Vumbi la congo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 666
- 981
Jamani poleni!
Huyu kocha wetu wa u17ya Tanzania hivi mpaka tunampa timu tulizingatia ni nini au kujua kuongea kiingereza au mpira hauhitaji 'experience" maana sijui aliwahi kufundisha klabu gani ,mtu asije na bla bla za Gabon eti alikuwa kocha msaidizi.
Sasa kwa mujibu wa baadhi ya wachezaji walio kuwa na 'constency' nzuri aliwaua kiviwango akabeba watoto wapya. Sasa zipo tetesi zinaenea japo hazina uhakika.
-kuwa udalali wa wachezaji,
-Umaeneo
-Kutoshaurika
-uwezo mdogo wa kocha kimbinu na kiuzoefu.
-Alikuwa anatembelea nyota ya Kim Paulsen.
Yote hayo ,ilmradi kila mtu analake.
Mimi nashauri awekwe lock up, tu aulizwe kijeshi kwanini ashtakiwe.
Maana watoto wazuri aliowafubaza kukua kisoka ni pamoja na;
Edson mshilakandi
Agiri ngoda
Mstafa Nankuku
Shaban kimwaga n.k.
Namtabiria Amonike hayahaya ,kama ataendelea kutokuwa na first eleven.
Poa tu! Always next time. Yaani hata kudroo ilishindikana.
Huko kujuana ndo udalali, ndo maana hushauri kocha awe mzunguwachezaji tunao ila timu zetu wanachagua wachezaj kwa kujuana mpaka makocha wanapeana peana tu kwa maslahi yao,,na hayo ndio matokeo yake,,kwa upumbavu huu wala sijutii kushabikia soka la ulaya
Ni uchungu tu! Hatuwezi kumfunga ila kama alikuwa hawez angesema.Awekwe lock up kwa sheria gani,hiyo ni ajira usipo perfom unaondolewa,tuache kuwa na ubabe wa kijinga
KafanyajeMakonda
Kafanyaje
Mimi nalia benchi la ufundiKaiangusha Serengeti boys
Mimi nalia benchi la ufundi
Dah! Watoto walikuwa waoge pesa aiseeeunaahidi watoto wadogo magari na furushi la hela sasa wamechanganyikiwa wakawa wanawaza magari na hela zaidi mpaka wakashindwa kucheza
Point ya umaeneo ,hata hivyo wazo lako zuriKocha tatizo.. Uteuzi wa wachezaji ulikuwa duni Sana. . Mtaani Kuna. Madogo mafundi wazazi wao hawana uwezo wa kuwalipia Academy uchwara. . 2021 sio mbali wapite mtaa kwa mtaa kutafuta watoto wa umri wa miaka 14+..Zanzibar nako wasisahau kuna ligi nzuri ya vijana
Chief kocha hastahili lawama hta kidogo tatizo la serengeti boys ni kukosa maandalizi ya maana ...binafsi nilivyoskia tu serengeti boys imeenda arusha kucheza mechi za kirafiki na timu za daraja la pili nikajua kbsa hawatofika mbali , serengeti boys walihitaji kuweka kambi ya maana kwenye nchi zilizopiga hatua kisokaJamani poleni!
Huyu kocha wetu wa u17ya Tanzania hivi mpaka tunampa timu tulizingatia ni nini au kujua kuongea kiingereza au mpira hauhitaji 'experience" maana sijui aliwahi kufundisha klabu gani ,mtu asije na bla bla za Gabon eti alikuwa kocha msaidizi.
Sasa kwa mujibu wa baadhi ya wachezaji walio kuwa na 'constency' nzuri aliwaua kiviwango akabeba watoto wapya. Sasa zipo tetesi zinaenea japo hazina uhakika.
-kuwa udalali wa wachezaji,
-Umaeneo
-Kutoshaurika
-uwezo mdogo wa kocha kimbinu na kiuzoefu.
-Alikuwa anatembelea nyota ya Kim Paulsen.
Yote hayo ,ilmradi kila mtu analake.
Mimi nashauri awekwe lock up, tu aulizwe kijeshi kwanini ashtakiwe.
Maana watoto wazuri aliowafubaza kukua kisoka ni pamoja na;
Edson mshilakandi
Agiri ngoda
Mstafa Nankuku
Shaban kimwaga n.k.
Namtabiria Amonike hayahaya ,kama ataendelea kutokuwa na first eleven.
Poa tu! Always next time. Yaani hata kudroo ilishindikana.
Hzo timu nyingine zlkuwa nchi gani iliyoendelea kisoka? Kila mwaka visngzio ni maandaliziChief kocha hastahili lawama hta kidogo tatizo la serengeti boys ni kukosa maandalizi ya maana ...binafsi nilivyoskia tu serengeti boys imeenda arusha kucheza mechi za kirafiki na timu za daraja la pili nikajua kbsa hawatofika mbali , serengeti boys walihitaji kuweka kambi ya maana kwenye nchi zilizopiga hatua kisoka