Kuna category mbili za wanachama wa CCM
a) The Selfish
b) The ignorant.
a) The selfish. Hawa wanufaika wa mfumo moja kwa moja. Wanajua ubaya wote ila wana hofu na mabadiliko kwa kuwa yatagusa maslahi yao. Hawa kwa lugha ya kikombozi wanaitwa collaborators. Hawa pia walikuwa Kikwazo katika harakati za kusaka uhuru. They were already given privileges by the colonial master only on condition that they keep their comrades under check.
b) The ignorant. Hawa ni wafuasi washabiki. Siasa kwao ni kama Simba na Yanga. Elimu yao na uelewa wao ni mdogo. Ni rahisi kurubunika kwa siasa- taka. Habari njema hawa wanaweza kuelimika wakipata wa kuwafungua.
Kundi la kwanza ndio hatari zaidi. Hawa wanaweza hata kuua ilimradi kulinda maslahi.
Wewe upo kundi gani? The selfish ams the ignorant?
a) The Selfish
b) The ignorant.
a) The selfish. Hawa wanufaika wa mfumo moja kwa moja. Wanajua ubaya wote ila wana hofu na mabadiliko kwa kuwa yatagusa maslahi yao. Hawa kwa lugha ya kikombozi wanaitwa collaborators. Hawa pia walikuwa Kikwazo katika harakati za kusaka uhuru. They were already given privileges by the colonial master only on condition that they keep their comrades under check.
b) The ignorant. Hawa ni wafuasi washabiki. Siasa kwao ni kama Simba na Yanga. Elimu yao na uelewa wao ni mdogo. Ni rahisi kurubunika kwa siasa- taka. Habari njema hawa wanaweza kuelimika wakipata wa kuwafungua.
Kundi la kwanza ndio hatari zaidi. Hawa wanaweza hata kuua ilimradi kulinda maslahi.
Wewe upo kundi gani? The selfish ams the ignorant?