U.S. and allied intelligence agencies are stepping up efforts to detect any Russian military moves or communications that might signal that Vladimir Putin has ordered the use of nuclear weapons in Ukraine, according to five current and former U.S. officials.
“We’re watching it more closely,”
Recent efforts include tasking additional U.S. and allied intelligence assets — in the air, space and cyberspace — and relying more heavily on commercial Earth-imaging satellites to analyze Russian units in the field that might be in position to get the nuclear order, the official said.
Kwendana na taarifa za kuaminika kutoka vyanzo mbalimbali ndani ya serikali ya Marekani, Marekani imeongeza nguvu katika kukusanya taarifa za kijasusi ili kuweza kugundua nyendo za majeshi ya Urusi kuhusiana na uwezekano wa matumizi ya mabomu ya kinyuklia nchini Ukraine, hii ni pamoja na uwezekano wa utolewaji wa amri hiyo kutoka kwa Putin mwenyewe.
Kwendana na Mashuhuda mbalimbali, marekani imekuwa ikirusha ndege za kiuchunguzi RC-135 Joint Rivet pembezoni mwa nchi washirika 24/7, ili kugundua matumizi yoyote yale ya mabomu ya kinyuklia kwa siri nchini Ukraine.
Lengo kuu ni kuiwezesha serikali ya marekani pamoja na washirika wake kujibu mapigo kwa wakati kutokana na matumizi hayo.
“We’re watching it more closely,”
Recent efforts include tasking additional U.S. and allied intelligence assets — in the air, space and cyberspace — and relying more heavily on commercial Earth-imaging satellites to analyze Russian units in the field that might be in position to get the nuclear order, the official said.
Kwendana na taarifa za kuaminika kutoka vyanzo mbalimbali ndani ya serikali ya Marekani, Marekani imeongeza nguvu katika kukusanya taarifa za kijasusi ili kuweza kugundua nyendo za majeshi ya Urusi kuhusiana na uwezekano wa matumizi ya mabomu ya kinyuklia nchini Ukraine, hii ni pamoja na uwezekano wa utolewaji wa amri hiyo kutoka kwa Putin mwenyewe.
Kwendana na Mashuhuda mbalimbali, marekani imekuwa ikirusha ndege za kiuchunguzi RC-135 Joint Rivet pembezoni mwa nchi washirika 24/7, ili kugundua matumizi yoyote yale ya mabomu ya kinyuklia kwa siri nchini Ukraine.
Lengo kuu ni kuiwezesha serikali ya marekani pamoja na washirika wake kujibu mapigo kwa wakati kutokana na matumizi hayo.