augustino ameri
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 267
- 57
Ni vizuri kamati ya bunge ikawa inayapitia matokeo yoyote yanayotayalishwa na NECTA Ili bunge likiona haijaridhishwa na matokeo basi irudishe tena baraza la mitihani na mapendekezo kuwa kuwe na div.1 ngapi,div ii ngapi,three ngapi nk.
Wadau mnaonaje kuliko kutoa matokeo na kufuta matokeo kama ilivyotokea mwaka huu.
Wadau mnaonaje kuliko kutoa matokeo na kufuta matokeo kama ilivyotokea mwaka huu.