JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 7,808
- 16,972
Hamna haja ya kurudia uchaguzi,mwananchi ndio anabebeshwa mzigo mzito,hizo pesa za kurudia uchaguzi,bora zipelekwe mashinani zikafanye maendeleo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa vyovyote vile bila kujali maamuzi ya mahakama yatakuwaje kuna vitu vingi sana kenya wamefanya vizuri kushinda nchi nyingi za Africa. Kubwa miongoni ni hili la kuruhusu matokeo kuhojiwa mahakamani, tena mahakama ya wazi. Mpo mbali kenya.Sisi majirani macho yetu yote ni kuona kama wa-Kenya wataheshimu maamuzi ya Supreme Court na kusonga mbele na maisha. Pia katika zoezi zima la kusikiliza malamiko pia tumejifunza mapungufu na mazuri ya IEBC ktk kuandaka uchaguzi ulio huru na haki, na mafunzo hayo kutumika Kenya na nchi zingine za Afrika jinsi ya kufanya uchaguzi bora siku za usoni.