwan,Hong Kong,South Africa, S korea, etc hazijawahi kuwa huru..kutoka kwa mkoloni mmoja hadi mbabe wa kichina.Yaani wamerudishwa kutawaliwa na mtu aliyepo nyuma kuliko wao ktk kila nyanja zaidi ya wingi wa watu.China wenyewe na nchi nyingine km thailand,malaysia, etc walipata uhuru na sisi na baada yetu.Utumwa wetu ni ktk fikra,kugushi,kujifunza vitu nusu nusu, na kuviacha kukimbilia vingine,kuambina ujinga na wengine kutusupport
Kwa kweli Kikwete ni hasara! Ni Swali rahisi sana liliulizwa kwamba: Ninyi mkiwa kama viongozi wa Africa, ni nini mtazamo wenu kuhusu ugonjwa wa Ebola?
Jibu la rais Kikwete: Ebola ipo huko Afrika magharibi, Tanzania iko Afrika mashariki. Hata hivyo Tanzania tunajitahidi kujijengea uwezo ili pindi ugonjwa huo utakapoingia Tanzania tuweze kuufahamu...
Jibu la rais wa Senegal: Ugonjwa wa Ebola usichukuliwe kama ugonjwa wa Afrika tu bali kama janga la kibinadamu. Natoa mwito kwa viongozi wenzangu wa Afrika na dunia, tushirikiane wote ili tuweze kuutokomeza huu ugonjwa. Vilevile natoa mwito kwa wanasayansi wote duniani kufanya utafiti ili kujua chanzo cha ugonjwa huu ulioathiri maisha ya watu wengi hadi sasa.
My Opinion: Nachelea kusema kwamba hilo jibu la rais wetu ni jibu la watoto wa chekechea. Kwa mara ya kwanza nimemkumbuka rais mstaafu Mkapa. Haya mambo yeye alikuwa anayaweza. !