Uandaaji wa soseji

Uandaaji wa soseji

farkhina hebu kam vere fast!

Mimi nnazonunua nnaeza kuchemsha tu au kukaanga. Huwa napenda kuzipika na tambi au kunywea chai asubuhi...

Kama kuzipika na tambi pika hivi ni simple.

Mahitaji

Tambi

Sausage

Mafuta kiasi

Saumu

Limau

Nyanya....zisage

Chumvi kiasi...

Pilipili manga....

Namna ya kutaarisha....

Zioke kidogo soseji zako kwa muda wa dakika 5-10....

Katika sufuria chemsha maji akichemka weka tambi zako zikiwiva mwaga maji......weka pembeni

Soseji zikiwiva zikatekate vipande..


Katika sufuria nyengine weka mafuta kiasi weka saumu kidogo sana na pilipili kama ukipenda kaakanga kwa dakika 3.

weka sausage halafu weka nyanya acha ichemke hadi kuwiva (ukiona nyepesi sana weka nyanya ya kopo.....

Weka pilipili manga chumvi na limau kiasi...

Epua tayar kwa kuliwa


Cc Viol daughter ram
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom