Uanasheria; Taaluma inayoongoza kwa wasomi wanaoringa


Swala siyo kujiita vyovyote mnavyojisikia hata kama haileti maana yoyote miongoni mwa watu, haipaswi kuwa hivyo!

Mnapaswa kuweka neno lenye kuleta maana yakueleweka miongoni mwa watu!





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sikupingi mzee,ata hapa chuoni tunao,Kuna siku wanaamuaga kuvaa suti nyeusi woote kuanzia CL,DL1&2,LLB1 hadi3,wao wanaitaga Mourt court,heheh vi manzi sasa vinavyoringa ni kisanga ariff but me waga sina ata njaro navyo.
Hahahahah chuo gani hicho?.
 
Hiyo ganja basi ndio itakuwa inawapoteza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeongea kama mwanasheria kumbe....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fafanua tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app

Swala laweza kuwa mtambuka iwapo utekelezaji wake utahitaji au unategemea chombo /taasisi zaidi ya kimoja au viili ili kuleta matarajio chanya!
Uwepo wa chombo/taasisi moja hautaweza kukamilisha matarajio kuwa halisi na chanya iwapo taasisi nyingine zitashindwa kutekeleza wajibu wake kwa wakati!




Sent using Jamii Forums mobile app
 
msisahau kuwa hawa jamaa na walimu wa sheria ndio waliokua na udhubutu wa kumuhoji Yesu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…