god with us JF-Expert Member Joined Oct 19, 2013 Posts 391 Reaction score 100 Nov 29, 2013 #1 Wakuu natumai hamjambo nilikuwa naomba msaada wa kujua jins ya kuagiza gari kuanzia jinsi ya kulilipia na malipo litakapofika hapa tz Garama za TRA .Engene capacty ni cc 2360 na ni la mwaka 2001 Natumain ushaur wenu
Wakuu natumai hamjambo nilikuwa naomba msaada wa kujua jins ya kuagiza gari kuanzia jinsi ya kulilipia na malipo litakapofika hapa tz Garama za TRA .Engene capacty ni cc 2360 na ni la mwaka 2001 Natumain ushaur wenu