Uandishi wa mume wa Zamaradi Mketema 'says it all'

Uandishi wa mume wa Zamaradi Mketema 'says it all'

Leo Mange kamchamba vicky Kamata Likwelile shoga zake Zamaridi
 
angekaa atulie tungemsifu kwa kupeleka ugali mwingi mezani,[emoji16][emoji16].

wewe ni mwanaume mwenye pesa,lakini unajua udhaifu wako ni kuongea kiingereza,kwanini unalazimisha kuongea??
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Naona yupo sahihi ili tumsaidie wapi na wapi katika suala la uandishi,kuliko angejificha tusingeelewa wapi anakwama.
 
Zamaladi mke wangu ulisi ukupewa awakupewa aata chupi ohhhhh wanaona gele kukupenda zamaladi wangu....duuuuuuu aseee sio Kwa kuandika Huku Mimi nilikuwa najua jamaa kasoma mtaala wa Cambridge jinsi alikuwa akisifiwa na kumbe jamaa mswhili tu wa buza.. watu wanafake maisha sana
 
Zamaladi mke wangu ulisi ukupewa awakupewa aata chupi ohhhhh wanaona gele kukupenda zamaladi wangu....duuuuuuu aseee sio Kwa kuandika Huku Mimi nilikuwa najua jamaa kasoma mtaala wa Cambridge jinsi alikuwa akisifiwa na kumbe jamaa mswhili tu wa buza.. watu wanafake maisha sana

Heshima hujengwa kwa miaka ila huvunjwa kwa sekunde tu.
 
Alafu ndio ana gereji yule hivi gari za watu za kisasa si ataziunguza yule shule hamna fundi mchundo yule
 
Back
Top Bottom