Uandishi wa Erick Kabendera 2014/2015 ulikuwa chini ya kikosi Cha Kinana

Uandishi wa Erick Kabendera 2014/2015 ulikuwa chini ya kikosi Cha Kinana

Basi unajiona una akili kweli kwa kujua kwako hako ka grama ka English! Pumbavu kabisa.

Kwa taarifa yako pamoja na kujua hako ka grama ka English huwezi kufika level za hao uliowataja hapo mpaka unaingia kaburini.

Uchungu[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
Hata kama nisifike, bado I have something I'm proud of...kama ambavyo huwezi kuelewa mathematics, pia huwezi kujifunza lugha ngeni kama wewe ni kilaza, pia huwezi kutawala vizuri, ndo maana mjinga wenu anahangaika kushinda kwa waganga!
 
Englisch sio akili. Pamoja na kwamba wanasayansi wengi hupata Tabu sana kuzungumza englisch fluently. Lugha ni kuzungumza, mazingira ya mtu pia huchangia kwa kuwa huwafanya kutumia lugha fulani muda mwingi. Kama ukifuatilia mkuu ni mwepesi sana kushika lugha za nyumbani. Nacho ni kipaji. So usipime uwezo wa mtu kwa uwezo wake wa kuzungumza.
Sasa kwanini utake kutumia lugha ya kigeni kama huimudu? Huoni kwamba utapotosha?
 
Mkuu Kifupi Kirefu,
itakuwa humjui Erick Kabendera wala hujasoma anachoandika. Erick has never been like that, ungesema watu kama akina sisi, ndio ingekuwa sawa, but not Erick Kabendera.

P

Mkuu mada zako, za "Economist wanamtukana Rais", unajisikiaje Kabendera kuwekwa ndani?
 
Mkuu mada zako, za "Economist wanamtukana Rais", unajisikiaje Kabendera kuwekwa ndani?
How does it relate to the arrest of Kabendera? Mnamuonea Pascal.Kama Erick alikuwa na uthubutu wa kuandika, naamini pia ana uthubutu wa kupambana na changamoto zake, bila kumsingizia mtu mwingine. Huo ndio ukomavu wenyewe kwa yale unayoyaamini. Ukiona mtu nusu nusu, ujue hamna kitu hapo.
Kwangu mimi namtakia kila la kheri Eric. Mwisho wa yote, tunapata yale tunayoyahangaikia
 
Hivi Mwandishi wa Habari za Kiuchunguzi huwa anakuwa na Upande katika Ripoti zake? Nitashangaa Kuona kuna Mtu mwenye Akili sawasawa atakiamini hiki ulichokiandika hapa. Erick Kabendera anajulikana Kitambo kuwa anafanya Uandishi huu wa Hatari ( Investigative ) na hata awamu ya Nne iliyokuwa na hao Watu uliowataja hapa na Kumuhusisha nao bado alipatwa na matatizo kama haya ya leo ( ya Uraia ) wake sasa nashangaa Kusikia tena ukisema kuwa alikuwa huo Upande wakati hata Maadili ya Kazi yake hiyo hayataki hivyo.
Unataka kusema hujawahi kuona hicho kitu mahali pooote pale ambapo waandishi wanaandika kufuata upnde wao kiitikadi? Lazima utakua unadanganya
 
Back
Top Bottom