Uamuzi huu wa ghafla wa Tundu Lissu kisiasa, maana yake ni ama awe mwenyekiti wa CHADEMA taifa ama aangalie utaratibu na uelekeo mwingine

Uamuzi huu wa ghafla wa Tundu Lissu kisiasa, maana yake ni ama awe mwenyekiti wa CHADEMA taifa ama aangalie utaratibu na uelekeo mwingine

Gentleman,
For sure,
Ni Lazima mungwana Lisu atakua amejihakikishia kwanza destination mpya ya uhakika kisiasa, ndipo akaamua kusudio hili la moto sana ndani ya chadema ilogawanyika na yenye chuki na uhasama wa wazi kabisa miongoni mwa waandamizi wake.

Bilashaka anaelekea CHAUMA 🐒
ACT Wazalendoooo, shusha tanga-pandisha tanga, hoja yake atasema "mimi kama zitto, Mbowe katufukuza sasa tumejiunga"
 
Hii ni polite exit strategy ya kuondoka chadema.
kubaki kwake chadema ni lazima ashinde uenyekiti taifa. kinyume na hivyo atachukua mkondo mwingine kisiasa.

Ni kwanini atangaze kugombea umakamu mwenyekiti awali, halafu ghafla unabadili gia angani na kuutaka uenyekiti na sio umakamu mwenyekiti tena?

Amesense kitu gani kwenye uchaguzi wa nafasi ya makamu mwenyekiti?

Au ameshatonywa kwamba asahau nafasi hiyo ya umakamu mwenyekiti taifa kwenye uchaguzi huu, na akaona bora liwalo na liwe, kama mbwai na iwe mbwai, akalazimika kuamua kupambana na chairman wa sasa?

Uanadhani ni wapi ataelekea endapo atashindwa uchaguzi huo au kuenguliwa mapema kabla ya uchaguzi?

Uamuzi huu unadhihirisha kwamba chadema kuna fukuto japo ni haki na uhuru wa kila mwanachadema.
Lissu aondoke kama Msigwa tuu hakuna shida amekuwa nje ya Chama na nchi muda mrefu na Chama hakijaathirika chochote.
 
Mbowe kama zile hadithi za zamani za Alfu Lela Ulela za mtu aliye litoa jini kwenye chupa ikawa kazi kulirudisha.
 
Jibu ni hilo la pili. Ni suala la muda tu, Taasisi kunmbwa hugombei cheo cha juu kabisa bila kushirikiana na aliyenacho na kuweka mikakati ya pamoja.

Mbowe kuiacha CDM bila maridhiano na Lissu ndiyo mwisho wa chama.
We unejuaje Kama press ya Leo haina baraka za Mbowe?

Mbowe ni mmeo?
 
Bila mwamba DJ Mbowe saa hizi Lissu angekuwa shimo la Tewa !!
 
Lissu anatafuta Sababu ya kuhamia CCM
Acha uongo
Huku mnahubiri demokrasi demokrasiiii wakati Lissu kuongea kidogo mnatukana kama amekosa kujitangaza.
Lissu songa matusi ni kawaida
Mbowe umri wa kustaafu ndio huu!
 
Hii ni polite exit strategy ya kuondoka chadema.
kubaki kwake chadema ni lazima ashinde uenyekiti taifa. kinyume na hivyo atachukua mkondo mwingine kisiasa.

Ni kwanini atangaze kugombea umakamu mwenyekiti awali, halafu ghafla unabadili gia angani na kuutaka uenyekiti na sio umakamu mwenyekiti tena?

Amesense kitu gani kwenye uchaguzi wa nafasi ya makamu mwenyekiti?

Au ameshatonywa kwamba asahau nafasi hiyo ya umakamu mwenyekiti taifa kwenye uchaguzi huu, na akaona bora liwalo na liwe, kama mbwai na iwe mbwai, akalazimika kuamua kupambana na chairman wa sasa?

Uanadhani ni wapi ataelekea endapo atashindwa uchaguzi huo au kuenguliwa mapema kabla ya uchaguzi?

Uamuzi huu unadhihirisha kwamba chadema kuna fukuto japo ni haki na uhuru wa kila mwanachadema.
Wote wanaotaka kugombea CHADEMA nafasi ya mwenyekiti taifa kabla hawajafanya maamuzi ya kuchukua Fomu wanatakiwa wamtafute Nabii wa Ishara Tanzania kuwasaidia kupangusa ukungu kwenye glass ili waone nyota iko kwa nani na atashinda na yupi atakosa au kupata shida.
1. Freeman Aikael Mbowe......FAM......6113....224....8 -Mamlaka, misukosuko, mapambano
2. Tundu Antipas Lissu.......TAL.....20112....624.......3 - ubunifu, kujieleza, usawa, maelewano na wingi
3. Godbless Jonathan Lema.....GJL....71012....224...8 -Mamlaka, misukosuko, mapambano
4. John Wegesa Heche.....JWH......10238.....524...2 -Kuhimiza kujiamini nguvu, uwezo, uaminifu, na wingi.
5. John John Mnyika.....JJM...101013....624....3 ubunifu, kujieleza, usawa, maelewano na wingi
6. Joseph Mbilinyi Sugu.....JMS.....101319....524....2 Kuhimiza kujiamini nguvu, uwezo, uaminifu, na wingi.
 
Hii ni polite exit strategy ya kuondoka chadema.
kubaki kwake chadema ni lazima ashinde uenyekiti taifa. kinyume na hivyo atachukua mkondo mwingine kisiasa.

Ni kwanini atangaze kugombea umakamu mwenyekiti awali, halafu ghafla unabadili gia angani na kuutaka uenyekiti na sio umakamu mwenyekiti tena?

Amesense kitu gani kwenye uchaguzi wa nafasi ya makamu mwenyekiti?

Au ameshatonywa kwamba asahau nafasi hiyo ya umakamu mwenyekiti taifa kwenye uchaguzi huu, na akaona bora liwalo na liwe, kama mbwai na iwe mbwai, akalazimika kuamua kupambana na chairman wa sasa?

Uanadhani ni wapi ataelekea endapo atashindwa uchaguzi huo au kuenguliwa mapema kabla ya uchaguzi?

Uamuzi huu unadhihirisha kwamba chadema kuna fukuto japo ni haki na uhuru wa kila mwanachadema.
Kwani we unaonaje? Nafasi ya Mwenyekiti ni kwaajili ya Mbowe tu?
 
Lissu na Makonda ni wanasiasa zinaitwa Fascism...

Bahati mbaya Watu hawasomi history ya Dunia na Kujifunza haya mambo.

Makonda ubaya wake ni kuwa yuko CCM ila angekuwa Chadema basi angekuwa mtu muhimu kama alivyo Lissu Leo...

Makonda na Lissu ni Watu Wenye msimamo na Ushawishi but wakiwa na Nafasi za juu sana wanaweza wakama kama Akina Hitler au Musolin
Screenshot_20241213-202616.jpg
💯✔️
 
Hii ni polite exit strategy ya kuondoka chadema.
kubaki kwake chadema ni lazima ashinde uenyekiti taifa. kinyume na hivyo atachukua mkondo mwingine kisiasa.

Ni kwanini atangaze kugombea umakamu mwenyekiti awali, halafu ghafla unabadili gia angani na kuutaka uenyekiti na sio umakamu mwenyekiti tena?

Amesense kitu gani kwenye uchaguzi wa nafasi ya makamu mwenyekiti?

Au ameshatonywa kwamba asahau nafasi hiyo ya umakamu mwenyekiti taifa kwenye uchaguzi huu, na akaona bora liwalo na liwe, kama mbwai na iwe mbwai, akalazimika kuamua kupambana na chairman wa sasa?

Uanadhani ni wapi ataelekea endapo atashindwa uchaguzi huo au kuenguliwa mapema kabla ya uchaguzi?

Uamuzi huu unadhihirisha kwamba chadema kuna fukuto japo ni haki na uhuru wa kila mwanachadema.
Maccm mtamaliza theories zote kuhusu Lissu mnamuogopa sana na imekula kwenu ndiye Mwenyekiti ajaye huyo.
 
Hii ni polite exit strategy ya kuondoka chadema.
kubaki kwake chadema ni lazima ashinde uenyekiti taifa. kinyume na hivyo atachukua mkondo mwingine kisiasa.

Ni kwanini atangaze kugombea umakamu mwenyekiti awali, halafu ghafla unabadili gia angani na kuutaka uenyekiti na sio umakamu mwenyekiti tena?

Amesense kitu gani kwenye uchaguzi wa nafasi ya makamu mwenyekiti?

Au ameshatonywa kwamba asahau nafasi hiyo ya umakamu mwenyekiti taifa kwenye uchaguzi huu, na akaona bora liwalo na liwe, kama mbwai na iwe mbwai, akalazimika kuamua kupambana na chairman wa sasa?

Uanadhani ni wapi ataelekea endapo atashindwa uchaguzi huo au kuenguliwa mapema kabla ya uchaguzi?

Uamuzi huu unadhihirisha kwamba chadema kuna fukuto japo ni haki na uhuru wa kila mwanachadema.
Msikilize prof janabi kuhusu lisu utapata majawabu
 
Back
Top Bottom