Ualimu ndio mama wataaluma zote duniani.

King Innocent

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2011
Posts
1,046
Reaction score
715
Maendeleo ya nchi na jamii yeyote hutegemeana na kipaumbele katika taaluma ya ualimu. Hu ni ukweli usiokubalika kwa nchi nyingi za kiafrika lakini kwa nchi zilizo endelea kama Marekani na Uingereza moja ya fani inayothaminiwa sana ni fani ya ualimu na nifani ngumu sana kupata ajira ya ualimu kwenyehizo nchi. Mwalimu akiwa dhaifu atazalisha daktari dhaifu, wanasheria na wanauchumi dhaifu. Ufike wakati sasa serkali ijue umuhimu wa taaluma hii katika kuleta maendeleo nchni.
 
Ni kweli mkuu ila hapa nchini kwetu serikali haijaweka mkazo ,tatizo ni kwamba serikali imejikita sana kwenye 1.kujenga shule za kata nyingi 2.kuajiri walimu wengi wanasahau hata mishahara ni kitu muhimu sana cha kukiangalia haiwezekani tuseme tunataka kuboresha elimu wakati mishahara ni mdogo sana inakera sana mwalimu mwenye CHETI alipwe 296,000/=(ambayo ni kama posho ya nyumba ya wanayopewa mawakili wa serikali) ,DIPLOMA 432,000/ =(ambayo ni sawa na posho ya JWTZ),DEGREE 589,000/= kwa mishahara hii tutapiga kelele sana lazima serikali iangalie salaries za walimu kama moja ya hatua ya kuboresha elimu tanzania! nchi kama botswana waalimu wanapewa kipaumbele sana wanapewa nyumba na gari! naandika comment hii nikiwa na masikitiko sana kuona mtu aliyenifundisha ,kusoma,kuhesabu na kuandika hapewi maslahi ya kuridhisha CWT piganieni haki zenu! miaka ya themanini na tisini walimu walikuwa na TEACHING ALLOWANCE imeenda wapi siku hizi? au serikali haijatoa kipaumbele kwenye sekta ya ELIMU daaah
 



bwana awe nawee....

plz itikiaa mpigamsuli
 
Last edited by a moderator:

nakubaliana na wewe 100% bt nashauri wenye dv 1&2 ndo wawe walio walimu afu chujio la mwisho ndo waende fani zingine yan hapo hata mkilalamika mafao madogo mkuu wa kaya atawaongezea had em na machench chench..lakin hali ikiendelea kuwa hivi yan hata mpate mwakishi mahakama ya dunia hamtashinda kesi....
 
nikweli mkuu hiki nikilio cha mda mrefu hasa kwenye maslahi ya walimu, mshahara hautoshi kununua chakula cha kutosha, kulipa pango na kupata huduma nyingine za kijamii, ili mtu aweze kufanyakazi kwa ufasaa anatakiwa kisaikolojia na kimwili awe vizuri na hiki kitu wanakosa walimu wetu na tunasafari ndefu sana kuinua elimu yetu labda serkali itakapotambua umuhmu wa walimu wetu na kuwalipa mshahara wa kuridhisha ndipo mageuzi makubwa ya kielimu yatakapo tokea.
 
ushauri wako ni mzuri sana nchi kama kenya nao wameanza kufanya hivyo.
 

so udaktari in practice inawahitaji waliopata division 4.....!hebu fikiria tena

alitepata division 4 form four na kupata certificate anauwezo wa kumfundisha primary level ili afike form1

then aliyepata division 4 form six na kupata stashahada anaweza kufundisha_ mwisho form 4

then aliyefaulu form six na kupata shahada anafundisha A-level....!

hii series ni angalau kuliko ww unayetakaa. division 5 akasome udaktarii ......

tambua ugunduzi kwanza then ndo elimu na ugunduzi unahitajii..........!over


QUANTITY SURVEYOR
 

bila kuwa na msingi mzuri wa elimu bado fani yako itakuwa dhaifu. Mwalimu ndie mjenzi na msingi mkubwa wa fani yako ndo mana aliyesoma masomo ya sanaa katu hawezi kusoma udaktari kwasababu hana msingi na masomo ya science.
 
Mwalimu si lolote wala chochote bali ni mkatirishaji tu. Amekaririshwa nae anakuja kukaririsha. Mambo yote makubwa na ugunduzi wote duniani umefanywa na watu walikataa kufuata ukaririshaji wa waalimu. Kama Watu wanafaulu sababu ya waalimu basi hata wengi wanaofeli sababu ni waalimu haohao. Je tuwasifu kwa lipi?
Mtu yeyote aliyesoma na kufaulu vizuri anakumbuka nguvu alizolazimika kuchukua sababu aliona wazi akisubiri waalimu ataadhirika. Baadaye walimu wanajitapa wamefaulisha. What a shame!! Tufike mahali waalimu muelezwe ukweli. Mnahusika kuharibu maisha ya watu saana huku mnadai credit.
 
ushauri wako ni mzuri sana nchi kama kenya nao wameanza kufanya hivyo.

umeona eehe..ujue matabaka ya mishahara yanaanzia shule(academic performance)..sawa mwalimu na daktari walisoma darasa moja ila walipofika three ways corner dokta akapinda kulia mwalimu naye kushoto uhalisia ni kuwa kila mbuzi atakula urefu wa kamba yake so inakuwa kama vile wameshasahau background yao hawa majamaa....
 
huo n ukweli kabisaila sasa jamii yetu ikoje mfano mzuri n kama 2nayotaraj tokea januari mpaka sasa n danadana 2 had leo
 
huo n ukweli kabisaila sasa jamii yetu ikoje mfano mzuri n kama 2nayotaraj tokea januari mpaka sasa n danadana 2 had leo[/QUOT

na wewe ni mwalimu au mchangiaji...?

by the way mwandiko wako mbayaa
 

nayaheshimu wawazo yako mkuu japo yanauelekeo hasi katika taaluma ya ualimu. Naomba unipe mfana wa mgunduzi yeyote aliyekataa elimu. Si kweli mwalimu anakaririsha mfano kunamwanafilosofia wa kigiriki aliyeish miaka 500,bc kabla ya Yesu alikuwa mwalimu na alihimiza ufundishaji uwe kwa vitendo , learning by doing. Pia huyu ndie mwalimu wa mwanafilosofia maarufu na mtaalamu wa hesabu plato. Hoja zako hazina ukweli kwani bila mwalimu usingeweza kutumia computer au simu yako kuandika haya hapa jf. Ukweli utabaki kuwa mwalimu ni nguzo ya taaluma nyingine.
 

nayaheshimu wawazo yako mkuu japo yanauelekeo hasi katika taaluma ya ualimu. Naomba unipe mfana wa mgunduzi yeyote aliyekataa elimu. Si kweli mwalimu anakaririsha mfano kunamwanafilosofia wa kigiriki Socret aliyeish miaka 500,bc kabla ya Yesu alikuwa mwalimu na alihimiza ufundishaji uwe kwa vitendo , learning by doing. Pia huyu ndie mwalimu wa mwanafilosofia maarufu na mtaalamu wa hesabu plato. Hoja zako hazina ukweli kwani bila mwalimu usingeweza kutumia computer au simu yako kuandika haya hapa jf. Ukweli utabaki kuwa mwalimu ni nguzo ya taaluma nyingine.
 
bila kuwa na msingi mzuri wa elimu bado fani yako itakuwa dhaifu. Mwalimu ndie mjenzi na msingi mkubwa wa fani yako ndo mana aliyesoma masomo ya sanaa katu hawezi kusoma udaktari kwasababu hana msingi na masomo ya science.

kwani form 4 hawezi kumpa msingi primary, a level hawezi kumpa msingi o level, university level hawezi kumpa msingi a level, (masters, PhD kumpa ujuzi degree )

me naona inawezekanaa mfumo huu uboreshwee tuu...!

haingii akilini mtu kwenye division 4 apewe fursa direct kuendelea then finaly awe architect,quantity surveyor or enginer then mwenye division 1 abaki kuwa mwalimu.

swali la kujiuliza je atayamudu hayo masomo chuoni? kama mtu ameshindwa kutafuta velocity, ku-differentiate akiwa school levels je atawezaa mziki wa engineering mechanics, mechanics of material, huko chuoni au ndo tuwaache ili majengo yadondoke.



hoja yako nyepesi sana may be ungeshaurii serikali ibadilishe namna ya utunuku

division 1-fail(ualimu)
division 2-good(ualimu)
division 3-very good(ualimu)
division 4-excellent (ruhusa kuendelea level nyingine ya elimu, a-level or university i.e engineering studies )
just kidding Mtoa Mada ......!over


QUANTITY SURVEYOR
 
Last edited by a moderator:

mtu wa kwanza kugundua computer alifundishwa na nani?

ugunduzi kwanza then darasani

but labda sijaelewaa maada ...!!

but kuhusu mwenye division 1 wabanwe wawe walimu then failure waendelee hii hoja naipinga na asilimia 99 ya nchi zilizopo sayari ya dunia hamna hii kitu...!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…