huyu bado yuko hanemuun!
angetuuliza siye wa ''miaka mingi''
hebu liangalie bandiko hili la kijana ambae nadhani yuko hanemuni au katoka jumapili iliyopita ilhali na yeye anajiita mwanandoaHabari Senyu nduku saangu?
babu ndo anaamka nakuta hii sredi imekimbiswa na ngufu sa vijana bana! Kuna mutu yoyote nawesa muambia babu kwamba hapa leo MNAJADILI ndoa za Kina Mama Tereza au hizi za kina JACOB ZUMA?
Katika siku za karibuni tulikuwa ktka maongezi vijana wenzangu kadhaa me na ke mchanganyiko. Katika kuchangia mojawapo ya hoja nikasema "Siwezi kuwa na nyumba ndogo wakati mke wangu nampenda na nimemchagua mwenyewe". Ajabu ni jinsi nilivyoshambuliwa na wasikiizaji wangu, (wenye ndoa na wasio na ndoa) kuonyesha kutokubaliana nami huku wakisema "Unayasema kwa kuwa tu umeoa juzi".
Sasa naomba msaada wemu wadau, je, Inawezekana kuwa na mwanandoa mwaminifu 100%? Na kama ndiyo, ni wangapi ktk 100?
lol...unayo mingapi baba G?...kama baba E anayo 15, sasa huyu huyu baba E au angekuwa baba C au D awe mwaminifu 100%?...:nono::nono:
3- INFIDELATORS/INFIDELEETES wanatakiwa kushea-KIZURI KULA NA NDUGUYO!(hii sheria ni muhimu sana).ukimpata infideletee anaejituma sana gesti muhabarishe na mwenzio akamfaidi.SHARING IS CARING-KUGAWANA NI KUJALINa wewe wa siku mingi naomba nikuulize wewe kumswali la kikongomani:
Hivi Mume wa Anna Abdallah ni Abdallah mwenyewe au Pius Msekwa? Mi iko confused bana!
lobbingHujambo dada mnoko?
Mimi ni Baba C. Nina miaka kumi na uaminifu wangu kwa mama C ni 25%
Hiyo 75% iliyobaki ukitaka nikufafanulie, niPM.
SIMWAMINI
lakin haina maana hakuna watu waaminifu
nimeona watu kiukweli waaaminfu dada nyamayao
bt mmh mmh sijui bwana manake sjamalizia kukua vzur so siwez sema neno kuu apa ....
MI NACHANGAMSHA JAMV TU APA ..nt serious kivile cz sjawai kuexperience mandoa sjui manini ayo ya kuwa commmited kabsa kabsa..bado namalizia kukua..
DA NYAMAYAO UR CORRECT BWANA...(uwaga nakupenda +nakueshimu sana cz mara nying napataga kitchen pat ya bure apa tokakwako ..n i lik yr style...unapenda ukweli nthng else...unafiki kwako mwiko na kuremba kinyago hauwez,.. ilike t)
hebu liangalie bandiko hili la kijana ambae nadhani yuko hanemuni au katoka jumapili iliyopita ilhali na yeye anajiita mwanandoa
Hujambo dada mnoko?
Mimi ni Baba C. Nina miaka kumi na uaminifu wangu kwa mama C ni 25%
Hiyo 75% iliyobaki ukitaka nikufafanulie, niPM.
Orait....! Sasa kwanini mnamshambulia badala ya kumshauri?
Rekodi na Findings zisizo za kijono alizonazo babu yenu ni kuwa:
Mwanamme akiwa mwaminifu kwa 100% kwa mkewe basi kuna uhakika wa asilimia 100 kuwa mkewe anamegwa vibaya na Wakware;
Hii ni kwa sababu sheria mama ya mahusiano ya ndoa zinazodumu inafafanua wazi kuwa: Ili ndoa idumu ni lazima mmojawapo wa wenye ndoa a-cheat. Sasa kama huyo kijana ni mwaminifu kwa 100%, ajue mwenzie huko vijana wanajisevia.
Hilo Ndilo NENO LA BABU.....
ucje ukampa mtoa mada pressure bure....lol
ha ha ha ha!Orait....! Sasa kwanini mnamshambulia badala ya kumshauri?
Rekodi na Findings zisizo za kijono alizonazo babu yenu ni kuwa:
Mwanamme akiwa mwaminifu kwa 100% kwa mkewe basi kuna uhakika wa asilimia 100 kuwa mkewe anamegwa vibaya na Wakware;
Hii ni kwa sababu sheria mama ya mahusiano ya ndoa zinazodumu inafafanua wazi kuwa: Ili ndoa idumu ni lazima mmojawapo wa wenye ndoa a-cheat. Sasa kama huyo kijana ni mwaminifu kwa 100%, ajue mwenzie huko vijana wanajisevia.
Hilo Ndilo NENO LA BABU.....
ha ha ha!Kuna watu humu wanajiita wazoefu wa ndoa sasa sijui wao kwenye hizo ndoa wako miaka mingapi hapa nikimtoa babu yangu asprin
Wazoefu wa ndoa lazima tuwape maadili hawa vijana wanaotoka hanemuni na suti za mchina. si wengine tulioa tukiwa tumetinga kaunda suti na raba mtoni...LOLZ
ha ha ha!
wacha maneno yako wewe!
wewe una uzoefu wa vitabuni
Wazoefu wa ndoa lazima tuwape maadili hawa vijana wanaotoka hanemuni na suti za mchina. si wengine tulioa tukiwa tumetinga kaunda suti na raba mtoni...LOLZ
Kuna watu humu wanajiita wazoefu wa ndoa sasa sijui wao kwenye hizo ndoa wako miaka mingapi hapa nikimtoa babu yangu asprin
Kuna watu humu wanajiita wazoefu wa ndoa sasa sijui wao kwenye hizo ndoa wako miaka mingapi hapa nikimtoa babu yangu asprin