Uamuzi mgogoro wa Feitoto na Yanga, vilio vyatawala msimbazi

Uamuzi mgogoro wa Feitoto na Yanga, vilio vyatawala msimbazi

Bada ya kamati ya sheria na hadhi ya wachezaji ya TFF kutegua kitendawili cha kimkataba kati ya klabu ya Yanga na mchezaji Feisal Salum, unaambiwa mashabiki mbalimbali wa Simba wamelaumu sana uamuzi huo huku wakienda mbali zaidi kuapa wataenda FIFA kudai haki Yao.
Baadhi yao wameonekana wakilia nakutoa machozi huku wakitamka waziwazi kuwa watamsomea albadiri yeyote aliyewahujumu kwenye hili suala..

Kumekucha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
na kwa jeuri tu anakuja ozea benchi
 
Afadhali huku wenye akili wapo wawili, napo ni kwa mujibu wa taahira mmoja maarufu anayeitwa Haji Manara, Kule upande wa pili wote ni mbumbumbu kwa mujibu wa kiongozi wao mkuu mstaafu ndugu Aden Rage.

Unaweza kuiona tofauti kubwa iliyopo kati yao Hawa ndugu wawili
Nayeye Rageee akiwemo!
 
Akili sio akiri..........anachoongea huyo ni kweli kwasababu kuna mshkaji wangu mmoja ni shabiki wa simba kapoteza furaha sana baada ya hiyo taarifa kafunga genge lake mapema
Kwani kuna aliyebisha kwamba fei sio mali ya yanga? Utopolo kweli hamnazo. Shitaka la msingi ni fei toto kutofata taratibu za kuvunja mkataba kati yake na utopolo. Hivo yanga wanataka fei afate utaratibu. Na hiyo jumatatu ndio tff wataangalia ni vipengere vp vinaweza kumruhusu fei avunje mkataba. Mbonna hoja simpo sana hiyo?
 
Kwani kuna aliyebisha kwamba fei sio mali ya yanga? Utopolo kweli hamnazo. Shitaka la msingi ni fei toto kutofata taratibu za kuvunja mkataba kati yake na utopolo. Hivo yanga wanataka fei afate utaratibu. Na hiyo jumatatu ndio tff wataangalia ni vipengere vp vinaweza kumruhusu fei avunje mkataba. Mbonna hoja simpo sana hiyo?
Kwani ni wapi nimesema feitoto sio mali ya yanga ewe Huntha?
 
Kwani kuna aliyebisha kwamba fei sio mali ya yanga? Utopolo kweli hamnazo. Shitaka la msingi ni fei toto kutofata taratibu za kuvunja mkataba kati yake na utopolo. Hivo yanga wanataka fei afate utaratibu. Na hiyo jumatatu ndio tff wataangalia ni vipengere vp vinaweza kumruhusu fei avunje mkataba. Mbonna hoja simpo sana hiyo?
We ni Juha sana. Unawakilisha maana halisi ya kauli ya Aden Rage
 
Bada ya kamati ya sheria na hadhi ya wachezaji ya TFF kutegua kitendawili cha kimkataba kati ya klabu ya Yanga na mchezaji Feisal Salum, unaambiwa mashabiki mbalimbali wa Simba wamelaumu sana uamuzi huo huku wakienda mbali zaidi kuapa wataenda FIFA kudai haki Yao.
Baadhi yao wameonekana wakilia nakutoa machozi huku wakitamka waziwazi kuwa watamsomea albadiri yeyote aliyewahujumu kwenye hili suala..

Kumekucha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Make hapo kwanza ncheke 😂😂😂😂😂😂
 
Make hapo kwanza ncheke [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Bada ya kamati ya sheria na hadhi ya wachezaji ya TFF kutegua kitendawili cha kimkataba kati ya klabu ya Yanga na mchezaji Feisal Salum, unaambiwa mashabiki mbalimbali wa Simba wamelaumu sana uamuzi huo huku wakienda mbali zaidi kuapa wataenda FIFA kudai haki Yao.
Baadhi yao wameonekana wakilia nakutoa machozi huku wakitamka waziwazi kuwa watamsomea albadiri yeyote aliyewahujumu kwenye hili suala..

Kumekucha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hao Simba walimlipia na kambi huko Dubai, mpango wao waliupitishia Azam, wameanguka ni vilio tupu[emoji1][emoji1]
 
Back
Top Bottom