kinega mtafutaji
Member
- May 9, 2013
- 12
- 0
naombeni ushauri..
mimi nilimaliza kidato cha nne 2010 na nilifanikiwa kupata history- C na civics-C ...mwaka Jana nilirudia(2012)
nikapata geography-C na kiswahili-B
je naweza kwenda government schools??
Na suala lingine mimi nataka kuchukua combination ya HGK je badae itanihusisha na taaluma gani???
naombeni ushauri wenu.!
mimi nilimaliza kidato cha nne 2010 na nilifanikiwa kupata history- C na civics-C ...mwaka Jana nilirudia(2012)
nikapata geography-C na kiswahili-B
je naweza kwenda government schools??
Na suala lingine mimi nataka kuchukua combination ya HGK je badae itanihusisha na taaluma gani???
naombeni ushauri wenu.!