UASILI WA WAHADZABE HATARINI.

UASILI WA WAHADZABE HATARINI.

paqwa

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2019
Posts
2,106
Reaction score
2,831
Moja kwa moja kwenye mada. Wahadzabe ni kati ya makabila madogo, na yenye utamaduni adhimu kabisa nchini, wamekuwa na mambo yao bila kuingiliwa kwa miaka mingi hivyo tamaduni yao kubaki kama ilivyo, pamoja na ecologia yao.
Lakini miaka ya karibuni, wamekuwa wakiingiliwa hasa na wazungu na wengine, kujaribu kuwarubuni na kuwafundisha vitu vigeni ambavyo kimsingi vitawaaribia mifumo yao ya kuishi, mpaka ya kibaiologia ,hasa mfumo wa chakula. Ambao wao ni tofauti kidogo na sisi. Ime adapt maji kidogo sana, nyama nyingi na mimea.
Sasa hivi, wapo exploited, utawakuta tiktok, Instagram na pengine, wanapoteza ile uasili wao na shauku.
Serikali idhibiti hili suala. Access isiwe rahisi rahisi tu. Hawafaidiki na lolote na hawajataka ata simu ila mkishawaonesha watataka.
 
Mwanzoni walikuwa hawajui soda wala juece, sasa kuna muhindi mmoja anawafuatilia sana huko porini akawa anawapelekea soda anapiga nao picha.
Wao walipopewa soda hawajui kufungua wanadhani ni matunda mapya wakawa wanazing'ata kwa chini hadi zinatoboka basi wanaenjoy kinoma 🤣🤣
 
Moja kwa moja kwenye mada. Wahadzabe ni kati ya makabila madogo, na yenye utamaduni adhimu kabisa nchini, wamekuwa na mambo yao bila kuingiliwa kwa miaka mingi hivyo tamaduni yao kubaki kama ilivyo, pamoja na ecologia yao.
Lakini miaka ya karibuni, wamekuwa wakiingiliwa hasa na wazungu na wengine, kujaribu kuwarubuni na kuwafundisha vitu vigeni ambavyo kimsingi vitawaaribia mifumo yao ya kuishi, mpaka ya kibaiologia ,hasa mfumo wa chakula. Ambao wao ni tofauti kidogo na sisi. Ime adapt maji kidogo sana, nyama nyingi na mimea.
Sasa hivi, wapo exploited, utawakuta tiktok, Instagram na pengine, wanapoteza ile uasili wao na shauku.
Serikali idhibiti hili suala. Access isiwe rahisi rahisi tu. Hawafaidiki na lolote na hawajataka ata simu ila mkishawaonesha watataka.
Kwa nini mnataka watu wa kabila fulani waishi maisha duni na watumike kama kivutio maisha yao yote? Maisha ni lazima yalete mabadiliko na ni vizuri wapewe huduma kama shule na hospital ili waishi maisha ya kawaida.
 
Kwa asiyeelewa maana ya kulinda utamaduni hawezi kuelewa hii post. Seriously serikali iingilie kati.
Acha upumbavu wewe. Serikali ndo iko mstari wa mbele kuwatoa maporini na kuwapa elimu. Shule ya msingi ya bweni ya Endamagha ilijengwa kwa ajili yao. Wanapata huduma zote shuleni bure. Pia kuna program ilikuwepo kuwapeleka vijana wa kihadzabe Marekani kwa elimu zaidi ingawa kuna wahuni walikuwa wanachomekea watoto na ndugu zao ambao sio wahadzabe. Wale ni watanzania wenzetu wenye haki kama makabila mengine.
 
Moja kwa moja kwenye mada. Wahadzabe ni kati ya makabila madogo, na yenye utamaduni adhimu kabisa nchini, wamekuwa na mambo yao bila kuingiliwa kwa miaka mingi hivyo tamaduni yao kubaki kama ilivyo, pamoja na ecologia yao.
Lakini miaka ya karibuni, wamekuwa wakiingiliwa hasa na wazungu na wengine, kujaribu kuwarubuni na kuwafundisha vitu vigeni ambavyo kimsingi vitawaaribia mifumo yao ya kuishi, mpaka ya kibaiologia ,hasa mfumo wa chakula. Ambao wao ni tofauti kidogo na sisi. Ime adapt maji kidogo sana, nyama nyingi na mimea.
Sasa hivi, wapo exploited, utawakuta tiktok, Instagram na pengine, wanapoteza ile uasili wao na shauku.
Serikali idhibiti hili suala. Access isiwe rahisi rahisi tu. Hawafaidiki na lolote na hawajataka ata simu ila mkishawaonesha watataka.
Watoke huko porini, zama za kula bundi wa kuchoma na panya wa kubanika zilishapita.
 
Moja kwa moja kwenye mada. Wahadzabe ni kati ya makabila madogo, na yenye utamaduni adhimu kabisa nchini, wamekuwa na mambo yao bila kuingiliwa kwa miaka mingi hivyo tamaduni yao kubaki kama ilivyo, pamoja na ecologia yao.
Lakini miaka ya karibuni, wamekuwa wakiingiliwa hasa na wazungu na wengine, kujaribu kuwarubuni na kuwafundisha vitu vigeni ambavyo kimsingi vitawaaribia mifumo yao ya kuishi, mpaka ya kibaiologia ,hasa mfumo wa chakula. Ambao wao ni tofauti kidogo na sisi. Ime adapt maji kidogo sana, nyama nyingi na mimea.
Sasa hivi, wapo exploited, utawakuta tiktok, Instagram na pengine, wanapoteza ile uasili wao na shauku.
Serikali idhibiti hili suala. Access isiwe rahisi rahisi tu. Hawafaidiki na lolote na hawajataka ata simu ila mkishawaonesha watataka.
Wewe mjinga jua serikali ndo iko mstari wa mbele kuwatoa maporini na kuwapa elimu. Shule ya bweni Endamagha yenye huduma zote bure ilijengwa kwa ajili yao. Wale ni watanzania wenzetu wenye haki kama wewe. Yale maisha yao kwa sasa ni magumu yaliyogubikwa na umaskini wa kutisha. Hata wanyama kwenye maeneo yao wamepungua kwa sababu ya shughuli za kibinadamu hali inayofanya maisha yao kuzidi kuwa magumu.
 
Acha upumbavu wewe. Serikali ndo iko mstari wa mbele kuwatoa maporini na kuwapa elimu. Shule ya msingi ya bweni ya Endamagha ilijengwa kwa ajili yao. Wanapata huduma zote shuleni bure. Pia kuna program ilikuwepo kuwapeleka vijana wa kihadzabe Marekani kwa elimu zaidi ingawa kuna wahuni walikuwa wanachomekea watoto na ndugu zao ambao sio wahadzabe. Wale ni watanzania wenzetu wenye haki kama makabila mengine.
Sorry to say that wewe ndo una upumbavu. Hivi hawezi kumjibu mtu bila kumtukana?

YES I know nchi ina program ya kuwasomesha and trust me nilishafanyaga kazi iliyowalenga hawa watu. Kwani kuisomesha jamii ndo kuiondolea utamaduni wao? Huoni kama msomi ana nafasi ya kulinda utamaduni wake? . Point hapa ni wanaoingia kwenye makazi yao na kuwaletea mambo ya kigeni FOR THE SAKE OF SOCIAL MEDIA CONTENTS.

Uko mbali sana kiufahamu kuelewa nilichoandika sidhani kama nilihitaji kupoteza muda wangu but I hope utakaa utafakari. Again, I hate mtu anitukane just to prove point zao, you can do better than that, jifunze. Busara zako zinapimika sana na how you treat a stranger, or what you do when no one is watching - behind your keyboard.
 
Miaka yote wanaishi hivyo na wana afya Bora ,kwa nini muwaharibie maisha yao?acheni ujuaji wenu wa kipumbavu
Wewe ndio msemaji wao? Wamesema wanaharibiwa maisha yao? Huoni wewe ndio mjuaji wa kipumbavu? Wahead kabisa!
 
Unafurahia uduni wa maisha yao? Kuvaa matambara, kula nyama mbichi, life expectancy of 30yrs? Maisha duni sio sifa.
Kwani walikwambia maisha yao ni duni? Wamekuwa wakiishi hivyo kwa raha na amani. Hayo ndio maisha yao.
 
Dudukwee kaathiri. Sasa hivi wanafanya maigizo tuu kufanya vitu tofauti ili eaonekane ni primative na kuwaridhisha wazungu. Haya uwindaji wanafanya maigizo wanaletewa wanyama ambao wamekwisha kufa naa kuzuga wanawawinda
 
Dudukwee kaathiri. Sasa hivi wanafanya maigizo tuu kufanya vitu tofauti ili eaonekane ni primative na kuwaridhisha wazungu. Haya uwindaji wanafanya maigizo wanaletewa wanyama ambao wamekwisha kufa naa kuzuga wanawawinda
Paka ukishaanza kumpa vya nyumbani panya hali tena.
 
Back
Top Bottom