U17-Tanzania:Kocha wetu sijui tulimwamini vipi

U17-Tanzania:Kocha wetu sijui tulimwamini vipi

wachezaji tunao ila timu zetu wanachagua wachezaj kwa kujuana mpaka makocha wanapeana peana tu kwa maslahi yao,,na hayo ndio matokeo yake,,kwa upumbavu huu wala sijutii kushabikia soka la ulaya
 
Jamani poleni!
Huyu kocha wetu wa u17ya Tanzania hivi mpaka tunampa timu tulizingatia ni nini au kujua kuongea kiingereza au mpira hauhitaji 'experience" maana sijui aliwahi kufundisha klabu gani ,mtu asije na bla bla za Gabon eti alikuwa kocha msaidizi.
Sasa kwa mujibu wa baadhi ya wachezaji walio kuwa na 'constency' nzuri aliwaua kiviwango akabeba watoto wapya. Sasa zipo tetesi zinaenea japo hazina uhakika.
-kuwa udalali wa wachezaji,
-Umaeneo
-Kutoshaurika
-uwezo mdogo wa kocha kimbinu na kiuzoefu.
-Alikuwa anatembelea nyota ya Kim Paulsen.
Yote hayo ,ilmradi kila mtu analake.
Mimi nashauri awekwe lock up, tu aulizwe kijeshi kwanini ashtakiwe.
Maana watoto wazuri aliowafubaza kukua kisoka ni pamoja na;
Edson mshilakandi
Agiri ngoda
Mstafa Nankuku
Shaban kimwaga n.k.

Namtabiria Amonike hayahaya ,kama ataendelea kutokuwa na first eleven.

Poa tu! Always next time. Yaani hata kudroo ilishindikana.

Awekwe lock up kwa sheria gani,hiyo ni ajira usipo perfom unaondolewa,tuache kuwa na ubabe wa kijinga
 
wachezaji tunao ila timu zetu wanachagua wachezaj kwa kujuana mpaka makocha wanapeana peana tu kwa maslahi yao,,na hayo ndio matokeo yake,,kwa upumbavu huu wala sijutii kushabikia soka la ulaya
Huko kujuana ndo udalali, ndo maana hushauri kocha awe mzungu
 
Awekwe lock up kwa sheria gani,hiyo ni ajira usipo perfom unaondolewa,tuache kuwa na ubabe wa kijinga
Ni uchungu tu! Hatuwezi kumfunga ila kama alikuwa hawez angesema.
 
unaahidi watoto wadogo magari na furushi la hela sasa wamechanganyikiwa wakawa wanawaza magari na hela zaidi mpaka wakashindwa kucheza
Dah! Watoto walikuwa waoge pesa aiseee
 
Kocha tatizo.. Uteuzi wa wachezaji ulikuwa duni Sana. . Mtaani Kuna. Madogo mafundi wazazi wao hawana uwezo wa kuwalipia Academy uchwara. . 2021 sio mbali wapite mtaa kwa mtaa kutafuta watoto wa umri wa miaka 14+..Zanzibar nako wasisahau kuna ligi nzuri ya vijana
 
Kocha tatizo.. Uteuzi wa wachezaji ulikuwa duni Sana. . Mtaani Kuna. Madogo mafundi wazazi wao hawana uwezo wa kuwalipia Academy uchwara. . 2021 sio mbali wapite mtaa kwa mtaa kutafuta watoto wa umri wa miaka 14+..Zanzibar nako wasisahau kuna ligi nzuri ya vijana
Point ya umaeneo ,hata hivyo wazo lako zuri
 
Jamani poleni!
Huyu kocha wetu wa u17ya Tanzania hivi mpaka tunampa timu tulizingatia ni nini au kujua kuongea kiingereza au mpira hauhitaji 'experience" maana sijui aliwahi kufundisha klabu gani ,mtu asije na bla bla za Gabon eti alikuwa kocha msaidizi.
Sasa kwa mujibu wa baadhi ya wachezaji walio kuwa na 'constency' nzuri aliwaua kiviwango akabeba watoto wapya. Sasa zipo tetesi zinaenea japo hazina uhakika.
-kuwa udalali wa wachezaji,
-Umaeneo
-Kutoshaurika
-uwezo mdogo wa kocha kimbinu na kiuzoefu.
-Alikuwa anatembelea nyota ya Kim Paulsen.
Yote hayo ,ilmradi kila mtu analake.
Mimi nashauri awekwe lock up, tu aulizwe kijeshi kwanini ashtakiwe.
Maana watoto wazuri aliowafubaza kukua kisoka ni pamoja na;
Edson mshilakandi
Agiri ngoda
Mstafa Nankuku
Shaban kimwaga n.k.

Namtabiria Amonike hayahaya ,kama ataendelea kutokuwa na first eleven.

Poa tu! Always next time. Yaani hata kudroo ilishindikana.
Chief kocha hastahili lawama hta kidogo tatizo la serengeti boys ni kukosa maandalizi ya maana ...binafsi nilivyoskia tu serengeti boys imeenda arusha kucheza mechi za kirafiki na timu za daraja la pili nikajua kbsa hawatofika mbali , serengeti boys walihitaji kuweka kambi ya maana kwenye nchi zilizopiga hatua kisoka
 
Chief kocha hastahili lawama hta kidogo tatizo la serengeti boys ni kukosa maandalizi ya maana ...binafsi nilivyoskia tu serengeti boys imeenda arusha kucheza mechi za kirafiki na timu za daraja la pili nikajua kbsa hawatofika mbali , serengeti boys walihitaji kuweka kambi ya maana kwenye nchi zilizopiga hatua kisoka
Hzo timu nyingine zlkuwa nchi gani iliyoendelea kisoka? Kila mwaka visngzio ni maandalizi
 
Back
Top Bottom