Kepa hiyo mechi alishinda mkuu...fuatilia vizuri kaka.......Ila talking point haikuishia tu kepa kukataa kutoka au kushinda mechi Bali Ni jinsi maamuzi ya kumtoa yalivyokaa....Makipa wengi wakitolewa wakati wa upigaji penalty wanahisi kwamba makocha wanaudharau uwezo wao ktk kupangua mikwaju hiyo Tena wanawaonesha watu hadharani.....Makipa wengi hawapendi