Trainers washakufaNyingi zinadondoshwa sana Ukraine, ingawa bado ni challenge.
Common feature ya Iranian drones ni kwamba zikiwa angani zinapiga kelele kama mashine za kusaga au kukoboa, hvyo wananchi wa kawaida hawaitaji hata vifaa kuzigundua tofauti na drones nyingine.
Hiyo ya zamani kabla training facility haijashambuliwa
Kuna wengine bado wapo ndani ya Russia.Trainers washakufa
Hizi drones Russia aliagiza kwa maelfu, hata juzi Ukraine aliutaarifu umma kutungua drone zingine nne za Iran.Hiyo ya zamani kabla training facility haijashambuliwa
Ukubwa wa eneo au ukubwa wann kwasababu Russia na nchi nyingine za kikomunist serikali ndo inakuaga kubwa putin na serikali yake washaoneshwa kushindwaNyie mnamasihara yani nchi kubwa kama Russia iwe under surveilance ya US[emoji23][emoji23][emoji23] vituko ivi wao wenyewe wanajua endapo Russia akiamua kutumia Nukes basi siyo US wala UE wenye uwezo wa kuzuia ilo bomu na mabomu ya nukes mengi yapo kwenye submarine
Kwahiyo CIA haijui kama kuna nuclear kwenye submarines za Russia?Nyie mnamasihara yani nchi kubwa kama Russia iwe under surveilance ya US[emoji23][emoji23][emoji23] vituko ivi wao wenyewe wanajua endapo Russia akiamua kutumia Nukes basi siyo US wala UE wenye uwezo wa kuzuia ilo bomu na mabomu ya nukes mengi yapo kwenye submarine
Kwa Russia wanaishi mbinguni? Unafikiri Intel community ya Us inapataje taarifa za russia positions hapo ukraine? Movements, suply,field strategy?Nyie mnamasihara yani nchi kubwa kama Russia iwe under surveilance ya US[emoji23][emoji23][emoji23] vituko ivi wao wenyewe wanajua endapo Russia akiamua kutumia Nukes basi siyo US wala UE wenye uwezo wa kuzuia ilo bomu na mabomu ya nukes mengi yapo kwenye submarine
Nakubaliana na wewe, hakuna seniour officer atakayekubali Russia kutumia nuclear, kutumia nuclear ukiwa hujui wenzio watakujibu vipi ni risk kubwa saaana na moja kwa moja ni kuangusha utawala.Dikteta Putin anabipu tu watu hawezi akatumia nyuklia kwani anafahamu kabisa madhara yake kwamba akijaribu tu kuitumia ndio utakuwa mwisho wa urais wake.
Hata wakubwa kwenye jeshi la Russia hawawezi kukubali kutekeleza amri ya kijinga kama hiyo kwani hata wao wenyewe wanajeshi wa Russia hawawezi kuwa salama wakiitumia.
Dikteta Putin ajiandae tu kuondoka Ukraine maanake hamna namna anaweza kushinda vita, kamwe Marekani na Nato hawawezi kukubali Russia ishinde vita hata iweje.
Kuna rivert joint, sentinel, awacs zote hizi zipo angani kuona movement, kuna maxar technologies, hawa ndo walituonesha vifaru km64 kuelekea kyivKwa Russia wanaishi mbinguni? Unafikiri Intel community ya Us inapataje taarifa za russia positions hapo ukraine? Movements, suply,field strategy?
They have people on the ground.
Tofauti ni kuwa how far can they go.
Si russia pekee mwenye hayo makombora. Hata wao wanayo.
Kama US, EU wangekuwa empty russia angesha watandika sikunyingi
Hii mimi naiteremsha na manati tuu.
Nimecheka sana.Hii mimi naiteremsha na manati tuu.
Hii kuishusha kwa air defense system ni matumizi mabaya ya resources hii manati tuu inateremka chini hahahNimecheka sana.
Chukua LIKE mkuuTubishane tu kwa hoja tutaeleweka vyema. Matusi wala haya-add value yoyote kwenye mjadala.
Wewe ndiyo una masihara sasa,kwamba wewe una ufahamu mkubwa wa zilipo hizo Silaha lakini CIA wasijue? [emoji3][emoji3].Kwani kuwa under surveilance kulingana na mtoa mada umeelewaje? Lakini pia ukubwa wa Russia hauna maana kama tu mpaka sasa anatolewa jasho na underdog Ukraine.Unaweza kuwa mkubwa kama pilipili hoho na usiwe na makali kama ya pilipili mbuzi.Nyie mnamasihara yani nchi kubwa kama Russia iwe under surveilance ya US[emoji23][emoji23][emoji23] vituko ivi wao wenyewe wanajua endapo Russia akiamua kutumia Nukes basi siyo US wala UE wenye uwezo wa kuzuia ilo bomu na mabomu ya nukes mengi yapo kwenye submarine
Hata wakigundua wataishia kubweka tu Majimbo yameshaondoka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635]U.S. and allied intelligence agencies are stepping up efforts to detect any Russian military moves or communications that might signal that Vladimir Putin has ordered the use of nuclear weapons in Ukraine, according to five current and former U.S. officials.
“We’re watching it more closely,”
Recent efforts include tasking additional U.S. and allied intelligence assets — in the air, space and cyberspace — and relying more heavily on commercial Earth-imaging satellites to analyze Russian units in the field that might be in position to get the nuclear order, the official said.
Kwendana na taarifa za kuaminika kutoka vyanzo mbalimbali ndani ya serikali ya Marekani, Marekani imeongeza nguvu katika kukusanya taarifa za kijasusi ili kuweza kugundua nyendo za majeshi ya Urusi kuhusiana na uwezekano wa matumizi ya mabomu ya kinyuklia nchini Ukraine, hii ni pamoja na uwezekano wa utolewaji wa amri hiyo kutoka kwa Putin mwenyewe.
Kwendana na Mashuhuda mbalimbali, marekani imekuwa ikirusha ndege za kiuchunguzi RC-135 Joint Rivet pembezoni mwa nchi washirika 24/7, ili kugundua matumizi yoyote yale ya mabomu ya kinyuklia kwa siri nchini Ukraine.
View attachment 2371445
Lengo kuu ni kuiwezesha serikali ya marekani pamoja na washirika wake kujibu mapigo kwa wakati kutokana na matumizi hayo.
US na NATO ni mbwa koko tuHaya mambo mazito, acha tutazame tuone mwisho wakeView attachment 2371447
Mmekutana wauza karanga wa Tegeta Kwa ndevu mnadanganyana tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Marekani it's no joke, na Putin anafahamu hilo.
Updates.Hiyo ya zamani kabla training facility haijashambuliwa