Uamuzi wa kujua mbivu au mbichi ni Septemba 1, jaji mkuu atoa muongozo

Hamna haja ya kurudia uchaguzi,mwananchi ndio anabebeshwa mzigo mzito,hizo pesa za kurudia uchaguzi,bora zipelekwe mashinani zikafanye maendeleo
 
Kwa vyovyote vile bila kujali maamuzi ya mahakama yatakuwaje kuna vitu vingi sana kenya wamefanya vizuri kushinda nchi nyingi za Africa. Kubwa miongoni ni hili la kuruhusu matokeo kuhojiwa mahakamani, tena mahakama ya wazi. Mpo mbali kenya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…