na kwa jeuri tu anakuja ozea benchiBada ya kamati ya sheria na hadhi ya wachezaji ya TFF kutegua kitendawili cha kimkataba kati ya klabu ya Yanga na mchezaji Feisal Salum, unaambiwa mashabiki mbalimbali wa Simba wamelaumu sana uamuzi huo huku wakienda mbali zaidi kuapa wataenda FIFA kudai haki Yao.
Baadhi yao wameonekana wakilia nakutoa machozi huku wakitamka waziwazi kuwa watamsomea albadiri yeyote aliyewahujumu kwenye hili suala..
Kumekucha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wale walikuwa uchi wanafanya mambo ya aibu ni yanga maana walikuwa wamevaa jezi zaoMkuu ni mashabiki wa Simba na jezi zao video naipandisha mda sio mrefu
aisee, ni wapi huko mkuu? Hizi habari huwa sipendi zinipiteBaadhi yao wameonekana wakilia nakutoa machozi
Akiri ndiyo nini ewe kitoweo!?Nazidi kuamini kua wenye akiri ni wa wili tu
Nayeye Rageee akiwemo!Afadhali huku wenye akili wapo wawili, napo ni kwa mujibu wa taahira mmoja maarufu anayeitwa Haji Manara, Kule upande wa pili wote ni mbumbumbu kwa mujibu wa kiongozi wao mkuu mstaafu ndugu Aden Rage.
Unaweza kuiona tofauti kubwa iliyopo kati yao Hawa ndugu wawili
Na Kocha Lucy pia hakukosea hata kidogoNaendelea kuamini Rage alikuwa sahihi kabisa
Akili sio akiri..........anachoongea huyo ni kweli kwasababu kuna mshkaji wangu mmoja ni shabiki wa simba kapoteza furaha sana baada ya hiyo taarifa kafunga genge lake mapemaNazidi kuamini kua wenye akiri ni wa wili tu
Kwani kuna aliyebisha kwamba fei sio mali ya yanga? Utopolo kweli hamnazo. Shitaka la msingi ni fei toto kutofata taratibu za kuvunja mkataba kati yake na utopolo. Hivo yanga wanataka fei afate utaratibu. Na hiyo jumatatu ndio tff wataangalia ni vipengere vp vinaweza kumruhusu fei avunje mkataba. Mbonna hoja simpo sana hiyo?Akili sio akiri..........anachoongea huyo ni kweli kwasababu kuna mshkaji wangu mmoja ni shabiki wa simba kapoteza furaha sana baada ya hiyo taarifa kafunga genge lake mapema
Kwani ni wapi nimesema feitoto sio mali ya yanga ewe Huntha?Kwani kuna aliyebisha kwamba fei sio mali ya yanga? Utopolo kweli hamnazo. Shitaka la msingi ni fei toto kutofata taratibu za kuvunja mkataba kati yake na utopolo. Hivo yanga wanataka fei afate utaratibu. Na hiyo jumatatu ndio tff wataangalia ni vipengere vp vinaweza kumruhusu fei avunje mkataba. Mbonna hoja simpo sana hiyo?
We ni Juha sana. Unawakilisha maana halisi ya kauli ya Aden RageKwani kuna aliyebisha kwamba fei sio mali ya yanga? Utopolo kweli hamnazo. Shitaka la msingi ni fei toto kutofata taratibu za kuvunja mkataba kati yake na utopolo. Hivo yanga wanataka fei afate utaratibu. Na hiyo jumatatu ndio tff wataangalia ni vipengere vp vinaweza kumruhusu fei avunje mkataba. Mbonna hoja simpo sana hiyo?
Mkuu nawewe upo kundi la wanasimba wanaotaka kwenda FIFA??Na Kocha Lucy pia hakukosea hata kidogo
Make hapo kwanza ncheke ππππππBada ya kamati ya sheria na hadhi ya wachezaji ya TFF kutegua kitendawili cha kimkataba kati ya klabu ya Yanga na mchezaji Feisal Salum, unaambiwa mashabiki mbalimbali wa Simba wamelaumu sana uamuzi huo huku wakienda mbali zaidi kuapa wataenda FIFA kudai haki Yao.
Baadhi yao wameonekana wakilia nakutoa machozi huku wakitamka waziwazi kuwa watamsomea albadiri yeyote aliyewahujumu kwenye hili suala..
Kumekucha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Make hapo kwanza ncheke [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwamba ni Mambwa na manyani yameanza kubweka bweka ...kesi yao ila kila uzi wana mref... mnyama πNa Kocha Lucy pia hakukosea hata kidogo
Hao Simba walimlipia na kambi huko Dubai, mpango wao waliupitishia Azam, wameanguka ni vilio tupu[emoji1][emoji1]Bada ya kamati ya sheria na hadhi ya wachezaji ya TFF kutegua kitendawili cha kimkataba kati ya klabu ya Yanga na mchezaji Feisal Salum, unaambiwa mashabiki mbalimbali wa Simba wamelaumu sana uamuzi huo huku wakienda mbali zaidi kuapa wataenda FIFA kudai haki Yao.
Baadhi yao wameonekana wakilia nakutoa machozi huku wakitamka waziwazi kuwa watamsomea albadiri yeyote aliyewahujumu kwenye hili suala..
Kumekucha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]