naunga mkono hoja!....
msisitizo:hili swali lijibiwe na watu wanaoishi na wanawake/wanaume majumbani mwao.....!i mean watu waliooa/walioolewa
dooogo inawezekana kabisaaa!naunga mkono hoja!....
MSISITIZO:hili swali lijibiwe na watu wanaoishi na wanawake/wanaume majumbani mwao.....!i mean watu waliooa/walioolewa
Ni ngumu sana kwa uaminifu wa 100% siku zote. Maana tamaa za mwili zimekuwapo baada ya uasi wa adamu na eva na tunaelezwa kuwa dhambi za mwili ndizo zinazopeleka watu wengi motoni. hata kwa wale ambao kwa nje wanaweza kuonekana watakatifu kumbe wana matendo maovu wanayofanya kwa kificho na Mungu ndiye anayeyaona. Tafuta kitabu cha ushuhuda na maono ya motoni na mbinguni (Nadhani vinapatikana Mbeya).
Ila waaminifu kwa 100% wapo na bila shaka watakuwa wachache sana wenye neema za pekee.:thinking:
roya ni towashi....!hawezi kuoa
awe na ndoa ngap jaman?
ni mimi na yeye tu ndo tuna ndoa
ivi tulisahau kukupa kad eennh
mweee tusamehe
dig dig mwenzako alkuja...ajakupa salam?
kwan unajua kuna aina ngap za ndoa?roya ni towashi....!hawezi kuoa
sjawai toka nje ya ndoaUmeishatoka nje ya ndoa yako mara ngapi? Lol!!
wapi bwana weee!dooogo inawezekana kabisaaa!
i am YOUR king....!sjawai toka nje ya ndoa
na roya pia hajawai toka nje
he z ma king!!!!!
m his queen!!!!!!
upo babuu?dig dig mkubwa wewe tokaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!1
sjawai toka nje ya ndoa
na roya pia hajawai toka nje
he z ma king!!!!!
m his queen!!!!!!
upo babuu?dig dig mkubwa wewe tokaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!1
Umeishatoka nje ya ndoa yako mara ngapi? Lol!!
mi natoka kila mara moja kwa ciku...!sina sababu ya kutoka nje ya ndoa
roy ananipa vyooooooooooooote yan dah..NA NKICHEK NJE NAONA vidig dig tu vnang'aa sharubu..sasa nivifate vya nini?yan nimwache simba ndan niende kwa dig dig?u must b jokng jaman...
kaz kwenu madig dig ...mwambie mfalme wako ..KATOKA MARA NGAP?
BONDENI HOTELI
ROOM NO 777
GHOROFA YA TATU
MAGOMENI MAPIPA
Si ulikuwa na Baba G siku mbili zilizopita
ni kweli anatoka mara tatu kwa siku towash wangumi natoka kila mara moja kwa ciku...!
roya anatoka mara tatu kwa ciku...!
umeona eeh!......?!?!wewe wewe komaaaaaaa
ustake nipewe talak mie na roy wangu
towash wangu mwenyewe stak kumuudhi
...ndo shda ya dig dig yan hawawez kutunza siri jaman ahh..nikiachwa uku ntakuja ukouko!!!!!:yield::yield::yield::yield::yield:
huwa tunabook chimba kimoja gest na kuchangia gharama!....ni kweli anatoka mara tatu kwa siku towash wangu
saa12;anaenda kwenye misa ya asubui st josef
saa6;anaenda misa ya mchana anaenda st maxmillan mwenge
saa12;anaenda misa ya jion st peters
n u?