Uaminifu katika ndoa!

Uaminifu katika ndoa!

Joined
Dec 4, 2010
Posts
18
Reaction score
0
Kumekuwa na tatizo la wanando kutokuwa waaminifu katika ndoa zao, kimsingi jambo hili sijalifanyia utafiti ila naamini huju JF wapo wengi ambao watakuwa wanamaelezo ya kutosha kueleza sababu ya kadhia hii, naomba tusaidiane, kwa nini uaminifu katika mahusiano ya mke na mume ni issue?, utakuwa ktu ana mke/mume wake lakini anakosa uaminifu na hatimae anatafuta mwanamke/mme nje ya ndoa!, tatizo ni nini hasa?
 
wanasumbuliwa na tamaa. Km mm nlwah kumfmania wng et akadai hta yeye hajui kw nn katoka. Et ooh sor cz nlptiwa na shetan! Wanapnda kwl kmsingizia 7hetan
 
Mume/mke kushindwa kutimiza wajibu wake kwa mwenzie
Kunyimana unyumba
Kukosekana kwa heshima
Kukosekana kwa uvumilivu
Kutokuwa na misingi sahihi inayowaweka pamoja,kama zile za mtu anajitegesha apate mimba kulazimisha ndoa
Kupungua kwa hofu ya Mungu
Kukata tamaa pia kuna fanya watu wafanye mambo ya ajabu ajabu
Kushuka kwa maadili
Globalization(Westernization),watu wanaiga tu maisha ya kutokuheshimu commitments au kutokuwa na commitments za kudumu
Elimu pia kwa wasio na busara wanaitumia kushindana na wenzi wao kama wanatoka nje..................................
.......................................................................................................
 
Mume/mke kushindwa kutimiza wajibu wake kwa mwenzie
Kunyimana unyumba
Kukosekana kwa heshima
Kukosekana kwa uvumilivu
Kutokuwa na misingi sahihi inayowaweka pamoja,kama zile za mtu anajitegesha apate mimba kulazimisha ndoa
Kupungua kwa hofu ya Mungu
Kukata tamaa pia kuna fanya watu wafanye mambo ya ajabu ajabu
Kushuka kwa maadili
Globalization(Westernization),watu wanaiga tu maisha ya kutokuheshimu commitments au kutokuwa na commitments za kudumu
Elimu pia kwa wasio na busara wanaitumia kushindana na wenzi wao kama wanatoka nje..................................
.......................................................................................................

good wifey material!
 
Kumekuwa na tatizo la wanando kutokuwa waaminifu katika ndoa zao, kimsingi jambo hili sijalifanyia utafiti ila naamini huju JF wapo wengi ambao watakuwa wanamaelezo ya kutosha kueleza sababu ya kadhia hii, naomba tusaidiane, kwa nini uaminifu katika mahusiano ya mke na mume ni issue?, utakuwa ktu ana mke/mume wake lakini anakosa uaminifu na hatimae anatafuta mwanamke/mme nje ya ndoa!, tatizo ni nini hasa?


Tatizo wanaume ni kama wanyama. Wanapata tabu sana ku-stick na mwanamke mmoja. Nilisoma mahali wanasema ndivyo walivyoumbwa. Tuwasamehe kwa hilo. Kwa wanawake tatizo letu ambao tuko kwenye ndoa sometime if not most of the times ni kulipiza kisasi. Kama umeshagundua husband ni bonge la cheater, majamaa wakikutokea na wewe unakuwa huoni sababu ya kukataa. What for? Kama mumeo anagawa kama hana akili nzuri na wewe unaweza kujenga roho ya tit for tat. Na hii mara nyingi wamama huchukulia kama njia ya kuepuka kuwa na wivu sana na wame zao.

Tahadhari, ukiona mkeo anahacha kukufuatilia kuna uwezekano nae katafuta wa pembeni. Ukitaka mke/mume mtulivu anza wewe kuwa mfano. Dont expect to receive what you dont give.
 
Not at all

Mwanaume in nature ni explorer and in nature ni hunter, satisfaction yake iko katika kutoa pleasure kwa wanawake.............. marrying one wife is trying to control that nature .........which is not easy if not possible.......so kutegemea mwanaume awe faithfull per se kwa miaka yake yote ya maisha ya ndoa ni ndoto (lazima kuna wakati atachepuka tu...including one night stands awapo safarini na kina Eliza pale mtaa wa viti virefu)

Mwanamke naye kwa kutaka kumkomoa mumewe ambaye anajua fika anatoka atatafuta yule wa kufulfill what she is missing toka kwa mumewe (whether mumewe anatoka au la.........kama kuna kitu anamiss wengi wanaopt kutafuta nje)
 
naona nyumba kubwa lawama zote umewabebesha wanaume!
mbona wapo wanawake wanaotoka nje ya ndoa wakati husband wao wapo
poa tu?

Tatizo wanaume ni kama wanyama. Wanapata tabu sana ku-stick na mwanamke mmoja. Nilisoma mahali wanasema ndivyo walivyoumbwa. Tuwasamehe kwa hilo. Kwa wanawake tatizo letu ambao tuko kwenye ndoa sometime if not most of the times ni kulipiza kisasi. Kama umeshagundua husband ni bonge la cheater, majamaa wakikutokea na wewe unakuwa huoni sababu ya kukataa. What for? Kama mumeo anagawa kama hana akili nzuri na wewe unaweza kujenga roho ya tit for tat. Na hii mara nyingi wamama huchukulia kama njia ya kuepuka kuwa na wivu sana na wame zao.

Tahadhari, ukiona mkeo anahacha kukufuatilia kuna uwezekano nae katafuta wa pembeni. Ukitaka mke/mume mtulivu anza wewe kuwa mfano. Dont expect to receive what you dont give.
 
Not at all

Mwanaume in nature ni explorer and in nature ni hunter, satisfaction yake iko katika kutoa pleasure kwa wanawake.............. marrying one wife is trying to control that nature .........which is not easy if not possible.......so kutegemea mwanaume awe faithfull per se kwa miaka yake yote ya maisha ya ndoa ni ndoto (lazima kuna wakati atachepuka tu...including one night stands awapo safarini na kina Eliza pale mtaa wa viti virefu)

Mwanamke naye kwa kutaka kumkomoa mumewe ambaye anajua fika anatoka atatafuta yule wa kufulfill what she is missing toka kwa mumewe (whether mumewe anatoka au la.........kama kuna kitu anamiss wengi wanaopt kutafuta nje)

Mh wanawake mmesahau nn? Kwetu kuna mafiga ma3..
 
Not at all

Mwanaume in nature ni explorer and in nature ni hunter, satisfaction yake iko katika kutoa pleasure kwa wanawake.............. marrying one wife is trying to control that nature .........which is not easy if not possible.......so kutegemea mwanaume awe faithfull per se kwa miaka yake yote ya maisha ya ndoa ni ndoto (lazima kuna wakati atachepuka tu...including one night stands awapo safarini na kina Eliza pale mtaa wa viti virefu)

Mwanamke naye kwa kutaka kumkomoa mumewe ambaye anajua fika anatoka atatafuta yule wa kufulfill what she is missing toka kwa mumewe (whether mumewe anatoka au la.........kama kuna kitu anamiss wengi wanaopt kutafuta nje)

MJ1 hapo kwenye nyekundu ndiyo kwenye neno nadhani na kwa wanawake ni hivyo hivyo.

 
Mume/mke kushindwa kutimiza wajibu wake kwa mwenzie
Kunyimana unyumba
Kukosekana kwa heshima
Kukosekana kwa uvumilivu
Kutokuwa na misingi sahihi inayowaweka pamoja,kama zile za mtu anajitegesha apate mimba kulazimisha ndoa
Kupungua kwa hofu ya Mungu
Kukata tamaa pia kuna fanya watu wafanye mambo ya ajabu ajabu
Kushuka kwa maadili
Globalization(Westernization),watu wanaiga tu maisha ya kutokuheshimu commitments au kutokuwa na commitments za kudumu
Elimu pia kwa wasio na busara wanaitumia kushindana na wenzi wao kama wanatoka nje..................................
.......................................................................................................

Good arqument!
 
Chakula hakinogi na mboga moja. Huwa tunajaribu kuonja radha tofauti zikoje, ya mnene, mwembamba, mfupi , mrefu, mweusi, mweupe na wakati mwingine tunasikiaga sifa za makabila mara utasikia wa Tanga ni kiboko oh mara wa machinga n.k sasa pia unajaribu kutafuta ili uonje hizo zinasifiwa zikoje? Basi hiyo ndio siri yetu jamani.
 
ha ni kweli bwana
moja inachosha ni bora mtu ukawa na 7 monday yake mpk jumapil yake.
 
Back
Top Bottom