Uasi Syria

Uasi Syria

Kiminyio 01

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2018
Posts
1,389
Reaction score
2,025
Majeshi ya waasi yamefanya mashambulizi makubwa Kaskazini-Magharibi mwa Syria, na kuyateka maeneo ya wanajeshi wa Rais Bashar al-Assad, huku wapiganaji 180 wa pande zote mbili wakiuawa kwenye mapigano pamoja na raia 19.

Kundi hilo la Hayat Tahrir al-Sham (HTS) tayari limechukua vijiji kadhaa vilivyokuwa chini ya majeshi ya serikali pamoja na kambi moja ya kijeshi ya Syria.
 
Ila Assad ni mtu Strong sana aisee. Hii Vita ni zaidi ya Miaka Kumi sasa ila bado tu amekomaa
 

Russian jets strike jihadists near Aleppo and Idlib in Syria – military​

More than 400 terrorists have been killed in a wave of airstrikes, a Russian colonel has said
Russian jets strike jihadists near Aleppo and Idlib in Syria – military

Smoke rises from ongoing battles between Syrian jihadists and government forces near Aleppo, November 27, 2024 © Getty Images / Anas Alkharboutli
 
Back
Top Bottom