Uaminifu (100%) ktk ndoa inawezekana?

Uaminifu (100%) ktk ndoa inawezekana?

kwa kweli ni wazi kuwa swala hili linawezekana kabisa,ila problem ni kwa vijana wachanga kwenye ndoa wanaingia kwenye ndoa na wenza ambao hawakuwish kuwa nao ktk ndoa walishajiwekea picha ya mtu kama fulani ila kwa kuwa amemkosa na mazingira yanamtaka kuoa inabidi amwoe mtu ambae hakupanga kuwa nae.NAKUHAKIKISHIA KAMA UNA MTU UNAEMPENDA HUWEZI KUWA NA MWANAMKE MWINGINE KWANZA UNAKUWA UNAONA KINYAA KUGUSANA NA MTU MWINGINI KABISAAAA.....CHELEWA KUOA AU KUOLEWA HADI UMPATE WA MOYOOONI WAKO
 
kwa kweli ni wazi kuwa swala hili linawezekana kabisa,ila problem ni kwa vijana wachanga kwenye ndoa wanaingia kwenye ndoa na wenza ambao hawakuwish kuwa nao ktk ndoa walishajiwekea picha ya mtu kama fulani ila kwa kuwa amemkosa na mazingira yanamtaka kuoa inabidi amwoe mtu ambae hakupanga kuwa nae.NAKUHAKIKISHIA KAMA UNA MTU UNAEMPENDA HUWEZI KUWA NA MWANAMKE MWINGINE KWANZA UNAKUWA UNAONA KINYAA KUGUSANA NA MTU MWINGINI KABISAAAA.....CHELEWA KUOA AU KUOLEWA HADI UMPATE WA MOYOOONI WAKO

Nimeipenda posti yako na Jina lako pia.

Hebu kagua PM yako huko. Babu kakusalimu.
 
una Rifle ama AK47 uikoki kabisa.....haya MAGEGO yanaweza kuwa na madhara

halafu Rose kwani, RR hana MAGEGO?:nono::nono:

Asante sana ndugu mkuu wa kiti....nimemwandalia Asprin kasapraiz kadogo....like kabomu ka kakutengua viuno....
 
Asante sana ndugu mkuu wa kiti....nimemwandalia Asprin kasapraiz kadogo....like kabomu ka kakutengua viuno....

Hivi kumbe rule # 3 yaweza leta maafa namna hii? Kila siku namshauri mwenyekiti tuifanyie rehabilitation lakini hataki kunisikia. Ona sasa mweka hazina natishiwa maisha hapa!
 
Ukimtanguliza Mungu wa kweli inawezekana pungufu ya hapo ni udanganifu tu
 
Hivi kumbe rule # 3 yaweza leta maafa namna hii? Kila siku namshauri mwenyekiti tuifanyie rehabilitation lakini hataki kunisikia. Ona sasa mweka hazina natishiwa maisha hapa!

Sikutishii maisha bana.....natafuta bomu la kuvunja kabisa kiuno....
 
Mungu alipomuumba Adamu alimpatia mwanamke mmoja tu. Wanaosema haiwezekani wawili tu ni kumkufuru Mungu. Mimi na mume wangu tuna experience ya 100% kwa miaka 6 na tunaamini itaendelea hadi kifo kitakapotutenganisha!!!!!!!!!!!!
 
Hivi kumbe rule # 3 yaweza leta maafa namna hii? Kila siku namshauri mwenyekiti tuifanyie rehabilitation lakini hataki kunisikia. Ona sasa mweka hazina natishiwa maisha hapa!

tena tutaanza na wewe kama Mweka hazina unayekusanya michango,,,,,,upo vulnerable zaidi kuna vibaka n.k...uzuri has to be redefined....hahaha
 
tena tutaanza na wewe kama Mweka hazina unayekusanya michango,,,,,,upo vulnerable zaidi kuna vibaka n.k...uzuri has to be redefined....hahaha

Chairman, umeona Smiles kakumiss kule?
 
Hommie maslahi ya babu..... unajua magego hayang'ati ila yanatafuna. Sasa babu kwa kuwa hana meno, anang'atia magego. Roya aweza kuwa na magego, lakini pia ana meno, yanini ang'atie magego?

Rose njoo babu akung'atie magego. Hayana madhara. Ni dawa.

roy ana yote magego meno mapengo
bt wor nt babu m onma way comng 2u...ili nipate iyo dawa!!!
 
Chairman, umeona Smiles kakumiss kule?


hahaha nimeona hommie...unajua tunamissiana sana ...sema hii kazi ya kuwa resepsheni hapa bungeni inanifanya niadimike hapa....
 
Back
Top Bottom