Uamuzi gani utafanyika mchezaji akikataa kufanyiwa sub?

Uamuzi gani utafanyika mchezaji akikataa kufanyiwa sub?

Kepa hiyo mechi alishinda mkuu...fuatilia vizuri kaka.......Ila talking point haikuishia tu kepa kukataa kutoka au kushinda mechi Bali Ni jinsi maamuzi ya kumtoa yalivyokaa....Makipa wengi wakitolewa wakati wa upigaji penalty wanahisi kwamba makocha wanaudharau uwezo wao ktk kupangua mikwaju hiyo Tena wanawaonesha watu hadharani.....Makipa wengi hawapendi
Kepa hakushinda nakumbuka sana.
 
Kepa hiyo mechi alishinda mkuu...fuatilia vizuri kaka.......Ila talking point haikuishia tu kepa kukataa kutoka au kushinda mechi Bali Ni jinsi maamuzi ya kumtoa yalivyokaa....Makipa wengi wakitolewa wakati wa upigaji penalty wanahisi kwamba makocha wanaudharau uwezo wao ktk kupangua mikwaju hiyo Tena wanawaonesha watu hadharani.....Makipa wengi hawapendi
Angalia hapa
Screenshot_20230926_162204_FotMob.jpg
 
Back
Top Bottom