Mnavyohangaika hadi huruma.Jezi Yanga wafanyabiashara wamenunua mzigo mkubwa wanauza hadi elfu 60 while wao,hii leo maduka ya mitaani jezi ya Yanga kwa elfu 35 upati,za mikia leo hii elfu 10 unapata jezi zote 3
Yanga tuangaike na nyie mikia!aitokuja itokee mikia muanze kuzindua jezi au kufanya mikia day kabla ya Yanga,never never,hiyo yote sababu ubunifu 0 so mnataka kile atakachofanya Yanga mkacopy,utaona hata mwaka Yanga tutazindua jezi kabla ya mikia na Wananchi day itaanza baadae ndio itafuata mikia day,hatuna cha kucopy mkiani ila mikia mna mengi ya kucopyMnavyohangaika hadi huruma.
Simba anafanya simba day huu mwaka wa 13 yanga ndio mwaka wa pil alaf bado unasema et simba anakopy kwa yanga,ukiacha mwaka huu nazan kibiashara miaka ambayo simba na yanga wanatoa jez zao wenyewe mara nyng simba ndio anaanza kuzindua jez fuatilia ,na pia ktk dunia hakuna jambo jipya wote tunakopy so sio ishu ishu kufanya vzurYanga tuangaike na nyie mikia!aitokuja itokee mikia muanze kuzindua jezi au kufanya mikia day kabla ya Yanga,never never,hiyo yote sababu ubunifu 0 so mnataka kile atakachofanya Yanga mkacopy,utaona hata mwaka Yanga tutazindua jezi kabla ya mikia na Wananchi day itaanza baadae ndio itafuata mikia day,hatuna cha kucopy mkiani ila mikia mna mengi ya kucopy
Kilaza huyo kanunua smart mwezi uliopita Hana lolote ajualoSimba anafanya simba day huu mwaka wa 13 yanga ndio mwaka wa pil alaf bado unasema et simba anakopy kwa yanga,ukiacha mwaka huu nazan kibiashara miaka ambayo simba na yanga wanatoa jez zao wenyewe mara nyng simba ndio anaanza kuzindua jez fuatilia ,na pia ktk dunia hakuna jambo jipya wote tunakopy so sio ishu ishu kufanya vzur
Nina uhakika wa 100% HILI JINGA halijawahi kununua jezi ya timu yake HATA MARA MOJAJambo hili limewakera mno wanasimba mtandaoni ambao hawaja acha kuonyesha hasira zao kwa viongozi wao.
Timu kubwa Kama Simba ku ahirisha shughuli?what is going on?
Teh!unataka iphone ipi maana nipo huku zinapotengenezwa mwaka wa 9 sasaKilaza huyo kanunua smart mwezi uliopita Hana lolote ajualo
Unajua nchi imesimama.Simba anafanya simba day huu mwaka wa 13 yanga ndio mwaka wa pil alaf bado unasema et simba anakopy kwa yanga,ukiacha mwaka huu nazan kibiashara miaka ambayo simba na yanga wanatoa jez zao wenyewe mara nyng simba ndio anaanza kuzindua jez fuatilia ,na pia ktk dunia hakuna jambo jipya wote tunakopy so sio ishu ishu kufanya vzur
Hakuwa MO alikuwa Kassim Dewji kama sikosei.Mm si mvaaji wa jezi kiukweli.
Ila kwa hii hatimaye nimeshawishika aiseh.
Ila Sasa moe asitukere tena kwa kutaka kutengeneza mwenyewe.
Mo haamin kama vunja bei kafanya mapinduzi. Aache tamaa ya kutaka kutengeneza yeye.
Ye alishindwa kabisa
Walikuwa wanatuletea mijez ya ajabu ajabu.
Ila navaa bila wasiwasi.
Uto mnapata tabu Sana !Jambo hili limewakera mno wanasimba mtandaoni ambao hawaja acha kuonyesha hasira zao kwa viongozi wao.
Timu kubwa Kama Simba ku ahirisha shughuli?what is going on?
Usiwapangie cha kufanya, nyie endelezeni tu mipasho ya jezi huku maandalizi ya CAF CL mkiwa mumeyasahau kabisaJambo hili limewakera mno wanasimba mtandaoni ambao hawaja acha kuonyesha hasira zao kwa viongozi wao.
Timu kubwa Kama Simba ku ahirisha shughuli?what is going on?
Toka Kapumbu awapige pumbu ndiyo mumekuwa mazombie kabisaaaaa sisi mpira hatuchezei mitandaoniMakolokolo Fc mbwembwe nyingi kumbe makolokolo