U.S. steps up intel, surveillance after Putin’s nuke threats

U.S. steps up intel, surveillance after Putin’s nuke threats

John7371

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2018
Posts
2,994
Reaction score
6,676
U.S. and allied intelligence agencies are stepping up efforts to detect any Russian military moves or communications that might signal that Vladimir Putin has ordered the use of nuclear weapons in Ukraine, according to five current and former U.S. officials.

“We’re watching it more closely,”

Recent efforts include tasking additional U.S. and allied intelligence assets — in the air, space and cyberspace — and relying more heavily on commercial Earth-imaging satellites to analyze Russian units in the field that might be in position to get the nuclear order, the official said.

Kwendana na taarifa za kuaminika kutoka vyanzo mbalimbali ndani ya serikali ya Marekani, Marekani imeongeza nguvu katika kukusanya taarifa za kijasusi ili kuweza kugundua nyendo za majeshi ya Urusi kuhusiana na uwezekano wa matumizi ya mabomu ya kinyuklia nchini Ukraine, hii ni pamoja na uwezekano wa utolewaji wa amri hiyo kutoka kwa Putin mwenyewe.

Kwendana na Mashuhuda mbalimbali, marekani imekuwa ikirusha ndege za kiuchunguzi RC-135 Joint Rivet pembezoni mwa nchi washirika 24/7, ili kugundua matumizi yoyote yale ya mabomu ya kinyuklia kwa siri nchini Ukraine.

1664443975195.png


Lengo kuu ni kuiwezesha serikali ya marekani pamoja na washirika wake kujibu mapigo kwa wakati kutokana na matumizi hayo.
 
RC-135 Joint Rivet.

Contractor: L-3 Communications

Service: United States Air Force

Power Plant: Four CFM International F108-CF-201 high bypass turbofan engines

Speed: 500 mph

Range: 3,900 miles (6,500 kilometers)

Crew: (flight crew) five (augmented) - three pilots, two navigators; (mission flight crew) 21-27, depending on mission requirements, minimum consisting of three electronic warfare officers, 14 intelligence operators and four inflight/airborne maintenance technicians

The RC-135V/W Rivet Joint is the U.S. Air Force’s primary signals intelligence aircraft. The RC-135V/W Rivet Joint reconnaissance aircraft supports theater and national level consumers with near real time on-scene intelligence collection, analysis and dissemination capabilities.
 
the occupation of Haiti, and most recently over Bosnia. Using automated and manual equipment, electronic and intelligence specialists can precisely locate, record and analyse much of what is being done in the electromagnetic spectrum. The fleet of 14 RIVET JOINT aircraft increased to 15 in late 1999 with the addition of a converted C-135B. The jet's conversion cost about $90 million.

Basic roles include:

  • providing indications about the location and intentions of enemyforces and warnings of threatening activity
  • broadcasting a variety of direct voice communications. Of highest priority are combat advisory broadcasts and imminent threat warnings that can be sent direct to aircraft in danger
  • operating both data and voice links to provide target info to US ground based air defenses
The RIVET JOINT aircraft are capable of conducting ELINT and COMINT intercept operations against targets at ranges of up to 240 kilometers [in contrast to the 280 kilometer intercept range of the higher-flying U-2].
 
U.S. and allied intelligence agencies are stepping up efforts to detect any Russian military moves or communications that might signal that Vladimir Putin has ordered the use of nuclear weapons in Ukraine, according to five current and former U.S. officials.

“We’re watching it more closely,”

Recent efforts include tasking additional U.S. and allied intelligence assets — in the air, space and cyberspace — and relying more heavily on commercial Earth-imaging satellites to analyze Russian units in the field that might be in position to get the nuclear order, the official said.

Kwendana na taarifa za kuaminika kutoka vyanzo mbalimbali ndani ya serikali ya Marekani, Marekani imeongeza nguvu katika kukusanya taarifa za kijasusi ili kuweza kugundua nyendo za majeshi ya Urusi kuhusiana na uwezekano wa matumizi ya mabomu ya kinyuklia nchini Ukraine, hii ni pamoja na uwezekano wa utolewaji wa amri hiyo kutoka kwa Putin mwenyewe.

Kwendana na Mashuhuda mbalimbali, marekani imekuwa ikirusha ndege za kiuchunguzi RC-135 Joint Rivet pembezoni mwa nchi washirika 24/7, ili kugundua matumizi yoyote yale ya mabomu ya kinyuklia kwa siri nchini Ukraine.

View attachment 2371445

Lengo kuu ni kuiwezesha serikali ya marekani pamoja na washirika wake kujibu mapigo kwa wakati kutokana na matumizi hayo.
Haya mambo mazito, acha tutazame tuone mwisho wake
Screenshot_20220929_123540_com.android.chrome.jpg
 
Updates. CNN: European security officials on Monday and Tuesday observed Russian Navy support ships in the vicinity of leaks in the NordStream pipelines likely caused by underwater explosions.
 
U.S. and allied intelligence agencies are stepping up efforts to detect any Russian military moves or communications that might signal that Vladimir Putin has ordered the use of nuclear weapons in Ukraine, according to five current and former U.S. officials.

“We’re watching it more closely,”

Recent efforts include tasking additional U.S. and allied intelligence assets — in the air, space and cyberspace — and relying more heavily on commercial Earth-imaging satellites to analyze Russian units in the field that might be in position to get the nuclear order, the official said.

Kwendana na taarifa za kuaminika kutoka vyanzo mbalimbali ndani ya serikali ya Marekani, Marekani imeongeza nguvu katika kukusanya taarifa za kijasusi ili kuweza kugundua nyendo za majeshi ya Urusi kuhusiana na uwezekano wa matumizi ya mabomu ya kinyuklia nchini Ukraine, hii ni pamoja na uwezekano wa utolewaji wa amri hiyo kutoka kwa Putin mwenyewe.

Kwendana na Mashuhuda mbalimbali, marekani imekuwa ikirusha ndege za kiuchunguzi RC-135 Joint Rivet pembezoni mwa nchi washirika 24/7, ili kugundua matumizi yoyote yale ya mabomu ya kinyuklia kwa siri nchini Ukraine.

View attachment 2371445

Lengo kuu ni kuiwezesha serikali ya marekani pamoja na washirika wake kujibu mapigo kwa wakati kutokana na matumizi hayo.
... hii sasa ndio Marekani tunayoifahamu! Dah; hawa jamaa wana silaha na mavyombo ambayo hata malaika hawayafahamu hak'ya nani!
 
Nyie mnamasihara yani nchi kubwa kama Russia iwe under surveilance ya US[emoji23][emoji23][emoji23] vituko ivi wao wenyewe wanajua endapo Russia akiamua kutumia Nukes basi siyo US wala UE wenye uwezo wa kuzuia ilo bomu na mabomu ya nukes mengi yapo kwenye submarine
 
Hivi zile drone za Iran zimepotelea wap?
Nyingi zinadondoshwa sana Ukraine, ingawa bado ni challenge.

Common feature ya Iranian drones ni kwamba zikiwa angani zinapiga kelele kama mashine za kusaga au kukoboa, hvyo wananchi wa kawaida hawaitaji hata vifaa kuzigundua tofauti na drones nyingine.
 
the occupation of Haiti, and most recently over Bosnia. Using automated and manual equipment, electronic and intelligence specialists can precisely locate, record and analyse much of what is being done in the electromagnetic spectrum. The fleet of 14 RIVET JOINT aircraft increased to 15 in late 1999 with the addition of a converted C-135B. The jet's conversion cost about $90 million.

Basic roles include:

  • providing indications about the location and intentions of enemyforces and warnings of threatening activity
  • broadcasting a variety of direct voice communications. Of highest priority are combat advisory broadcasts and imminent threat warnings that can be sent direct to aircraft in danger
  • operating both data and voice links to provide target info to US ground based air defenses
The RIVET JOINT aircraft are capable of conducting ELINT and COMINT intercept operations against targets at ranges of up to 240 kilometers [in contrast to the 280 kilometer intercept range of the higher-flying U-2].
Mambo ya military science haya
 
Dikteta Putin anabipu tu watu hawezi akatumia nyuklia kwani anafahamu kabisa madhara yake kwamba akijaribu tu kuitumia ndio utakuwa mwisho wa urais wake.

Hata wakubwa kwenye jeshi la Russia hawawezi kukubali kutekeleza amri ya kijinga kama hiyo kwani hata wao wenyewe wanajeshi wa Russia hawawezi kuwa salama wakiitumia.

Dikteta Putin ajiandae tu kuondoka Ukraine maanake hamna namna anaweza kushinda vita, kamwe Marekani na Nato hawawezi kukubali Russia ishinde vita hata iweje.
 
Back
Top Bottom