ACT Wazalendoooo, shusha tanga-pandisha tanga, hoja yake atasema "mimi kama zitto, Mbowe katufukuza sasa tumejiunga"Gentleman,
For sure,
Ni Lazima mungwana Lisu atakua amejihakikishia kwanza destination mpya ya uhakika kisiasa, ndipo akaamua kusudio hili la moto sana ndani ya chadema ilogawanyika na yenye chuki na uhasama wa wazi kabisa miongoni mwa waandamizi wake.
Bilashaka anaelekea CHAUMA π
Lissu aondoke kama Msigwa tuu hakuna shida amekuwa nje ya Chama na nchi muda mrefu na Chama hakijaathirika chochote.Hii ni polite exit strategy ya kuondoka chadema.
kubaki kwake chadema ni lazima ashinde uenyekiti taifa. kinyume na hivyo atachukua mkondo mwingine kisiasa.
Ni kwanini atangaze kugombea umakamu mwenyekiti awali, halafu ghafla unabadili gia angani na kuutaka uenyekiti na sio umakamu mwenyekiti tena?
Amesense kitu gani kwenye uchaguzi wa nafasi ya makamu mwenyekiti?
Au ameshatonywa kwamba asahau nafasi hiyo ya umakamu mwenyekiti taifa kwenye uchaguzi huu, na akaona bora liwalo na liwe, kama mbwai na iwe mbwai, akalazimika kuamua kupambana na chairman wa sasa?
Uanadhani ni wapi ataelekea endapo atashindwa uchaguzi huo au kuenguliwa mapema kabla ya uchaguzi?
Uamuzi huu unadhihirisha kwamba chadema kuna fukuto japo ni haki na uhuru wa kila mwanachadema.
We unejuaje Kama press ya Leo haina baraka za Mbowe?Jibu ni hilo la pili. Ni suala la muda tu, Taasisi kunmbwa hugombei cheo cha juu kabisa bila kushirikiana na aliyenacho na kuweka mikakati ya pamoja.
Mbowe kuiacha CDM bila maridhiano na Lissu ndiyo mwisho wa chama.
π€£π€£msigwa yupi mkuu?Ngoja tumshughulishe huyu kijana wa Msigwa
Tatizo moja ACT wazalendo ni popo, kote wapo.Kuaminika ni 10%ACT Wazalendoooo, shusha tanga-pandisha tanga, hoja yake atasema "mimi kama zitto, Mbowe katufukuza sasa tumejiunga"
Wa Iringaπ€£π€£msigwa yupi mkuu?
Napata mashaka kidogo.Lissu aondoke kama Msigwa tuu hakuna shida amekuwa nje ya Chama na nchi muda mrefu na Chama hakijaathirika chochote.
mbona kwenye list ya vyama vipya vya siasa hakipo? au ndio wako njiani kuelekea kwa msajili?πKaanzisha chama kinaitwa UDF
Acha uongoLissu anatafuta Sababu ya kuhamia CCM
Wote wanaotaka kugombea CHADEMA nafasi ya mwenyekiti taifa kabla hawajafanya maamuzi ya kuchukua Fomu wanatakiwa wamtafute Nabii wa Ishara Tanzania kuwasaidia kupangusa ukungu kwenye glass ili waone nyota iko kwa nani na atashinda na yupi atakosa au kupata shida.Hii ni polite exit strategy ya kuondoka chadema.
kubaki kwake chadema ni lazima ashinde uenyekiti taifa. kinyume na hivyo atachukua mkondo mwingine kisiasa.
Ni kwanini atangaze kugombea umakamu mwenyekiti awali, halafu ghafla unabadili gia angani na kuutaka uenyekiti na sio umakamu mwenyekiti tena?
Amesense kitu gani kwenye uchaguzi wa nafasi ya makamu mwenyekiti?
Au ameshatonywa kwamba asahau nafasi hiyo ya umakamu mwenyekiti taifa kwenye uchaguzi huu, na akaona bora liwalo na liwe, kama mbwai na iwe mbwai, akalazimika kuamua kupambana na chairman wa sasa?
Uanadhani ni wapi ataelekea endapo atashindwa uchaguzi huo au kuenguliwa mapema kabla ya uchaguzi?
Uamuzi huu unadhihirisha kwamba chadema kuna fukuto japo ni haki na uhuru wa kila mwanachadema.
Kwani we unaonaje? Nafasi ya Mwenyekiti ni kwaajili ya Mbowe tu?Hii ni polite exit strategy ya kuondoka chadema.
kubaki kwake chadema ni lazima ashinde uenyekiti taifa. kinyume na hivyo atachukua mkondo mwingine kisiasa.
Ni kwanini atangaze kugombea umakamu mwenyekiti awali, halafu ghafla unabadili gia angani na kuutaka uenyekiti na sio umakamu mwenyekiti tena?
Amesense kitu gani kwenye uchaguzi wa nafasi ya makamu mwenyekiti?
Au ameshatonywa kwamba asahau nafasi hiyo ya umakamu mwenyekiti taifa kwenye uchaguzi huu, na akaona bora liwalo na liwe, kama mbwai na iwe mbwai, akalazimika kuamua kupambana na chairman wa sasa?
Uanadhani ni wapi ataelekea endapo atashindwa uchaguzi huo au kuenguliwa mapema kabla ya uchaguzi?
Uamuzi huu unadhihirisha kwamba chadema kuna fukuto japo ni haki na uhuru wa kila mwanachadema.
Lissu na Makonda ni wanasiasa zinaitwa Fascism...
Bahati mbaya Watu hawasomi history ya Dunia na Kujifunza haya mambo.
Makonda ubaya wake ni kuwa yuko CCM ila angekuwa Chadema basi angekuwa mtu muhimu kama alivyo Lissu Leo...
Makonda na Lissu ni Watu Wenye msimamo na Ushawishi but wakiwa na Nafasi za juu sana wanaweza wakama kama Akina Hitler au Musolin
Kwahiyo hastahili kuwa chairman wa CHADEMA Taifa?Bila mwamba DJ Mbowe saa hizi Lissu angekuwa shimo la Tewa !!
Maccm mtamaliza theories zote kuhusu Lissu mnamuogopa sana na imekula kwenu ndiye Mwenyekiti ajaye huyo.Hii ni polite exit strategy ya kuondoka chadema.
kubaki kwake chadema ni lazima ashinde uenyekiti taifa. kinyume na hivyo atachukua mkondo mwingine kisiasa.
Ni kwanini atangaze kugombea umakamu mwenyekiti awali, halafu ghafla unabadili gia angani na kuutaka uenyekiti na sio umakamu mwenyekiti tena?
Amesense kitu gani kwenye uchaguzi wa nafasi ya makamu mwenyekiti?
Au ameshatonywa kwamba asahau nafasi hiyo ya umakamu mwenyekiti taifa kwenye uchaguzi huu, na akaona bora liwalo na liwe, kama mbwai na iwe mbwai, akalazimika kuamua kupambana na chairman wa sasa?
Uanadhani ni wapi ataelekea endapo atashindwa uchaguzi huo au kuenguliwa mapema kabla ya uchaguzi?
Uamuzi huu unadhihirisha kwamba chadema kuna fukuto japo ni haki na uhuru wa kila mwanachadema.
Msikilize prof janabi kuhusu lisu utapata majawabuHii ni polite exit strategy ya kuondoka chadema.
kubaki kwake chadema ni lazima ashinde uenyekiti taifa. kinyume na hivyo atachukua mkondo mwingine kisiasa.
Ni kwanini atangaze kugombea umakamu mwenyekiti awali, halafu ghafla unabadili gia angani na kuutaka uenyekiti na sio umakamu mwenyekiti tena?
Amesense kitu gani kwenye uchaguzi wa nafasi ya makamu mwenyekiti?
Au ameshatonywa kwamba asahau nafasi hiyo ya umakamu mwenyekiti taifa kwenye uchaguzi huu, na akaona bora liwalo na liwe, kama mbwai na iwe mbwai, akalazimika kuamua kupambana na chairman wa sasa?
Uanadhani ni wapi ataelekea endapo atashindwa uchaguzi huo au kuenguliwa mapema kabla ya uchaguzi?
Uamuzi huu unadhihirisha kwamba chadema kuna fukuto japo ni haki na uhuru wa kila mwanachadema.