utopolo og
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 575
- 1,575
FEISAL hana uhusiano na Simba ila AZAM.Bada ya kamati ya sheria na hadhi ya wachezaji ya TFF kutegua kitendawili cha kimkataba kati ya klabu ya Yanga na mchezaji Feisal Salum, unaambiwa mashabiki mbalimbali wa Simba wamelaumu sana uamuzi huo huku wakienda mbali zaidi kuapa wataenda FIFA kudai haki Yao.
Baadhi yao wameonekana wakilia nakutoa machozi huku wakitamka waziwazi kuwa watamsomea albadiri yeyote aliyewahujumu kwenye hili suala..
Kumekucha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu ni mashabiki wa Simba na jezi zao video naipandisha mda sio mrefuFEISAL hana uhusiano na Simba ila AZAM.
Siku hizi waigizaji ni wengi sana.
Kwahiyo, uliowaona wakilia huenda ni mashabiki wa YANGA wanaotaka kutengeneza TENSION.
Wewe ni Simba?? Mbona unaonekana kama unataka kuliaUpuuzi Mtupu
Feitoto bado ni mchezaji halali wa YangaKwani hukumu yenyewe inasemaje
Duuh dogo atapotea hivi hiviFeitoto bado ni mchezaji halali wa Yanga
Afadhali huku wenye akili wapo wawili, napo ni kwa mujibu wa taahira mmoja maarufu anayeitwa Haji Manara, Kule upande wa pili wote ni mbumbumbu kwa mujibu wa kiongozi wao mkuu mstaafu ndugu Aden Rage.Nazidi kuamini kua wenye akiri ni wa wili tu
Unaambiwa sasahivi yupo amepiga magoti hapo Jangwani akisubili huruma ya rais wa timu ili angalau arudishwe kundiniDuuh dogo atapotea hivi hivi
Kwa vile Simba wameshinywa, basi ntaushauri uongozi wa Yanga umjengee sanamu kama kuuenzi mchango wake[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Naendelea kuamini Rage alikuwa sahihi kabisa
Alijifanya mjanja wampokee asugue benchi.Sijui uarabun alipelekwa na nanUnaambiwa sasahivi yupo amepiga magoti hapo Jangwani akisubili huruma ya rais wa timu ili angalau arudishwe kundini
Jezi.zinauzwa na hazina limit ya nan anunue nan asinunue!!Mkuu ni mashabiki wa Simba na jezi zao video naipandisha mda sio mrefu
Na huko Ukoloni fc wenye akili Hakuna kwa mujibu wa Rage, ndiyo maana unaandika vitu vya hovyo. ( Akiri maana yake Ni nini?) Au ndiyo umbumbumbu wenyeweNazidi kuamini kua wenye akiri ni wa wili tu
Mkuu mbona umepanic sana hadi unatoa matusi?? Au nawewe umeumizwa sana na maamuzi ya kamati ya TFF??Jezi.zinauzwa na hazina limit ya nan anunue nan asinunue!!
#stupid
Alipelekwa na hao mbumbumbu wanaolialia kudai haki isiyo yao.Alijifanya mjanja wampokee asugue benchi.Sijui uarabun alipelekwa na nan
Yanga tushavuka sajili za kihuniAlipelekwa na hao mbumbumbu wanaolialia kudai haki isiyo yao.