LGE2024 Uandikishaji Wapiga Kura Kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa: Matarajio, Uhalisia na Mapendekezo

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Tuingie cost mara mbili kivipi? Hebu rudia kusoma
Kengeza lilinipitia😅😅 ila mpaka sasa si maandalizi yanakuwa yapo tayari mpaka upande wa wasimamizi.... kufanyika mwakani inamaanisha mtu aanze kwenye foleni ya mtaa ndio aende kwenye uchaguzi wa rais....

Pia uchaguzi mkuu unafanyika kwenye vituo tofauti na za mtaa, kuunganisha yote haya kkuwa za mtaa na rais huu ni mtiti mwingine, yaani itakuwa vurugu mechi
 
Nchi hii tusipochapana na kuuwana, kamwe ccm haitaondoka madarakani
 
OR TAMISEMI mnazingua, kuna watu hatuna NIDA wala kitambulisho cha kupiga kura, ni vile tumehamasika kushiriki kwenye uchaguzi huu... nimekuja kujiandikisha nikaambiwa naweza kushiriki bila kuwa na kitambulisho, mtawezaje kunizuia kushiriki kwenye kupiga kura na vitambulisho sina?

Mnasubiri mpaka mtu atilie shaka😹😹🤣 kwahiyo mtu asipotiliwa shaka mambo yanaenda bila shida.

Yaani mmeweka matobo makusudi halafu mmeangusha mzigo kwa wananchi ili mjivue lawama
 
Kama takwimu siyo siri kwanini hakuna takwimu za kata na mitaa? Kwanini takwimu hizo zipo kimkoa? Hamuoni mmeweka tobo la takwimu kupikwa?
 
Kama takwimu siyo siri kwanini hakuna takwimu za kata na mitaa? Kwanini takwimu hizo zipo kimkoa? Hamuoni mmeweka tobo la takwimu kupikwa?
Alipataje za Mkoa akashindwa kupata za kata?
 
Alipataje za Mkoa akashindwa kupata za kata?
Hapa sasa, kwanini wakatae kutupa takwimu za za ngazi hii ya chini halafu watupe kiujumla hivyo, kuna namna... inamaana sasa hivi mtu akitaka kupata takwimu za kidondoni pekee, au ubungo pekee, hazipo
 
Hapa sasa, kwanini wakatae kutupa takwimu za za ngazi hii ya chini halafu watupe kiujumla hivyo, kuna namna... inamaana sasa hivi mtu akitaka kupata takwimu za kidondoni pekee, au ubungo pekee, hazipo
Nadhani orodha ya Wapiga Kura itabandikwa vituoni kabla ya Uchaguzi 🐼
 
zeozi la uandikishaji wapiga kura kwajili ya serikali za mitaa likwenda vizuri mno licha ya changamoto ndogo ndogo kadhaa ambazo ni pamoja na baadhi ya wapinzani kupuuzia zoezi hilo na baada ya watu wengi zaidi kuhamasika kujiandikisha tofauti na matarajio yao, eti wanajitokeza na kupinga idadi ya waliojiandikisha ili hali wao ni kama walipuuza na wakasusia.

Matarajio yangu kama kiongozi wa wananchi, kwanza ni kuhamasisha wale wote waliojiandikisha wajitokeze kwenye kampeni kuskiza wagombea wao na hatimae wajitokeze kwa wingi kwenye uchaguzi huo muhimu wa kihistoria humu nchini kuamua hatimae ya uongozi wa maeneo yao.

Ni wazi uchaguzi utakua wa Amani na utulivu sana. Na zaidi sana utakua uchaguzi huru, wa haki na wa wazi mno. Fujo na vurugu hususani za ambao hawajajiandikisha halafu wanadai ushindi, hazitavumiliwa na vyombo vya ulinzi na usalama ili hatimae wananchi waamue hatma yao katika hali ya amani.

Hakipo cha cha maana kuzuia uchaguzi huo muhimu kufanyika tar 27 Nov 2024.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
sio lazima kuona naweza kutazama pia na ikatosha.

Infact,
vyovyote itakavyokua, uchaguzi muhimu na w kihistoria wa serikali za mitaa na vijiji nchini mpaka sasa hakuna mabadiliko yoyote. Wananchi walihamasika kwa mamilioni yao ni wazi watajitokeza kwenye kampeni na uchaguzi wenyewe kwa idadi sawa na waliojiandikisha.

uhuru na usawa wa majadliano ni haki ya mTanzania kuelekea uchaguzi huo, lakini kamwe dosari na kasoro ndogo ndogo kwenye zoezi la uandikishaji wapiga kura haliwezi kuzuia hatua nyingine za uchaguzi huo kuendelea.

kumbuka uchaguzi wa serikali za mitaa ni November 27, 2024. Chagueni viongozi makini wa CCM waliojiandikisha tu 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
 

Attachments

  • Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1.png
    420.8 KB · Views: 1
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…