Uandishi [uu] humetoka wapi?

Uandishi [uu] humetoka wapi?

Hameshindwa kuehelewa swali alafu hanajibu hanavyotaka yeye. Awa ndio wanafeli mitiani alafu wanasingizia mwalimu akuwafundisha vizuri
😂 😂 😂 😂 😂 hachana nayo ayo maboya. yanajihona yanajuuuuuuha.
 
Ndio zako hizo?
Apa ziwe zangu hama zako , azina tija yoyote. Wewe jadili mada hau kihini cha oja. Kukosoha mtu akukufanyi kuhonekana mairi, bali unahonesha ujuha wako tu. Kuchamba kwingi...
 
Ngoja nihende moja kwa moja kwenye oja. Ivi uu uhandishi watu wanaondoa irabu na kuweka konsonanti [h] ama kinyume chake humetokeha wapi? Ni shule mbovu hau ni stahili mpya? Ninadhani mumenihelewa.
Nihende
Mmenihelew
Uhandishi
Humetokeha
Mm mpaka hapo nimechooka
 
Back
Top Bottom