atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwema kabisa,busy natafuta ela nisije tegemea ulisi[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwema kabisa,busy natafuta ela nisije tegemea ulisi[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Pm 😜Una uhakika na hilo?...jibu basi hata kule pm
Mkewe alizaa na Ruge before RDJ hajamuoa huyo mdada.Hapo unamaanisha RDJ Rommy Jones ameshare Mwanamke na Ruge?
🤣🤣🤣🤣
Kwahiyo huyu mwanamama alitoka kwa Mutahaba akaenda kwa huyo kijana? Ameandika kama mchunga ng'ombe.
Mkewe alizaa na Ruge before RDJ hajamuoa huyo mdada.
Ndioo si ndo mke wa Rommy yuleHapo unamaanisha RDJ Rommy Jones ameshare Mwanamke na Ruge?
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]waukae Sisi!!!zilongwa mbali,Zitendwa mbali!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jamani kilugha cha wapi hiki [emoji3][emoji3]
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]angekaa atulie tungemsifu kwa kupeleka ugali mwingi mezani,[emoji16][emoji16].
wewe ni mwanaume mwenye pesa,lakini unajua udhaifu wako ni kuongea kiingereza,kwanini unalazimisha kuongea??
Wana Hela àfu wana Hela Tena za ulisi na za Kwao za kutafutaJamanii watu wana pesaa woiiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Cheka Tu mwaya kweli Tena[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dyadyaa nimechekaa.
Ila Vicky jamani daahh roho mbaya sana kawatimua watoto nyumbani Kwa baba yaoLeo Mange kamchamba vicky Kamata Likwelile shoga zake Zamaridi
Haswaaa mlongo.Wana Hela àfu wana Hela Tena za ulisi na za Kwao za kutafuta
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Cheka Tu mwaya kweli Tena[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Zamaladi mke wangu ulisi ukupewa awakupewa aata chupi ohhhhh wanaona gele kukupenda zamaladi wangu....duuuuuuu aseee sio Kwa kuandika Huku Mimi nilikuwa najua jamaa kasoma mtaala wa Cambridge jinsi alikuwa akisifiwa na kumbe jamaa mswhili tu wa buza.. watu wanafake maisha sana