UASILI WA WAHADZABE HATARINI.

UASILI WA WAHADZABE HATARINI.

Kwani walikwambia maisha yao ni duni? Wamekuwa wakiishi hivyo kwa raha na amani. Hayo ndio maisha yao.

Hata nyie mlikua mnaishi hivyo kabla hamjaletewa elimu na dini.
 
Hata nyie mlikua mnaishi hivyo kabla hamjaletewa elimu na dini.
Hili la dini lilikuwa kutupiga tu n kututawala.
Ibn batuta alivyokuja Karne ya kwanza alikuta miji na ustarabu pembezoni mwa bahari ya Hindi na kusadifu uzuri wa miji yao.

Hao watu Mungu wao ni Jua
Na jua ndio chanzo Cha maisha hapa duniani.
Hawana Kuzimu Wala motoni
Sasa dini gani ambayo hawana
 
Hili la dini lilikuwa kutupiga tu n kututawala.
Ibn batuta alivyokuja Karne ya kwanza alikuta miji na ustarabu pembezoni mwa bahari ya Hindi na kusadifu uzuri wa miji yao.

Hao watu Mungu wao ni Jua
Na jua ndio chanzo Cha maisha hapa duniani.
Hawana Kuzimu Wala motoni
Sasa dini gani ambayo hawana

Kwanini mnataka wahadzabe waendelee kuishi maisha duni?
 
Kwanini mnataka wahadzabe waendelee kuishi maisha duni?
Kwani wao wamelalamika? Uduni ni wewe unaona. Ata wewe kina Elon musk wanakuhurumia. Its subjective. Wanakula, wanaishi!
 
Kwani wao wamelalamika? Uduni ni wewe unaona. Ata wewe kina Elon musk wanakuhurumia. Its subjective. Wanakula, wanaishi!

Wanakula nini? Wanaishi miaka mingapi (life expectancy)?
 
Wanakula nini? Wanaishi miaka mingapi (life expectancy)?
We unataka wale chips? Ndio mnaona mmeendelea au? Wanaishi kuliko wewe, wanakula vitu natural, tumbo lao limeadapt miaka na miaka. Nyie ndio mnataka kuwaletea utaratibu mpya kwa kuhisi mmeendelea. Unafahamu ugali ni chakula duni sana kinadumaza akili?
 
We unataka wale chips? Ndio mnaona mmeendelea au? Wanaishi kuliko wewe, wanakula vitu natural, tumbo lao limeadapt miaka na miaka. Nyie ndio mnataka kuwaletea utaratibu mpya kwa kuhisi mmeendelea. Unafahamu ugali ni chakula duni sana kinadumaza akili?

Unaropoka.

Life expectancy ya wahadzabe ni 30yrs.

Kula chips ni Bora kuliko wanavyokula sasa nyama pori mbichi. Na maendeleo sio kula chips au ugali tu.

Maisha ya wahadzabe ni duni. Maisha ya watanzania tu ni duni let alone hao wahadzabe. Uduni sio sifa. Acheni sifa za kijinga.
 
Unaropoka.

Life expectancy ya wahadzabe ni 30yrs.

Kula chips ni Bora kuliko wanavyokula sasa nyama pori mbichi. Na maendeleo sio kula chips au ugali tu.

Maisha ya wahadzabe ni duni. Maisha ya watanzania tu ni duni let alone hao wahadzabe. Uduni sio sifa. Acheni sifa za kijinga.
Hivi we una akili kweli? Ata huyo duduke na wenzie wote wamezidi 30, unashindwa ata kutumia common sense?
 
Hivi we una akili kweli? Ata huyo duduke na wenzie wote wamezidi 30, unashindwa ata kutumia common sense?

Unajua maana ya life expectancy? Ukiambiwa life expectancy ya watanzania ni 66yrs unadhani hakuna wazee waliozidi Hapo? Huko shuleni ulisomea ujinga?

Wahadzabe ni watu duni na wanaishi maisha duni. Nyie mnafurahia sababu sio nyie. Kichaa anachekesha kama sio ndugu yako. Maisha ya wahadzabe wewe au mtu yeyote yule hawezi tamani kuishi.

Wahadzabe wanapotea sio sababu ya kukutana na outsiders ni sababu wanakufa mapema kwa uduni wa maisha yao. Wahadzabe wanafariki kwa magonjwa yanayotibika kabisa hata katika nchi maskini kama bongo. Jielimisheni nyie mitanganyika
 
Back
Top Bottom