The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
Na wewe ukimuendekeza mama Big utaishia kuwa bachela wa kudumu. Mama Big tuachie sisi kina babu ndio saizi yetu.....:smile-big::smile-big::smile-big:
haaa hebu ingie tukupe hiyo miwili tu kama utaiweza, watu tumekomazwa na ndoa ati.
Mama Big simuachii kabisaa nimuachee halafu babu unirithi
The Following User Says Thank You to Baba Gift For This Useful Post:
The Finest (Today)
Sasa mjukuu wa babu wamtakiani?:nono::nono::nono::nono::nono:
ndo hao mnawaitaga SINIA BACHELAAZ!Na wewe ukimuendekeza mama Big utaishia kuwa bachela wa kudumu. Mama Big tuachie sisi kina babu ndio saizi yetu.....:smile-big::smile-big::smile-big:
ndo hao mnawaitaga sinia bachelaaz!
jamani nauliza tena... hii mada mbona kama siielewi? yani mtu anauliza vumbi stoo halafu tunataka kutumia hesabu milinganyo kupata jibu sio?
duh
jamani nauliza tena... hii mada mbona kama siielewi? yani mtu anauliza vumbi stoo halafu tunataka kutumia hesabu milinganyo kupata jibu sio?
duh
Kamanda ushabadili OIL kwenye tukutuku letu?
DOM si bagamoyo ujue.
kuwa na uaminifu kwa 100% inawezekana kabisa bana.....ishu ni muda gani wa uaminifu tu...kama ni siku mbili au tatu inawezekana pasipo na shaka........
roya speaking from experience
Kuwa na uaminifu kwa 100% inawezekana kabisa bana.....ishu ni muda gani wa uaminifu tu...kama ni siku mbili au tatu inawezekana pasipo na shaka........
ha ha ha ha
you have been warned
hahahaha watu mnachekesha sana uaminifu kwa siku mbili:smile: