Nyanda Banka
JF-Expert Member
- Mar 14, 2023
- 304
- 1,054
Kazi kuanza kufanyika tulifanyaga maombi ya hiyo kaziMambo yameanza kunukia kivipi?
wiki hiiWameshatoa majina au ?
Hilo ndo lengo mzee, ila kwa kiasi fulani inapunguza machungu ya kukosa kaziKazi ya wiki moja haikuondolei wewe kuwa wa mtaani bila kazi. Labda ukipata ufanyie jambo la kiuchumi binafsi
Ni kwel bora kitu kuliko kukosa kitu.Hilo ndo lengo mzee, ila kwa kiasi fulani inapunguza machungu ya kukosa kazi
SanaNi kwel bora kitu kuliko kukosa kitu.
Endelea kupambana mkuu aliunayopitia naijua ni ngumu ila mamb yatachange tu.Sana
Kutok mtaani kunahitaji resources na hizo resources kama upo mtaani unakuwa huna, think that way kwa hio kazi atapata 600,000 TZS hii ni resources nzuri kumuwezesha kutoka huko kitaa.Kazi ya wiki moja haikuondolei wewe kuwa wa mtaani bila kazi. Labda ukipata ufanyie jambo la kiuchumi binafsi
600k mbona inaisha fastaa tyuuhKazi ya wiki moja haikuondolei wewe kuwa wa mtaani bila kazi. Labda ukipata ufanyie jambo la kiuchumi binafsi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa bahasha lukuki nilizoziona kwa mtendaji pale, sijui.
Wizo unataka kuwa KARANI WA KURA600k mbona inaisha fastaa tyuuh
Wizooo mbna nilikataa, tena nafasi ya mie kupata ilikua wazi, ila niliona jau kusafiri, nkaikataaa.Wizo unataka kuwa KARANI WA KURA
True kutafuta kazi inabid uwe na hela.Kutok mtaani kunahitaji resources na hizo resources kama upo mtaani unakuwa huna, think that way kwa hio kazi atapata 600,000 TZS hii ni resources nzuri kumuwezesha kutoka huko kitaa.
Finding job need money, applying need MBs, Interview need pesa za nauri nk nk