Uandishi wa Erick Kabendera 2014/2015 ulikuwa chini ya kikosi Cha Kinana

Uandishi wa Erick Kabendera 2014/2015 ulikuwa chini ya kikosi Cha Kinana

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2018
Posts
539
Reaction score
3,507
Nimejaribu kupitia maudhui ya kazi ya kijana Erick kujua kama anahusiana na timu ya wazee iliyotingisha chama juzi Kati na kubaini kuwa mtajwa Kuna viashiria kwamba alifanya kazi na chama Tena kwa uhaminifu 2015.

Labda yawezekana baada ya hapo aliamia kufanya shughuli zake binafsi na mashirika mengine na kwa kuwa ana malengo na utashi na anategemeo flani kwa kesho akaona aingie kwenye habari za kiuchunguzi ambazo tawala za kiafrika nyingi hazitaki kuzisikia.

Yawezekana pia kwa kufanya kazi nzuri anatakiwa kurejea kwenye kazi alizofanya na akina Makamba 2020 ila yupo busy na pia yawezekana yeye mchezo huu anaujua vyema.

Tatizo la waandishi wetu Ni kwamba ikifika kipindi Cha uchaguzi wanakuwa na uandishi wa kikampeni na pale kampeni zinapoisha Mambo yakabadilika wanarudia professional yao.

Waangalie pia wasanii wa muziki na filamu wanavyotumika, Ni vigumu leo wengi wao kuaminika kwa sababu wanakula na kunywa na wanasiasa wakati wa kampeni lakini ikifika wakati wa Raha ( baada ya uchaguzi) wanasiasa wanawatumia watakavyo.

Tujaribu kuwashauri vijana wenye upeo na maono ya mbali kukaa mbali na fadhila, vujeni jasho usiku na mchana kutengeneza kesho yenu bila kujiegemeza kwa wanasiasa.

Mwisho nitoe pole kwa Bw.Erick na MWENYENZI MUNGU amtangulie amalize salama changamoto anazopitia na kurejea kwenye majukumu yake.
 
Hivi Mwandishi wa Habari za Kiuchunguzi huwa anakuwa na Upande katika Ripoti zake? Nitashangaa Kuona kuna Mtu mwenye Akili sawasawa atakiamini hiki ulichokiandika hapa. Erick Kabendera anajulikana Kitambo kuwa anafanya Uandishi huu wa Hatari (Investigative) na hata awamu ya Nne iliyokuwa na hao Watu uliowataja hapa na Kumuhusisha nao bado alipatwa na matatizo kama haya ya leo (ya Uraia) wake sasa nashangaa Kusikia tena ukisema kuwa alikuwa huo Upande wakati hata Maadili ya Kazi yake hiyo hayataki hivyo.
 
'Kifupi Kirefu' - lakini hakuna hata hicho kifupi ulichotuwekea hapa kuthibitisha mada uliyoweka hapa!

Kama ni mtihani'sifuri' utalalamika?
 
Tatizo la waandishi wetu Ni kwamba ... pale kampeni zinapoisha Mambo yakabadilika wanarudia professional yao.
Profession please, not professional...nooooo, mburula!

Ndo maana hata Rais wenu akisema taxifly badala ya taxify mnaona sawa tu

Na hii ndo pia hudhihirisha uwezo wa kiakili wa Watanzania, haishangazi basi kusikia professor aliyeishi akifundisha chuo kikuu miaka na miaka akidai Rais alimwokota jalalani, na Rais mwenyewe huyo mwenye PhD akishindwa kusema hata sentensi moja in straight English, kazi tunayo!
 
Hivi Mwandishi wa Habari za Kiuchunguzi huwa anakuwa na Upande katika Ripoti zake? Nitashangaa Kuona kuna Mtu mwenye Akili sawasawa atakiamini hiki ulichokiandika hapa. Erick Kabendera anajulikana Kitambo kuwa anafanya Uandishi huu wa Hatari ( Investigative ) na hata awamu ya Nne iliyokuwa na hao Watu uliowataja hapa na Kumuhusisha nao bado alipatwa na matatizo kama haya ya leo ( ya Uraia ) wake sasa nashangaa Kusikia tena ukisema kuwa alikuwa huo Upande wakati hata Maadili ya Kazi yake hiyo hayataki hivyo.
Njaa haina baunsa
 
Hi taarifa kwamba 2015 election huyu mwandishi alikuwa na CCM inaweza kuwa na ukweli, nimeona kigogo2014 kwenye tweeter akieleza kwamba walikuwa pamoja kwenye hyena hyena CCM nambari one.

Lakini pia mimi sikatahi waandishi kupata ajira na ajira katika nchi haipaswi kutumika kuwaadhibu watu. Bado tunayo haki ya kumtetea mwenzetu na kumsaidia arudi uraiani aendeleze maisha na familia yake.

Mpasuko wa uchaguzi wa 2015 inaonekana Ni mkubwa na watu wenye Siri za huo uchaguzi ni wengi na wemevurugana kisawasawa na kukosa kuaminiana. Haya Mambo ya uraia yaliamuliwa 2013 na Nchimbi akasema kwamba Erick ni Mtanzania, sidhani Kama ipo sababu ya kurudia kile kilichokwisha kuamuliwa na Waziri Mwenye dhamana miaka ya nyuma.

Ila tujifunze sana namna tunavyoishi na wanasiasa, wakigombana wanataka hadi majirani zako nao wawe kwenye ugomvi wenu.

Erick ni mtu mwema na anayefanya kazi yake sawasawa kwa mujibu wa taratibu isipokuwa tu yawezekana marafiki zake wanasiasa wanamfitinisha au labda anampango wa kugombea huko kwetu bukoba wameanza kutulizana.

Kama wakina ole Milya wameanza kubigwa Vita kuelekea 2020 na juzi tu tulimsikia akimkemea mzee Makamba Basi tujue hakuna aliyesalama ndani na nje ya chama.

Bring back Mr .Erick
 
Nimejaribu kupitia maudhui ya kazi ya kijana Erick kujua kama anahusiana na timu ya wazee iliyotingisha chama juzi Kati na kubaini kuwa mtajwa Kuna viashiria kwamba alifanya kazi na chama Tena kwa uhaminifu 2015.

Labda yawezekana baada ya hapo aliamia kufanya shughuli zake binafsi na mashirika mengine na kwa kuwa ana malengo na utashi na anategemeo flani kwa kesho akaona aingie kwenye habari za kiuchunguzi ambazo tawala za kiafrika nyingi hazitaki kuzisikia.

Yawezekana pia kwa kufanya kazi nzuri anatakiwa kurejea kwenye kazi alizofanya na akina Makamba 2020 ila yupo busy na pia yawezekana yeye mchezo huu anaujua vyema.

Tatizo la waandishi wetu Ni kwamba ikifika kipindi Cha uchaguzi wanakuwa na uandishi wa kikampeni na pale kampeni zinapoisha Mambo yakabadilika wanarudia professional yao.

Waangalie pia wasanii wa muziki na filamu wanavyotumika, Ni vigumu leo wengi wao kuaminika kwa sababu wanakula na kunywa na wanasiasa wakati wa kampeni lakini ikifika wakati wa Raha (baada ya uchaguzi) wanasiasa wanawatumia watakavyo.

Tujaribu kuwashauri vijana wenye upeo na maono ya mbali kukaa mbali na fadhila, vujeni jasho usiku na mchana kutengeneza kesho yenu bila kujiegemeza kwa wanasiasa.

Mwisho nitoe pole kwa Bw.Erick na MWENYENZI MUNGU amtangulie amalize salama changamoto anazopitia na kurejea kwenye majukumu yake.
Hivi unajua ajira ngapi zinapatikana kupitia kampeni na chaguzi?
 
Profession please, not professional...nooooo, mburula!

Ndo maana hata Rais wenu akisema taxifly badala ya taxify mnaona sawa tu

Na hii ndo pia hudhihirisha uwezo wa kiakili wa Watanzania, haishangazi basi kusikia professor aliyeishi akifundisha chuo kikuu miaka na miaka akidai Rais alimwokota jalalani, na Rais mwenyewe huyo mwenye PhD akishindwa kusema hata sentensi moja in straight English, kazi tunayo!
akili na uelewa wa lugha ni vitu viwili tofauti,usivichanganye
 
Profession please, not professional...nooooo, mburula!

Ndo maana hata Rais wenu akisema taxifly badala ya taxify mnaona sawa tu

Na hii ndo pia hudhihirisha uwezo wa kiakili wa Watanzania, haishangazi basi kusikia professor aliyeishi akifundisha chuo kikuu miaka na miaka akidai Rais alimwokota jalalani, na Rais mwenyewe huyo mwenye PhD akishindwa kusema hata sentensi moja in straight English, kazi tunayo!
Kwahiyo wewe kwako kiingereza ni kuelimika na kuwa na maarifa.
 
Kweli kabisa Dada Wakudadavuwa. Nikimuangalia pande la mtu kama Mwita Waitara njaa (madeni bungeni) ilivyo mlainisha hadi kuwa mdebwedo mzee mzima wa kikurya, basi ndipo ninapokukubali kuwa wewe ni genius kwa kuliona hilo
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji87][emoji87][emoji87][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kweli kabisa Dada Wakudadavuwa. Nikimuangalia pande la mtu kama Mwita Waitara njaa (madeni bungeni) ilivyo mlainisha hadi kuwa mdebwedo mzee mzima wa kikurya, basi ndipo ninapokukubali kuwa wewe ni genius kwa kuliona hilo
Binti si huyo hata Tundu atakuja kuwaliza huyu Mwita karudi alikozaliwa labda kama kipindi hicho ulikuwa bado mto mara
 
Nimejaribu kupitia maudhui ya kazi ya kijana Erick kujua kama anahusiana na timu ya wazee iliyotingisha chama juzi Kati na kubaini kuwa mtajwa Kuna viashiria kwamba alifanya kazi na chama Tena kwa uhaminifu 2015.

Labda yawezekana baada ya hapo aliamia kufanya shughuli zake binafsi na mashirika mengine na kwa kuwa ana malengo na utashi na anategemeo flani kwa kesho akaona aingie kwenye habari za kiuchunguzi ambazo tawala za kiafrika nyingi hazitaki kuzisikia.

Yawezekana pia kwa kufanya kazi nzuri anatakiwa kurejea kwenye kazi alizofanya na akina Makamba 2020 ila yupo busy na pia yawezekana yeye mchezo huu anaujua vyema.

Tatizo la waandishi wetu Ni kwamba ikifika kipindi Cha uchaguzi wanakuwa na uandishi wa kikampeni na pale kampeni zinapoisha Mambo yakabadilika wanarudia professional yao.

Waangalie pia wasanii wa muziki na filamu wanavyotumika, Ni vigumu leo wengi wao kuaminika kwa sababu wanakula na kunywa na wanasiasa wakati wa kampeni lakini ikifika wakati wa Raha ( baada ya uchaguzi) wanasiasa wanawatumia watakavyo.

Tujaribu kuwashauri vijana wenye upeo na maono ya mbali kukaa mbali na fadhila, vujeni jasho usiku na mchana kutengeneza kesho yenu bila kujiegemeza kwa wanasiasa.

Mwisho nitoe pole kwa Bw.Erick na MWENYENZI MUNGU amtangulie amalize salama changamoto anazopitia na kurejea kwenye majukumu yake.
Tatizo lenu nyie wanaharamu hamna hata utu. Yaani mmekuwa kama wale vibaka ambao wanakupiga loba kisha wanakupigia ukelele wa "mwizi, mwizi." Kuteka watu mteke nyie, kutesa watu mtese nyie, halafu lawama muwatupie victims wenu.

Sawa Eric alikuwa kwa Kinana. Je, hilo ni kosa la jinai? Mbona Musiba anatukana watu huku akijitanabaisha kuwa yupo kwa Jiwe na inaonekana sawia?

Leo kwa mnaowachukia kesho kwenu. Wakishatumaliza sie maadui wao, watageukia ninyi marafiki zao.

Mchawi akimaliza kuroga mtaa mzima, huhamia kwenye familia yake.
 
Nimejaribu kupitia maudhui ya kazi ya kijana Erick kujua kama anahusiana na timu ya wazee iliyotingisha chama juzi Kati na kubaini kuwa mtajwa Kuna viashiria kwamba alifanya kazi na chama Tena kwa uhaminifu 2015.

Labda yawezekana baada ya hapo aliamia kufanya shughuli zake binafsi na mashirika mengine na kwa kuwa ana malengo na utashi na anategemeo flani kwa kesho akaona aingie kwenye habari za kiuchunguzi ambazo tawala za kiafrika nyingi hazitaki kuzisikia.

Yawezekana pia kwa kufanya kazi nzuri anatakiwa kurejea kwenye kazi alizofanya na akina Makamba 2020 ila yupo busy na pia yawezekana yeye mchezo huu anaujua vyema.

Tatizo la waandishi wetu Ni kwamba ikifika kipindi Cha uchaguzi wanakuwa na uandishi wa kikampeni na pale kampeni zinapoisha Mambo yakabadilika wanarudia professional yao.

Waangalie pia wasanii wa muziki na filamu wanavyotumika, Ni vigumu leo wengi wao kuaminika kwa sababu wanakula na kunywa na wanasiasa wakati wa kampeni lakini ikifika wakati wa Raha ( baada ya uchaguzi) wanasiasa wanawatumia watakavyo.

Tujaribu kuwashauri vijana wenye upeo na maono ya mbali kukaa mbali na fadhila, vujeni jasho usiku na mchana kutengeneza kesho yenu bila kujiegemeza kwa wanasiasa.

Mwisho nitoe pole kwa Bw.Erick na MWENYENZI MUNGU amtangulie amalize salama changamoto anazopitia na kurejea kwenye majukumu yake.
Nijifunza kitu, wazungu wanasema what goes around comes aroung
 
Englisch sio akili. Pamoja na kwamba wanasayansi wengi hupata Tabu sana kuzungumza englisch fluently. Lugha ni kuzungumza, mazingira ya mtu pia huchangia kwa kuwa huwafanya kutumia lugha fulani muda mwingi. Kama ukifuatilia mkuu ni mwepesi sana kushika lugha za nyumbani. Nacho ni kipaji. So usipime uwezo wa mtu kwa uwezo wake wa kuzungumza.
Profession please, not professional...nooooo, mburula!

Ndo maana hata Rais wenu akisema taxifly badala ya taxify mnaona sawa tu

Na hii ndo pia hudhihirisha uwezo wa kiakili wa Watanzania, haishangazi basi kusikia professor aliyeishi akifundisha chuo kikuu miaka na miaka akidai Rais alimwokota jalalani, na Rais mwenyewe huyo mwenye PhD akishindwa kusema hata sentensi moja in straight English, kazi tunayo!
 
Binti si huyo hata Tundu atakuja kuwaliza huyu Mwita karudi alikozaliwa labda kama kipindi hicho ulikuwa bado mto mara
Sasa Wakudada mbona this is me and you dear, Lissu anatokea wapi tena? Nilishakuonya hawa waume za watu ulio waacha Chadema watakuja kukuvunjia unyumba wako kwani waweza kuwataja kunako shughuli ukafikiriwa vibaya.
Ila kuhusu Lissu utasubiri sana!
 
Basi unajiona una akili kweli kwa kujua kwako hako ka grama ka English! Pumbavu kabisa.

Kwa taarifa yako pamoja na kujua hako ka grama ka English huwezi kufika level za hao uliowataja hapo mpaka unaingia kaburini.

Uchungu[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
Profession please, not professional...nooooo, mburula!

Ndo maana hata Rais wenu akisema taxifly badala ya taxify mnaona sawa tu

Na hii ndo pia hudhihirisha uwezo wa kiakili wa Watanzania, haishangazi basi kusikia professor aliyeishi akifundisha chuo kikuu miaka na miaka akidai Rais alimwokota jalalani, na Rais mwenyewe huyo mwenye PhD akishindwa kusema hata sentensi moja in straight English, kazi tunayo!
 
Nimejaribu kupitia maudhui ya kazi ya kijana Erick kujua kama anahusiana na timu ya wazee iliyotingisha chama juzi Kati na kubaini kuwa mtajwa Kuna viashiria kwamba alifanya kazi na chama Tena kwa uhaminifu 2015.

Mwisho nitoe pole kwa Bw.Erick na MWENYENZI MUNGU amtangulie amalize salama changamoto anazopitia na kurejea kwenye majukumu yake.
Mkuu Kifupi Kirefu,
itakuwa humjui Erick Kabendera wala hujasoma anachoandika. Erick has never been like that, ungesema watu kama akina sisi, ndio ingekuwa sawa, but not Erick Kabendera.

P
 
Back
Top Bottom