Uamsho ukikubali kuhesabiwa ndo talaka yako

Uamsho ukikubali kuhesabiwa ndo talaka yako

TIQO

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2011
Posts
13,786
Reaction score
2,095
Dada angu kaolewa znz ameambiwa na shemeji kuwa akikubali kuhesabiwa sensa basi ndo talaka yake arudi bara. Wana jamvi nifanyaje hapo kuokoa ndoa ya dada wangu?
 
Huyu shemeji ni mwana uamsho
 
Back
Top Bottom