Joseph midimu
Senior Member
- Mar 8, 2024
- 141
- 210
KWELI dogman.¿We omba tu hawaangalii GPA
Mbona watu,, wengine wanasema mpaka kuanzia 3.5 GPA.Hakuna GPA rasmi ya kuajiriwa, kikubwa uwe tayari kufanyakazi popote ndani ya nchi hii
Usisikie ya watu, wewe omba kisha ukipangiwa kituo huko Masasi vijijini usisahau kunipa maua yanguMbona watu,, wengine wanasema mpaka kuanzia 3.5 GPA.
Si mna ajira ya kusimamia uchaguzi permanent.NAOMBENI MNISAIDIE KIDOGO,, NIMECHANGANYIKIWA!
HIVI NINA DEGREE YA UALIMU WA MATH'S AND PHYSICS, NACHOHITAJI KUJUA NI KWAMBA NARUHUSIWA KUOMBA AJIRA SERIKALINI ANGALAU NIKIWA NA GPA YA NGAPI.¿ PIA NI SIFA GANI ZINAZOHITAJIKA.¿
Mkuu ndio kuchanganyikiwa kwenyewe msamehe tuMwalimu unajua sometimes mnashangaza sana yaani. Mweli mwalimu tena wa Physics na hesabu unauliza maswali haya kweli
Mbona ni homework rahisi sana hii mkuu kuliko yale ma calculus mliyofanya?
We mpe maelekezo anayohitaji acha umamaMwalimu unajua sometimes mnashangaza sana yaani. Mweli mwalimu tena wa Physics na hesabu unauliza maswali haya kweli
Mbona ni homework rahisi sana hii mkuu kuliko yale ma calculus mliyofanya?
Unajikuta mjaaaaanja mwenyewe kinyeo weweWe mpe maelekezo anayohitaji acha umama
Ntakutoa rindaUnajikuta mjaaaaanja mwenyewe kinyeo wewe
😁😁🎉😁😁,, nisaidie kuyatatua sasa mkuu!Mwalimu unajua sometimes mnashangaza sana yaani. Mweli mwalimu tena wa Physics na hesabu unauliza maswali haya kweli
Mbona ni homework rahisi sana hii mkuu kuliko yale ma calculus mliyofanya?
😁😁🎉😁😁,, nisaidieni kwakweli.Mwalimu endelea kuchanganyikiwa
Huyu ambaye ana hofu ya GPA unadhani amefanya la maana sasa?Mwalimu unajua sometimes mnashangaza sana yaani. Kweli mwalimu tena wa Physics na hesabu unauliza maswali haya kweli
Mbona ni homework rahisi sana hii mkuu kuliko yale ma calculus mliyofanya?