Uagizaji wa magari kupitia tradecareview toka Japan

Uagizaji wa magari kupitia tradecareview toka Japan

Bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi, usihatarishe pesa yako ilhali i kuna njia salama.

Sawabo swala la utapeli kwa kiasi fulani limepungua kwani yoyote anaetangaza kupitia wamepasishwa na hao hao tradecarview, mimi toka 2007 nimekuwa nikiagiza na hata siku moja sijapata shida. Na kampuni nilizoagiza ni:Real motors mara 2, Yuasa mara 3,Meteor co mara 2,Royal motors mara moja na mwisho ni mwezi uliopita West coast co. Kupitia pay trade ni kama security tu lakini wengi walio chini ya tradecarview ni wakweli.
 
Hebu nenda Japanese Used Cars | BE FORWARD wana magari mazuri and most cheapest and u can trust them. Wana stock level nzuri pia.

tradecarview is just a portal na kuwa makini matapeli ni wengi sana. Ukienda kwenye link yao ya SCAM u can see yourself.

Kama muhimu tumia paytrade.
 
Hebu nenda Japanese Used Cars | BE FORWARD wana magari mazuri and most cheapest and u can trust them. Wana stock level nzuri pia.

tradecarview is just a portal na kuwa makini matapeli ni wengi sana. Ukienda kwenye link yao ya SCAM u can see yourself.

Kama muhimu tumia paytrade.

hao jamaa ulio wataja, bei zao ni balaa
 
Watch out n be carefully na kabla ya kutuma sai salamu maria mara 70

Salamu Maria umejaa Neema bwana yu nawe......... Amina x70. Asante Mkuu, ndio maana nimeuliza! Nina exp na THL; ila sijaona Gari nilitakalo.
Kwa maoni ya wengi tradecarview ni trusteworth na nitatuma kupitia wao kupitia pay trade. Sitadeal na wauzaji moja kwa moja!

Nisaidie kusali Atukuzwe 5 tu!
 
Asante kwa maelezo, swali la nyongeza? je ni kiasi gani hawa jamaa wa CLEARING natakiwa kuwalipa? na je kuna malipo gani mengine baada ya kulipa watu wa TRA?

Kama gari yako ni ndogo clearing unawalipa laki mbili tu.
 
wazee hakuna kitu naogopa kama kununua gari kwa kutuma hela,hivi kuna tofaout ya bei kati ya kununua hapa au kuagiza?
 
wazee hakuna kitu naogopa kama kununua gari kwa kutuma hela,hivi kuna tofaout ya bei kati ya kununua hapa au kuagiza?

Obvious, tofauti lazima iwepo coz ile ni biashara.. sasa ulitaka wakuagizie gari wakuletee then wasiweke cha juu?
 
mkuu mimi nimewahi kuagiza gari mara mbili kichwa kichwa bila kutumia paytrade na nimeyapata. Tena mara ya mwisho nilitoka bank kutuma pesa kucheck news nikakuta Japan kuna mafuriko ya kufa mtu. Ila kama una roho nyepesi ni bora kutumia paytrade kwani gharama yake inaweza isizidi hata laki tano.
 
kuna wengine ni matapeli huko huko tradecarview.....check this from the website......

Auto Story Co Ltd Mr. Jorik, Manager of Foreign Trade It is now three months since I bought a car, but I can not tell when it will be shipped from Japan to Dar es Salaam Tanzania. I suspect that I have been cheated/conned by AUTO STOREY Co Ltd. Recently, 2-1-7-407 Horinouchi, Hachiouji-shi, Tokyo, JAPAN, Internet:
source:

Auto Story Co Ltd | Rip-off Report: 692292
 
Back
Top Bottom